Kesi ya Mdee na wenzake 18 yaitia aibu CHADEMA

Kesi ya Mdee na wenzake 18 yaitia aibu CHADEMA

VICHAA tupo wengi humu Jf Kwa hiyo Chadema iruhusu UHUNI na Ujinga uendelee Kufanywa na Wanachama wake Ikae kimya Eti inajenga Chama basi Chadema itakuwa Chama cha Wahuni. Acha UTOTO
Hajui kitu muimba mapambio tu huyo
 
Wanawake bhana, sasa kuwashwa gani huko hadi kufuatilia I'D yangu.? Njoo nikukune bc mlango uko wazi wewe suKUMA.
Kuna Mrs Mbaga mmoja alikuwa ni askari magereza miaka ya 1980s nilirutubisha mbegu,isije ikawa wewe ni zao langu,ngojq niache kubishana na watoto humu.
 
Kuna Mrs Mbaga mmoja alikuwa ni askari magereza miaka ya 1980s nilirutubisha mbegu,isije ikawa wewe ni zao langu,ngojq niache kubishana na watoto humu.
Kuna pisi kali moja enzi za 1990s anaitwa Restuta nilikuwa nambandua, isije ikawa wewe ndiye umekuja kwa umbo la kishoga
 
Sisi wanachama wa CHADEMA tunataka kuona, kusikia na kufanya mambo yanayosaidia kujenga, kukuza na hatimaye CHADEMA kuingia ikulu.

Kwa mara nyingine CHADEMA imenasa kwenye mtego wa ulimbo wa CCM. CHADEMA Inahangaika na kuwaondoa wanawake wao bungeni kwenye uchaguzi ambao cHADEMA walikataa kuutambua matokeo yake mpaka Leo.

Kesi hii ya kutaka akina Mdee watoke bungeni ilipaswa kutanguliwa na CHADEMA kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020 kwanza. CHADEMA walipaswa kuishia kwenye kuwafukuza uanachama akina Mdee TU basi na sio kukaza shingo lazima watoke kwenye bunge ambalo wao hawalikubali.

Kesi Yao ingekuwa na mashiko kama chadema wangepinga wabunge wote wa bunge kuweko bungeni maana hawakuchaguliwa kihalali kwa kutumia tume wasioikubali kuwa sio huru.

Maadam hawakuyatambua matokeo ya uchaguzi basi bunge pia sio halali kwao. Kumlazimisha Mdee TU kuwa ndiye wakutoka bungeni badala ya bunge zima ni kukosa dira na mwelekeo.

Kwangu Mimi akina Mdee hawapaswi kuwa bungeni sawa na wabunge wengine wote kutokana na namna uchaguzi mzima ulivyoendeshwa. Njaa Kali, undugu na ukabila ndiyo sababu ya kuwashupalia akina Mdee.
Kinachobishaniwa sio uwepo wa akina Halima bungeni bali ni mamlaka iliyowateua. CHADEMA wanathibitisha kuwa hawakuwahi kuteua hao wabunge huku wao wakidai waliteuliwa na chama. Nadhani hutokuwa mjinga tena baada ya elimu hii adhimu.
 
Sisi wanachama wa CHADEMA tunataka kuona, kusikia na kufanya mambo yanayosaidia kujenga, kukuza na hatimaye CHADEMA kuingia ikulu.

Kwa mara nyingine CHADEMA imenasa kwenye mtego wa ulimbo wa CCM. CHADEMA Inahangaika na kuwaondoa wanawake wao bungeni kwenye uchaguzi ambao cHADEMA walikataa kuutambua matokeo yake mpaka Leo.

Kesi hii ya kutaka akina Mdee watoke bungeni ilipaswa kutanguliwa na CHADEMA kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020 kwanza. CHADEMA walipaswa kuishia kwenye kuwafukuza uanachama akina Mdee TU basi na sio kukaza shingo lazima watoke kwenye bunge ambalo wao hawalikubali.

Kesi Yao ingekuwa na mashiko kama chadema wangepinga wabunge wote wa bunge kuweko bungeni maana hawakuchaguliwa kihalali kwa kutumia tume wasioikubali kuwa sio huru.

Maadam hawakuyatambua matokeo ya uchaguzi basi bunge pia sio halali kwao. Kumlazimisha Mdee TU kuwa ndiye wakutoka bungeni badala ya bunge zima ni kukosa dira na mwelekeo.

Kwangu Mimi akina Mdee hawapaswi kuwa bungeni sawa na wabunge wengine wote kutokana na namna uchaguzi mzima ulivyoendeshwa. Njaa Kali, undugu na ukabila ndiyo sababu ya kuwashupalia akina Mdee.
Wewe nawe unapoteza muda wako. Kwani CHADEMA bado IPO ? Mimi nilijua ilkufa Siku mkuu wao alipotangaza kubaili gia angani. Usituletee habari za chama ambacho hakipo.
 
Rushwa ni tatizo kubwa sana.
Wale mabinti wanatoa laki Tano kila mwezi kugawa Kwa sabufa na wahuni wenzake.
Nchi hii Ina pesa nyingi sana.
Tatizo ni wahuni walijificha ndani ya CCM . Wahuni wapo tayari hata kuiuza nchi alimradi wabaki madarakani na kujilimbikizia Mali za wizi na rushwa.

Wabunge wale wamefukuzwa na Chadema haitaki kupeleka wabunge wa viti Maalumu.
Kwetu sisi tunaokatwa tozo na wanyama wetu kuuzwa Kwa Waarabu ilikua ni faida mana Pesa zetu wanazolipwa wabunge 19 zingepelekwa kule Handeni kujenga nyumba za Wamasai wanahamishwa Loliondo kupisha mipaka na nchi za Uarabuni au kujenga nyumba za Walimu na wanajeshi.

Tatizo ni nchi hii kukosa wanasiasa wenye Nia kamili ya kulinda Mali za umma . Mdee na wenzake walipaswa kushitakiwa Kwa kufoji na kujipeleka Bungeni na wakibainika kuwa walifoji basi warudishe fedha zote walizoiba hata kama itakua ni mwaka 2040.

Umoja part labda kinaweza kikawa mkombozi wa nchi hii dhidi ya mikono ya wahuni Vinginevyo wezi na wahuni hawatakoma kwani wananufaika na uhuni na wizi huo Tena Kwa kupiganiwa na viongozi wakubwa kama Spika wa Bunge na Msajili. Yani nchi inakopa halafu pesa zinachezewa kihuni huni.

Tuanze na umoja part Kanda ya Ziwa Chadema Kaskazini na Musoma ,Iringa na Mbeya na DSM.
ACT Kigoma na Zanzibar.
CUF Tanga ,Lindi na Mtwara. Rungwe na Mbatia apige kampeni . Hakika Vyama hivi vikiacha tamaa ya kuingia ikulu kinadharia bila kuungana na kuacha kuwaza pesa tu kama akina Mdee na wengine wanaonunulika Kwa fedha za mabilionea wa CCM ni dhahiri kabisa kuwa vinaweza kuingoa CCM asubuhi kabisa kwenye uchaguzi wowote hata kama ni Kwa kutumia katiba iliyopo. Mkoloni alingolewa Kwa Katiba yake na majeshi yake na kila kitu cha kwake sembuse Hawa wahuni na mafisadi wanaowaza Mali zao na roho zao.
 
Kinachobishaniwa sio uwepo wa akina Halima bungeni bali ni mamlaka iliyowateua. CHADEMA wanathibitisha kuwa hawakuwahi kuteua hao wabunge huku wao wakidai waliteuliwa na chama. Nadhani hutokuwa mjinga tena baada ya elimu hii adhimu.
Adhabu yenu kubwa kuliko zote ni kuwafukuza uanachama TU, nothing more nothing less than this. Labda kama mmeandaa oriodha yenu nyingine ya kuchukua nafasi ya akina Halima. Lakini ili oriodha hiyo ieleweke kwetu lazima kwanza mtangaze kutambua uchaguzi ule na matokeo yake
 
Rushwa ni tatizo kubwa sana.
Wale mabinti wanatoa laki Tano kila mwezi kugawa Kwa sabufa na wahuni wenzake.
Nchi hii Ina pesa nyingi sana.
Tatizo ni wahuni walijificha ndani ya CCM . Wahuni wapo tayari hata kuiuza nchi alimradi wabaki madarakani na kujilimbikizia Mali za wizi na rushwa.

Wabunge wale wamefukuzwa na Chadema haitaki kupeleka wabunge wa viti Maalumu.
Kwetu sisi tunaokatwa tozo na wanyama wetu kuuzwa Kwa Waarabu ilikua ni faida mana Pesa zetu wanazolipwa wabunge 19 zingepelekwa kule Handeni kujenga nyumba za Wamasai wanahamishwa Loliondo kupisha mipaka na nchi za Uarabuni au kujenga nyumba za Walimu na wanajeshi.

Tatizo ni nchi hii kukosa wanasiasa wenye Nia kamili ya kulinda Mali za umma . Mdee na wenzake walipaswa kushitakiwa Kwa kufoji na kujipeleka Bungeni na wakibainika kuwa walifoji basi warudishe fedha zote walizoiba hata kama itakua ni mwaka 2040.

Umoja part labda kinaweza kikawa mkombozi wa nchi hii dhidi ya mikono ya wahuni Vinginevyo wezi na wahuni hawatakoma kwani wananufaika na uhuni na wizi huo Tena Kwa kupiganiwa na viongozi wakubwa kama Spika wa Bunge na Msajili. Yani nchi inakopa halafu pesa zinachezewa kihuni huni.

Tuanze na umoja part Kanda ya Ziwa Chadema Kaskazini na Musoma ,Iringa na Mbeya na DSM.
ACT Kigoma na Zanzibar.
CUF Tanga ,Lindi na Mtwara. Rungwe na Mbatia apige kampeni . Hakika Vyama hivi vikiacha tamaa ya kuingia ikulu kinadharia bila kuungana na kuacha kuwaza pesa tu kama akina Mdee na wengine wanaonunulika Kwa fedha za mabilionea wa CCM ni dhahiri kabisa kuwa vinaweza kuingoa CCM asubuhi kabisa kwenye uchaguzi wowote hata kama ni Kwa kutumia katiba iliyopo. Mkoloni alingolewa Kwa Katiba yake na majeshi yake na kila kitu cha kwake sembuse Hawa wahuni na mafisadi wanaowaza Mali zao na roho zao.
Kwa mujibu wa chadema 2020 hakukuwa na uchaguzi hakuna Rais Wala mbunge halali. Kwanini hawazungumzii hili? Hutaikia hela kwa kuwafukuza akina Halima, maana watapelekwa wengine kujaza nafasi zao au akili hamna?
 
Rushwa ni tatizo kubwa sana.
Wale mabinti wanatoa laki Tano kila mwezi kugawa Kwa sabufa na wahuni wenzake.
Nchi hii Ina pesa nyingi sana.
Tatizo ni wahuni walijificha ndani ya CCM . Wahuni wapo tayari hata kuiuza nchi alimradi wabaki madarakani na kujilimbikizia Mali za wizi na rushwa.

Wabunge wale wamefukuzwa na Chadema haitaki kupeleka wabunge wa viti Maalumu.
Kwetu sisi tunaokatwa tozo na wanyama wetu kuuzwa Kwa Waarabu ilikua ni faida mana Pesa zetu wanazolipwa wabunge 19 zingepelekwa kule Handeni kujenga nyumba za Wamasai wanahamishwa Loliondo kupisha mipaka na nchi za Uarabuni au kujenga nyumba za Walimu na wanajeshi.

Tatizo ni nchi hii kukosa wanasiasa wenye Nia kamili ya kulinda Mali za umma . Mdee na wenzake walipaswa kushitakiwa Kwa kufoji na kujipeleka Bungeni na wakibainika kuwa walifoji basi warudishe fedha zote walizoiba hata kama itakua ni mwaka 2040.

Umoja part labda kinaweza kikawa mkombozi wa nchi hii dhidi ya mikono ya wahuni Vinginevyo wezi na wahuni hawatakoma kwani wananufaika na uhuni na wizi huo Tena Kwa kupiganiwa na viongozi wakubwa kama Spika wa Bunge na Msajili. Yani nchi inakopa halafu pesa zinachezewa kihuni huni.

Tuanze na umoja part Kanda ya Ziwa Chadema Kaskazini na Musoma ,Iringa na Mbeya na DSM.
ACT Kigoma na Zanzibar.
CUF Tanga ,Lindi na Mtwara. Rungwe na Mbatia apige kampeni . Hakika Vyama hivi vikiacha tamaa ya kuingia ikulu kinadharia bila kuungana na kuacha kuwaza pesa tu kama akina Mdee na wengine wanaonunulika Kwa fedha za mabilionea wa CCM ni dhahiri kabisa kuwa vinaweza kuingoa CCM asubuhi kabisa kwenye uchaguzi wowote hata kama ni Kwa kutumia katiba iliyopo. Mkoloni alingolewa Kwa Katiba yake na majeshi yake na kila kitu cha kwake sembuse Hawa wahuni na mafisadi wanaowaza Mali zao na roho zao.
Ni heri ukose Mali kuliko akili. Akina Halima wakifukuzwa bungeni hela zao zinaenda kununua madawa? Yaani unamaanisha kuwa hawatakwenda wengine kujaza nafasi zao?
 
Back
Top Bottom