Kesi ya Mirathi ya Dkt. Likwelile: Vicky Kamata ashindwa, mahakama yasema ndoa yao haikuwa halali

Kimenisikitisha hicho Kingereza kilichopo kwenye hukumu.

Dah, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda. Ikiwa judge ndio hivyo, judgment si itatupiliwa mbali mahakama ya rufaa kwa lugha tu hiyo.
Lugha za kisheria ziko very complicated kwa wasio somea mambo ya sheria! Na rahaa ya kukosoa jua kurekebisha ili wataalam wapime!!
 
Sasa kama alitumia kyuma kuipata atashindwaje
 
Sheria za Tanzania sizielewi mimi.

Mfano Dada akizaa na Jamaa pasipo ndoa na huku jamaa bado hajaoa yani hakuwa na mke.
Jamaa akifaliki na kuaacha baadhi ya mali huyo dada aliyezaa nae hawezi kuchukua mali kwa kisingizio cha mtoto mali zinabaki kwa ndugu wa ME.

Ila mwanamke akizaa na Mume wa mtu ambaye anafamilia yake kabisa na mke wake wa ndoa. Mume akifariki akaacha mali alizochuma na mume wake , huyo dada aliyevamia ndoa ya watu anaweza kuchukua mali 😬😬😳 kwa kisingizo cha mtoto why??? Wakati hakuwa mume wake??
Huku sheria za Tanzania zinasema kutembea na mke wa mtu au mume wa mtu ni kosa kisheria. Adhabu faini au kifungo.
 
Vicky Kamata hatimae amekamatwa kwaio badala kuwa Vicky kamata sasa amekua Vicky Kamatwa [emoji23][emoji23]
Tena anabahati kweli, maana kafoji vyeti vya ndoa viwili Cha ndoa ya serikali na Cha kanisani kule Arusha nabii kaulizwa kakataa hakuwai kuwafungisha ndoa, angekuwa mwenzangu na Mimi Sasa hivi tupo lupango.
 
Halafu eti anajiona self made,self made my foot.Wakati kote alikopita kitumbua kiliumia.🤣
Binadamu ndio walivyo, wengine ni washirikina first class ila magari yao yamebandikwa sticker this car is protected by blood of Jesus.

Yani ilimradi wakupoteze tu maboya, wanakwambia nenda kulia kumbe wenzako wanakwenda kushoto.

Ukiwauliza siri ya mafanikio yao watakwambia towa sana sadaka kanisani kumbe wao sadaka zao wanatowa kilingeni.
 
Wewe Jinga kabisa, Vicky ni Malaya first class, kuwa na nyumba Sinza wala si ajabu.

Angekuwa ni mtoto wa Dar siyo mshamba wa Geita angekuwa na nyumba mpaka New York USA.

Amedanga mpaka kwa namba moja wa nchi, ndio unashangaa kuwa na nyumba Sinza?
 
Zaburi 127.

Watoto ni urithi kutoka kwa Yehova. … 1 Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure; Bwana asipoulinda mji, walinzi wakesha bure. 2 Si jambo lingine kwamba unaamka asubuhi na mapema na kuchelewa kupumzika, unakula mkate wa huzuni, kwa maana Mungu atampa mpendwa wake usingizi.
 
Nakazia [emoji4]
 
Wewe ni kilaza tarehe ya ndoa ya Vicky na huyo mzee umeiona? Tarehe ya kifo cha mke wa kwanza umeiona? Hakuna ndoa ya kikristo yenye mke zaidi ya mmoja .kwa sababu ndoa ya kwanza haikuwa na talaka (kwenye register ya RITA haikufutwa) automatically ndoa ya pili sio halali kwa sababu muongozo wa ndoa za kikristo upo kwenye sheria za nchi hairuhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja.
 
Kimenisikitisha hicho Kingereza kilichopo kwenye hukumu.

Dah, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda. Ikiwa judge ndio hivyo, judgment si itatupiliwa mbali mahakama ya rufaa kwa lugha tu hiyo.
Huwa nakupenda kwa kuwa na jicho la tatu. Wakati wengi wakijikita kwenye mambo ya alikuwa danga, aligongwa bure nk. Wewe umejikita kwenye technical issue. Shukran sana keep it up Madam.
 
Acha kukurupuka, Mahakama imekwambia Tanzania kuna aina mbili za ndoa, Ndoa ya wake wengi na ndoa ya mke mmoja, Marehemu alikuwa na ndoa ya mke mmoja, Na Vick aliolewa kabla ya mke hajafariki, Na mume hakumpa mkewe Taraka, Vilevile Mahakama ilimuuliza Mchungaji aliefungisha ndoa ya Vick alikana hamjui Vick, Maana Mchungaji angekiri nae alikuwa na kosa kisheria na jela ilikuwa inamuita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…