Kesi ya Mtumishi wa TRA aliyetishia Bastola na kujeruhi mtu Club 1245 yapigwa Kalenda hadi Januari 21, 2024

Kesi ya Mtumishi wa TRA aliyetishia Bastola na kujeruhi mtu Club 1245 yapigwa Kalenda hadi Januari 21, 2024

Mtu akishalewa unategemea kweli atende kosa akishirikisha ubongo wake!!??
Mazingira ya tukio ni kwenye club ya pombe.....
Ombaneni msamaha mka-settle hii kesi nje ya mahakama
Sheria haitambui huo usenge uliouandika wewe kunywa pombe ulewe halafu kavunje sheria ukisingizia pombe,utashughulikiwa tu
 
Bujuru bado tunamuona sehemu za starehe na shisha na Hennessy akiwa na marafiki na K.
Last week nilimuona arusha yule dogo aliyepigwa kitako. Bata lile lile. Na shati zake za bahamas. Pesa ipo pale.
 
Kesi inayomkabili mshtakiwa Derick Derick Junior, ambaye alionekana katika kipande cha picha jongefu (video) kilichosambazwa katika mitandao ya kijamii, akimshambulia mtu mwingine kwa mateke na kitako cha bastola, imepangwa kuanza kusikilizwa ushahidi Januari 21, 2025, katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni.

Pia Soma
  1. DOKEZO - √ - Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi
  2. Derick Derick Junior aliyemjeruhi mtu kwa Bastola (Club 1245) aachiwa kwa Dhamana
Tarehe hiyo ilipangwa jana Jumatano, Novemba 20, 2024 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Is-haq Kupa, wakati ilipoitwa kwa ajili ya usikilizwaji wa awali huku upande wa mashtaka ukieleza unatarajiwa kuwa na mashahidi 12 na kuwasilisha vielelezo kadhaa.

Derick (36), ambaye ni Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), mkazi wa Salasala jijini Dar es Salaam anakabiliwa na mashtaka mawili, kujeruhi na kutembea na silaha hadharani kwa namna ya kuleta utisho, akidaiwa kutenda makosa hayo Oktoba 27, saa 12.30 asubuhi, eneo la Maaki katika Club ya 1,245, iliyopo wilayani Kinondoni.

Katika shtaka la kwanza, Anadaiwa katika shtaka la kwanza alimjeruhi usoni sehemu ya jicho na puani Julian Bujuru kwa kumpiga kwa kitako cha bastola.

MWANANCHI
Hakuna kesi hapooo mkuu story nzima fwatilia Kuna mtu ANAKULA hela za dogo mfogomdogo akitaja tar dogo anawekwa sawa akipinda inahairoshwa
Badaee nimefunga
 
Haya mnayoyaonaaa kesi kama hii yenye ushahidi kila kitu

Ndioo yanafanyika bila AIBU mahakamani kesi za MIRATHI

Wenye haki wanakwenda na docs zote

Huyu ANAPIGIWA simu Fanya hivi tumalize kesi akimalizana ANARUDI huku Fanya hivi tuyamalize

Sitosahau kesi Moja vijana wangu wameshinda waliteseka pale Moshi hakimu anapewa docs zote HALALI anawazungusha njoon tar x njoon y njoon tar z aliporudia njoon tar B

Nkaingia front na timu Yangu tukamuliza kuna shida ya docs zozote akasema hapana shida nn yunaitana Mwaka WA pili sasa ...

Kumbe mtoto MMOJA mkubwa akamfwata anambiwa waambie NDUGU zako wajipange WAWEKE..xxxx..kwa namba hii

Wakati huohuoo msimamizi babayaoo mshenzi yule nae ANALIWA anadanganywa atashinda kesi

Tukakaa hapa nikaomba USHAURI tukandikiwa BARUA Moja kuelexa yote KWENDA kwa JM

SIKU TATU NYINGI WAKAITWA WAKAEPWA HAKIMU MWINGINE

WIKI KESI IMEISHA VIJANA WAMEPEWA MALIZAO YAAN JAMAA ALIPOONA KUNA MIL 150 KWENYE ACC YA MZEE BANK WAKATAKA BARUA KILA AKIOMBWA JAMAA ANAWAMBIA WAJIPANGE WAMALIZANE NAE AWAPE BARUA

YAAN MAMBO YA MAHAKAMN SIKIA TU HUWA NASHANGAA NKISIKIA WANASIFIWA SIKUHIZI KESI ZIMEPUNGUA AZIKAI SANA MDA HAKUNA USUMBIUFUUTOKENI MAOFISINI

KAGUENI HIZI MAHAKAMA ZA MWANZO ZINATESA SANA WANANCHI WA CHINI NA WASIO NA UWEZO
 
Back
Top Bottom