Kesi ya Uchaguzi Kigoma Mjini: Updates

Kesi ya Uchaguzi Kigoma Mjini: Updates

Endelea kuwakilisha bila kukata tamaa, labda ungetujuza na kilichojiri huko mahakama ya rufaa kama umefanikiwa kuhudhuria ama kama umezipata kutoka kwa Aly Mley mwenyewe.
 
Kesi ya Uchaguzi Kigoma mjini imeendelea leo katika mahakama ya rufaa kwa kusikilizwa pigamizi la Peter Serukamba wa CCM dhidi ya maombi ya Ali Mley wa CDM kutaka mahakama ya rufaa ifanyie marejeo maamuzi ya Jaji Ester Mugasha kuifuta kesi hiyo baada ya Ali MLEY na wakili wake kumtaka jaji huyo ajitoe kwenye kesi kwa madai ya upendeleo kwa CCM.

Source nimepata brief kwa ALI MLEY wa CDM
Unajua hawa JF miongoni mwao wameshanunuliwa na jamaa wa maeneo fulani na hawajuani,kama kungekuwa na forum nyingine ambayo inaeleweka zaidi ya JF wasingetuona hapa,kwa taarifa yenu JF iko mikononi mwa watu fulani mpaka sasa!
 
Unajua hawa JF miongoni mwao wameshanunuliwa na jamaa wa maeneo fulani na hawajuani,kama kungekuwa na forum nyingine ambayo inaeleweka zaidi ya JF wasingetuona hapa,kwa taarifa yenu JF iko mikononi mwa watu fulani mpaka sasa!

Mmmhhhh
 
Sor Ali , huwezi kushinda kesi hii , sikukatishi tamaa but you are not Mchgj not a Padr, not even Mkuu wa Kigango fulani hutoki kaskazini nani atashughulika na issue yako?
 
Ali mley wa chadema anaendelea kupambana na peter serukamba wa ccm kesi hii hairipotiwi na magazeti na haipati msukumo wa cdm;ila kijana mley bado yupo vitani leo kesi ilikuwa mahakama ya rufaa Dar es Salaam; kusikiliza pingamizi la ccm dhidi ya maombi ya Mley kutaka mahakama ya rufaa ifanyie marejeo maamuzi ya jaji Ester Mugasha kuifuta kesi mahakama kuu baada ya Mley na wakili wake kumtaja jaji huyo ajitoe kusikiliza kesi hiyo kwa madai ya kumpendelea Peter Serukamba.

Peter Serukamba wa ccm ameweza kudhibiti kabisa habari za kesi hii kutoka katika vyombo vya habari

mahakama ya rufaa itatoa maamuzi kwa njia ya pingamizi la CCM kwa njia ya notice

source nilikuwa maeneo ya mahakamani na kupata brief kutoka kwa Ali Mley wa Chadema

JF wakati mwingine imekuwa kama gulio fulani kimbunga anasema ameongea nao wote wawili wamesema kesi imefutwa wewe umesema umeongea na Ali kuwa kesi ipo mahama ya rufaa which is which?? jipangeni mtupe habari inayoeleweka!!
 
Pambana kamanda usikate tamaa,CDM wekeni pia mikakati ya kumdondosha CHEMBA 2015.
 
Haki ya mtu haipotei
Kesi ya Uchaguzi Kigoma mjini imeendelea leo katika mahakama ya rufaa kwa kusikilizwa pigamizi la Peter Serukamba wa CCM dhidi ya maombi ya Ali Mley wa CDM kutaka mahakama ya rufaa ifanyie marejeo maamuzi ya Jaji Ester Mugasha kuifuta kesi hiyo baada ya Ali MLEY na wakili wake kumtaka jaji huyo ajitoe kwenye kesi kwa madai ya upendeleo kwa CCM.

Source nimepata brief kwa ALI MLEY wa CDM
 
Back
Top Bottom