Kesi ya uchochezi inayowakabili Malisa inageuka kwa Jeshi la Polisi kuhusu vifo vya utata

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Mahakamani ni sehemu ya ajabu sana kwa wale wenzetu tusiofikiria sheria wala maamuzi. Hili swala lilo lalamikiwa na jeshi la polisi kupitia afande muriro linawezaa kuzua mjadala mwengine ambao ukageuka kibao kwao kuhusu utata wa vifo vinavyo tokea kupitia wao au kuzuka jambo la kupotea kwa watu.

Kwa kesi hii baada PGO sasa ni wasiojulikana ndio kitakuwepo mahakamani sasa.

Your browser is not able to display this video.
 
Aliyegonga huko aliko anapeta tu
Sahvi anacheka tu meno yote nje

Ova
 
Kibatala atatafuna mno hizo fedha za ruzuku.
 
hakuna haja ya kutafuta sympathy kwa jamii, wawajibike kwa upotoshaji husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…