Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .
Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .
View attachment 1986530
Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.
Mungu Ibariki Chadema