Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake Watatu kuendelea tena tarehe 26/10/2021

Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake Watatu kuendelea tena tarehe 26/10/2021

Huyu mama kila akizungumzia HAKI, anadhihirisha unafiki wa hali ya juu. Na kila anapolitamka hilo neno, ajue anachota laana mbele za Mungu. Mungu hana ushirika na mtu mnafiki.
Nina uhakika hana amani nafsini mwake ndiyo maana anajiongezea ulinzi Kila kukicha. Hofu ni ugonjwa mbaya sana. Tutarajue lolote kwanzia sasa.
 
Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .

Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .

View attachment 1986530

Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.

Mungu Ibariki Chadema
Hivi ile kesi ndogo ilishatolewa hukumu? Maana nakumbuka walisimamisha kesi ya msingi kwanza ili kusikikiza kesi ndogo
 
Hivi ile kesi ndogo ilishatolewa hukumu? Maana nakumbuka walisimamisha kesi ya msingi kwanza ili kusikikiza kesi ndogo
Baada ya kupandishwa cheo Mtukufu Jaji Mustapha Siyani aliitupilia mbali na kujitoa kuendelea kuisikiliza
 
Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .

Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .

View attachment 1986530

Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.

Mungu Ibariki Chadema

Kama agenda yao ni kumfunga Mbowe kweli, hii kesi asipopewa Biswalo sijui tena!
 
Yap Ni kweli Mungu wa Sabaya ndiye Mungu wa Mbowe, ila Sabaya alichagua kumtumikia Shetani na akaacha kufuata njia za kimungu katika cheo alichokuwa nacho, kwa hyo usijaribu kuwafananisha Hawa wawili Ni watu tofauti!!

Pia Jambo usilolijua au umejisahaulisha ni kwamba Sabaya ni mmoja Kati ya watu waliotengeneza kesi ya kumbambikia Mbowe!
Usisahau pi na Mbowe ameamua kuchagua kumtumikia shetani kwa ugaidi wake. Usisahau zaid kuwa Mbowe naye amechangia sana kutengeneza kesi ya Sabaya iliyomfunga miaka 30 hivyo kama Sabaya naye amemtengenezea kesi basi stahiki yake Mbowe ni miaka 30 jela kama Sabaya.
 
Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .

Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .

View attachment 1986530

Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.

Mungu Ibariki Chadema
Mungu ibariki CHADEMA
 
Viongozi wetu wanapaswa kukumbushwa vyema
"Yupo Mungu asikiaye maombi".
Yawezekana wamehisi wao ndiyo wanapaswa kusujudiwa!!!!i
Hakiku muda waja wataanguka vibaya
 
Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .

Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .

View attachment 1986530

Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.

Mungu Ibariki Chadema
IMG_20211026_062141.jpg

Jaji Tiganga Joachim
 
Jaji JOACHIM CHARLES TIGANGA mzaliwa wa Kagera wilayani MULEBA tarafa ya NSHAMBA kata ya BIIRABO kijijji BUGARAMA.Ni mtoto wa mtendaji wa kijiji mstaafu mzee CHARLES na mgombea wa kura ya maoni ya udiwani kupitia CCM 2020 .Ni jaji mteule wa Rais magufuli ndiye amepewa dhamana ya kusikiliza kesi hivyo Ni chaguo la tatu kuendesha kesi hiyo.Tumuombee FREEMAN MBOWE kwani anakwenda kukutana na mtoto wa kada wa CCM mtiifu dhidi ya hasimu wao MBOWE.

Kateuliwa kuwa jaji si zaidi ya miaka 3 iliyopita,Hawa ndiyo wale majaji wa voda fasta wa Rais magufuli.kila la kheri mh jaji TIGANGA.
 
Jaji JOACHIM CHARLES TIGANGA mzaliwa wa Kagera wilayani MULEBA tarafa ya NSHAMBA kata ya BIIRABO kijijji BUGARAMA.Ni mtoto wa mtendaji wa kijiji mstaafu mzee CHARLES na mgombea wa kura ya maoni ya udiwani kupitia CCM 2020 .Ni jaji mteule wa Rais magufuli ndiye amepewa dhamana ya kusikiliza kesi hivyo Ni chaguo la tatu kuendesha kesi hiyo.Tumuombee FREEMAN MBOWE kwani anakwenda kukutana na mtoto wa kada wa CCM mtiifu dhidi ya hasimu wao MBOWE.

Kateuliwa kuwa jaji si zaidi ya miaka 3 iliyopita,Hawa ndiyo wale majaji wa voda fasta wa Rais magufuli.kila la kheri mh jaji TIGANGA.
Unang'ata na kupuliza😄😄
 
Jaji JOACHIM CHARLES TIGANGA mzaliwa wa Kagera wilayani MULEBA tarafa ya NSHAMBA kata ya BIIRABO kijijji BUGARAMA.Ni mtoto wa mtendaji wa kijiji mstaafu mzee CHARLES na mgombea wa kura ya maoni ya udiwani kupitia CCM 2020 .Ni jaji mteule wa Rais magufuli ndiye amepewa dhamana ya kusikiliza kesi hivyo Ni chaguo la tatu kuendesha kesi hiyo.Tumuombee FREEMAN MBOWE kwani anakwenda kukutana na mtoto wa kada wa CCM mtiifu dhidi ya hasimu wao MBOWE.

Kateuliwa kuwa jaji si zaidi ya miaka 3 iliyopita,Hawa ndiyo wale majaji wa voda fasta wa Rais magufuli.kila la kheri mh jaji TIGANGA.
Kateuliwa kuwa jaji si zaidi ya miaka 3 iliyopita,Hawa ndiyo wale majaji wa voda fasta wa Rais magufuli.kila la kheri mh jaji TIGANGA.[emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .

Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .

View attachment 1986530

Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.

Mungu Ibariki Chadema
Are a reciprocal to johnthebaptist ?
 
Nchi nyingine, Jaji ni nafasi ya heshima, lakini kwetu hapa, kuwa jaji ni sawa sawa na Polisi, msajili wa vyama vya siasa, mwenyekiti/mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi, wakurugenzi wa Wilaya. Wote, hakuna mwenye weledi, wanafanya kazi kama tarishi, wanasubiria amri ya mwenyekiti wa CCM.

Kwa sasa hizo ni nafasi, kwa kiasi kikubwa ni alama ya ibilisi. Mpaka sasa, hakuna hata mmoja aliyeonesha kwa vitendo kuwa hataki ushirika na ibilisi. Hakuna aliyeonesha kuwa anataka kuwa mtumwa wa weledi wake, kama ambavyo watu wenye akili na weledi hupenda kuwa. Hawa wa kwetu wameamua kuwa watumwa wa CCM, na CCM ina ushirika wa kudumu na inilisi. By implication, nao wameamua kuishi kwenye ndoa na ibilisi. Siku zote ibilisi, lazima mwishowe akupeleke kwenye majuto.
Duh! Jaji aliyehukumu kesi ya Sabaya na yeye ni mshirika wa ibilisi pia?!!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara...
Angalau sasa namuona Samia akitengeneza legacy nzuri hapa Tanzania. Kwa hili amewapiku JK na JPM kwa mbali.

Kitendo cha kutoingilia hii kesi hata kama Mbowe atafungwa na kuhakikisha wamachinga wanaondolewa mitaani hata kama CCM itageuka na kuwa chama cha upinzani, nampa hongera sana.

Naamini akiendelea kufuata sheria na kutovunja katiba, angalau Tanzania itaheshimika.
 
Back
Top Bottom