johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naona bado wako getini kwenye mchakato!
Kabisa. Wakishaingia wataanza kuandikaNaona bado wako getini kwenye mchakato!
Imakatiwa rufaa...tusubkri muongozo wa jopo la wakili wasomiHivi trial within a trial huwa haikatiwi rufaa? Msaada wajameni!
Great! Ila Jaji husika ndio ameshakuwa boss; wenzie watamuumbua au watamsitiri? Ngoja tusubiri.Imakatiwa rufaa...tusubkri muongozo wa jopo la wakili wasomi
Mimi ni chadema!Wakujuze wewe ni sehemu ya familia ya Mbowe?
Wewe unasubiria urithi?!!!Fanya kazi zako huko uwatengenezee hata watoto wako Urithi wa kueleweka.
Posho imekata?Mimi ni chadema!
Leo naagiza lita 10 kabisa!Posho imekata?
CCM lazima wakufuze tenaLeo naagiza lita 10 kabisa!