Kesi hii ni mpango wa Mungu wetu kuiumbua CCM na Serikali yake dhalim. Aibu kubwa hii kutumia mamilioni ya kodi zetu kutunga kesi ya uongo kwa chuki za kisiasa tu. Polisi, TISS na Mahakama zimeji vunjia heshima sana.
Watu hawajajua haya;
Ukatili wa kijinsia.
Ukatili wa kisiasa.
Ukatili wa vyama.
Ukatili wa kidini.
NB!
Ukatili wa kivyama na kisiasa umeshika kasi kuliko vyote.