Kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake kuanza kusikilizwa Ijumaa na Jaji Mustapha Siyani

Kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake kuanza kusikilizwa Ijumaa na Jaji Mustapha Siyani

Ombeni ajitoe kama inaruhusiwa kukataa majaji mfululizo na mpendekeze mlie na imani nae.
Kuumbuka tu huyu na yule aliekataliwa, wote waliteuliwa na kuapishwa na Mwendazake tena siku moja.

Screenshot_20210908-193328_Twitter.jpg
 
Watendaji wengi waliotoka TIS walipewa maagizo na mpindisha sheria. Mbowe asingepona Kama sugu
 
Haya hayana budi yatokee ili makusudi ya Mungu yatimie
 
Mungu anajua Mbowe anaonewa. Mungu akutetee. Mara nyingi Waislam wanaume wana sifa ya kumwogopa Mwenyezi Mungu kuliko Wakristo wanaume. Vilevile, Wanawake wa Kiislam hawana kawaida ya kutenda haki ukilinganisha na wenzao wa Kikristo. So they say.
 
Mungu endelea kumlinda Kibatala.

NB: Tz tujifunze yanayo endelea huko africa ya kati.
Wanasema huko ni mbali sana, hayaweza yakafika huku kwetu!

Unajua, ukiwa una'enjoyi' utamu, huwezi kukumbuka kwamba kuna mwonjo wa ukakasi pia.
 
Mwamba yupo imara ,akizingua nae tunamkataa
Ule usemi: "Kanzu mpya, Shehe yule yule", si ajabu ukawa na nafasi yake hapa.

Tumefanikiwa kumkataa Jaji, lakini mwenye Mamlaka au Wajibu wa kupanga Majaji je?

Kama atatenda haki, tutamshukuru, ila kuondoa yote haya, Katiba Mpya pekee ndio suluhisho.

Sina imani na Serikali, Bunge wala Mahakama, bali nina imani na Mungu alie juu.
 
Back
Top Bottom