Kesi ya Ugaidi yazidi kufichua Mazito. Shahidi aulizwa kuhusu utekaji wa Ben Sanane, Magoti na shambulio la Lissu

Kesi ya Ugaidi yazidi kufichua Mazito. Shahidi aulizwa kuhusu utekaji wa Ben Sanane, Magoti na shambulio la Lissu

Again mkuu unazidi kujionyesha ni jinsi gani ulivyo katili na bado unaingia nyumba za ibada,muda sio mrefu upepo utageuka na utaonyeshwa ni jinsi gani upendo na ithamini wa utu wa mwanadamu ulivyo bora .
Kwenye heading maelezo hayafanani na maelezo yaliyofuatia!

Wametajwa na nani?

Kwa uthibitisho gani?

Kama ni mwanasheria kawataja na amejiridhisha na ushahidi alionao,ni kwa nini asiwafungulie kesi?

Acheni kufungua Topic za kichadema za uzushi uzushi, halafu mnaanza kusupport wenyewe kwa wenyewe huku mkijua mnaongopa.

Huu ni uhuni,tulieni kesi iendeshwe na kama ni ukweli tuujuwe mwisho wa kesi.

Hii ingine ni kutapatapa tu.
 
Maulidi Kitenge ndie aliyezuia bila yeye Ingekuwa historia.
Nape kapewa kilengeo na wabaya wake target mbele yake
Maulid kitenge alikuwa ba SMG au silaha gani dhidi ya wale maafisa wa TISS?

Acheni uzandiki na uchonganishi mnaouendekeza mpaka hata Samia anawaumbua majukwaani, maana jana tayari mlikwishaanza na Mh saana Lukuvi.
 
Maulid kitenge alikuwa ba SMG au silaha gani dhidi ya wale maafisa wa TISS?

Acheni uzandiki na uchonganishi mnaouendekeza mpaka hata Samia anawaumbua majukwaani, maana jana tayari mlikwishaanza na Mh saana Lukuvi.
Tulia tazama nature inavyofanya Kazi yake.
Kama huku shikriki kumwaga damu haikuhusu
 
Kwa hiyo wakili wa upande wa utetezi akisema alihusika na matukio hayo, basi wote bila kuhusisha vizuri halmashauri za vichwa vyetu tukubalie tu na kushangilia kama mazuzu, kisa tu katekenya masikio yetu na story tunazozipenda, hata kama ni za kubumba tu.

WaTanzania wa sasa hatuko hivyo, tukidanganyika ujue tumeamua, lkn haimaanishi kwamba hatujui ukweli.
Mbona wa mashtaka waliposema Mbowe kahusika kupanga ugaidi mliamini mpaka mkuu wa nchi akasema na wengine walishafungwa?
Si mmeamua nchi iende kwa hisia tulieni tuli wakati wsiojulikana wakiwa wamekanyaga waya.
 
Kwenye heading maelezo hayafanani na maelezo yaliyofuatia!

Wametajwa na nani?

Kwa uthibitisho gani?

Kama ni mwanasheria kawataja na amejiridhisha na ushahidi alionao,ni kwa nini asiwafungulie kesi?

Acheni kufungua Topic za kichadema za uzushi uzushi, halafu mnaanza kusupport wenyewe kwa wenyewe huku mkijua mnaongopa.

Huu ni uhuni,tulieni kesi iendeshwe na kama ni ukweli tuujuwe mwisho wa kesi.

Hii ingine ni kutapatapa tu.
Na bado,kama ulishiriki kuufanya huu unyama,anza kutubu mapema,Mungu huwa habariki dhuruma
 
Kwenye heading maelezo hayafanani na maelezo yaliyofuatia!

Wametajwa na nani?

Kwa uthibitisho gani?

Kama ni mwanasheria kawataja na amejiridhisha na ushahidi alionao,ni kwa nini asiwafungulie kesi?

Acheni kufungua Topic za kichadema za uzushi uzushi, halafu mnaanza kusupport wenyewe kwa wenyewe huku mkijua mnaongopa.

Huu ni uhuni,tulieni kesi iendeshwe na kama ni ukweli tuujuwe mwisho wa kesi.

Hii ingine ni kutapatapa tu.
Siongelei kuhusu kesi,ninachokisema ni kuporomoka mno kuhusu kujaliana kama binadamu,ukatili na unyama umetamalaki mno including wewe ambaye hufikirii hilo,elewa your innocent until court of law iamue vinginevyo na why tunaweweka mahabusu suspects kwa muda mrefu wakati kesi zao zipo mahakamani?why we can bail them?pls jitahidi muda mwingine kufikiria kama human being usiwe kama mafikirio ya kikaburu au ushetani.
 
Maulid kitenge alikuwa ba SMG au silaha gani dhidi ya wale maafisa wa TISS?

Acheni uzandiki na uchonganishi mnaouendekeza mpaka hata Samia anawaumbua majukwaani, maana jana tayari mlikwishaanza na Mh saana Lukuvi.
Moja kwa moja wewe ni katika wale division 4 aliowataja Simbachawene
 
Mbona wa mashtaka waliposema Mbowe kahusika kupanga ugaidi mliamini mpaka mkuu wa nchi akasema na wengine walishafungwa?
Si mmeamua nchi iende kwa hisia tulieni tuli wakati wsiojulikana wakiwa wamekanyaga waya.


Kwani kesha hukumiwa kwa maneno yale!!!?

Anyways, strange thing to me is both former dc and mp of Hai are behind the bars.
 
Allah ndo Nani!! Tutolee hapa majina ya waarabu leta ya kiswahili. Mbona unakuwa slave hivyo
Aisee mkuu!!

Screenshot_20211029-110122.png
 
Ndie alie mtapeli Prof Maeda kwa kumsingizia kwamba kumekutwa meno ya tembo nyumbani kwake.
Alafu eti mpaka leo yupo kazini na ni shahidi wa kuaminiwa wa serikali,

Tz ni nchi ya ovyo kutokea toka kuumbwa kwa dunia.
 
Mungu kawanyima maarifa Ili wamkamate Mbowe Ili watz waone madhambi yao KILA kitu kitawekwa wazi Mungu alianza na Sabaya katuonyesha sabaya akakiri wao ndio walimtuma kukwepa aibu wakamfunga.
Mdogo mdogo tutawajua wote walioshiriki dhuluma ikiwemo dereva aliyembeba Azory akauliwe,crew nzima iloyomteka Roma Mkatoliki na wote walioshiriki dhuluma.
Huwezi ukaikimbia nature hata iweje na hakuna Siri duniani kuna ulimwengu usioonekana hawa ndio watoa Siri kwa wanadamu wanaonekana.
Unaroga pekee yako usiku asubui watu wanajua.
Kwa iyo kwa maandishi haya ina maana na Sisi wenye ID fake tutajulikana. Mbona unatutisha sasa
 
True hatuwezi kupona bila kuwapeleka wahuni sehemu salama Ili wasiharibu tena Jamii walitutesa Sana tuliishi kama kosovo vile.
Wao wanajiona leo hii wamesimama lkn wajue kuwa kesho wanaweza kujikuta wamechuchumaa
 
Back
Top Bottom