Kesi ya uhaini na kifo cha Komando Tamimu

Kesi ya uhaini na kifo cha Komando Tamimu

mkuu funguka zaidi kuhusu huyo zacharia hanspope, alifanya nini sana hadi wakataka wam arrest.

Yeye ndiyo alikuwa kapangwa awe Rais pindi wakipindua Serikali, kilichomwokoa ni kubadili njia ya kupita ambayo akina Apson na Vijana wake walikuwa wameweka mitego yao lakini alikuja kukamatwa baadae na kaka yake ambaye pia walikuwa pamoja kwenye hizo njama za kumpindua Nyerere wakafungwa wote hadi mwinyi alipokuja kuwaachia kwa shinikizo la marehemu Mandela ambaye alikuwa hataki kusikia wafungwa wa kisiasa wakibakia gerezani popote zilipo Nchi rafiki wa South Africa.
 
Ukifuatilia Tu Vitimbi Vya Zacharia Hanspoppe ( Kapteni Wa JWTZ Zamani ) Hutapata Taabu Kujua Ni Kwanini Alikoswakoswa Na Akashtakiwa Kwa Kesi Ya Uhaini Enzi Hizo.
Kipindi kile alikuwa kujana alikuwa fiti sana na yeye ndiyo walipanga awe Rais pindi wakifanikiwa kumpindua Nyerere.
 
Wewe unachokijua ni nini? Kama unachokijua au kukariri kipo weka wazi usijifanye kiranja mtukutu .

Mkuu Usipoteze Muda Kujibizana Na MAPOPOMA WALIOTUKUKA Humu. Nimependa Mno MAKAVU Yako Ya UHAKIKA Uliyompa Japo Naona Kama Vile Umemstahi. Nakukubali Sana Mkuu Kama Vipi Mpe Tena DONGO Lingine AKUHESHIMU!
 
Wewe Kuli acha kuimba taarabu.

Nimekutafuta MAKUSUDI Ili Ujae Ktk FRAME Na Ulivyo POPOMA Umejaa Kweli. Vipi Naulizia Ile Ahadi Yako ULIYOITOA Humu Ya Kutaja Majina Yangu, Kuweka Picha Yangu Na Hadi Namba Zangu Za Simu Imeishia Wapi? Naku Provoke Ili UCHUKIE Na Yakutoke Vizuri Ili Vita Yetu Ya Mimi MYAHUDI Na Wewe MPALESTINA Iendelee Humu.
 
Nimekutafuta MAKUSUDI Ili Ujae Ktk FRAME Na Ulivyo POPOMA Umejaa Kweli. Vipi Naulizia Ile Ahadi Yako ULIYOITOA Humu Ya Kutaja Majina Yangu, Kuweka Picha Yangu Na Hadi Namba Zangu Za Simu Imeishia Wapi? Naku Provoke Ili UCHUKIE Na Yakutoke Vizuri Ili Vita Yetu Ya Mimi MYAHUDI Na Wewe MPALESTINA Iendelee Humu.


Wewe kweli bwigiri wa hali ya juu
 
Japo Walimuua Lakini Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere ALIWALAUMU KULIKOTUKUKA Kwanini Walimtoa UHAI Kwani Kama Sijakosea Huyu Marehemu KOMANDOO TAMIMU Ndiyo Chachu Ya Watanzania Wengi ( Wanajeshi Wetu JWTZ / TPDF ) Kupewa KIPAUMBELE Na UMUHIMU Mkubwa Kwenda Kufanya KOZI Ya UKOMANDOO Kwa Wanaojua Nchini Cuba. Kazi Aliyoifanya TAMIMU Pale Uwanja Wa Ndege Wa Zamani Wakati Rais Fidel Armando Castro Alipotua Na Kumtaka Nyerere AMTAFUTE ASKARI WAKE ANAYEMWAMINI Ili Ampime Ndiyo Ilimfanya Marehemu Komandoo TAMIMU Akubalike Na Apendwe Na Mzee Castro Hadi AKAMWOMBA Nyerere AMPE Afande TAMIMU Tu Kwa MAKUBALIANO MAALUM. Kwa WALIOMJUA Afande KOMANDOO TAMIMU Huyu Jamaa ALIKUWA Ni Zaidi Ya Akina Carlos The Jackal Na Che Guavara Huku Akitaka Kumkaribia FIELD MARSHAL Mwenyewe Rais Mstaafu Wa Cuba Mzee Castro.

Asingeuwawa Comandoo Mohamed Tamim, masaa machache yaliyofuata ilikuwa Mwl Nyerere anapinduliwa. Mpango mzima ulikuwa umekamilika na Capt Maganga mwendesha vifaru mkuu kwenye Vita ya Kagera alikuwa atangaze Mapinduzi baada ya habari ya saa mbili uck RTD. Alipigwa risasi tatu kwny mgongo kinondon mkwajuni akiwa kajificha kwny gari ya Pepsi kwa kuwa alikuwa anatafutwa kwa uhalifu mkubwa ila hawakujua kama kuna mpango siku hiyo ndipo wakakuta mpango mkakati wote. Bila ya Mabere Nyaucho Marando Nchi hii sijui ingekuwa wapi? Capt Maganga aliandika kitabu cha simulizi yote akielezea mpaka jinsi mwl alivotengeneza kikundi cha mapinduzi kumpindua Moi ili awakabidhi akina maganga walipokimbilia kenya baada ya kutoroka gerezani, Moi alinywea akawakabidhi wote wakiwemo wale kina Maghee!
 
Asingeuwawa Comandoo Mohamed Tamim, masaa machache yaliyofuata ilikuwa Mwl Nyerere anapinduliwa. Mpango mzima ulikuwa umekamilika na Capt Maganga mwendesha vifaru mkuu kwenye Vita ya Kagera alikuwa atangaze Mapinduzi baada ya habari ya saa mbili uck RTD. Alipigwa risasi tatu kwny mgongo kinondon mkwajuni akiwa kajificha kwny gari ya Pepsi kwa kuwa alikuwa anatafutwa kwa uhalifu mkubwa ila hawakujua kama kuna mpango siku hiyo ndipo wakakuta mpango mkakati wote. Bila ya Mabere Nyaucho Marando Nchi hii sijui ingekuwa wapi? Capt Maganga aliandika kitabu cha simulizi yote akielezea mpaka jinsi mwl alivotengeneza kikundi cha mapinduzi kumpindua Moi ili awakabidhi akina maganga walipokimbilia kenya baada ya kutoroka gerezani, Moi alinywea akawakabidhi wote wakiwemo wale kina Maghee!

Hicho kitabu kinaitwaje na kinapatikana ama kilizuiwa kusambazwa?
 
Hicho kitabu kinaitwaje na kinapatikana ama kilizuiwa kusambazwa?

Kilizuiwa, alifunguka kila kitu, alielezea kwa kirefu namna walivyopanga mapinduzi, walivyodakwa,walivyotoroka gerezan kwa kutumia gari la kubeba mkaa na kukimbilia kenya, walivyosalitiwa na Daniel Moi akawadanganya anawatorosha nje ya kenya usiku usiku wakastukia wapo dodoma walipofunguliwa vitambaa, kitabu hicho pia kilichapishwa kwny Rai ya Jeneral Ulimwengu kabla hajavuliwa Uraia. Capt Maganga mwenyewe anasema dhamira ilikuwa njema japo haikufanikiwa lakini ilichochea sana uamuzi wa Mwl kung"atuka miaka miwili baadae wakati huo huyu Hans pope alikuwa kijana wa 26 yrs.
 
Kwa kifupi sana KOMMANDOO CAPTAIN MOHAMED TAMIMU aliuawa na usalama wa taifa kwa kupigwa risasi na mmoja wa maofisa hao aitwaye Mabere Marando kwakuwa alikataa kukamatwa na akarukia kwenye gari ilIyokuwa imebeba creti za bia kisha akaanza kuwapiga nazo nao kwa kujihami wakampiga risasi na akafa palepale.

Nakumbuka Tamimu aliuawa Kinondoni mkwajuni na afisa mmoja aitwae Simba,alipigwa risasi aliporukia pickup iliyobeba makreti ya bia baada ya kukaidi kukamatwa ndani ya nyumba moja maeneo ya Kinondoni Mkwajuni ndipo alipotoka mbio akarukia pickup hiyo iliyobeba makreti ya bia
 
Nakumbuka Tamimu aliuawa Kinondoni mkwajuni na afisa mmoja aitwae Simba,alipigwa risasi aliporukia pickup iliyobeba makreti ya bia baada ya kukaidi kukamatwa ndani ya nyumba moja maeneo ya Kinondoni Mkwajuni ndipo alipotoka mbio akarukia pickup hiyo iliyobeba makreti ya bia

humu watu wote wanamtaja marando ndo alimaliza shughuli,huyo simba n nan?
 
Japo Walimuua Lakini Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere ALIWALAUMU KULIKOTUKUKA Kwanini Walimtoa UHAI Kwani Kama Sijakosea Huyu Marehemu KOMANDOO TAMIMU Ndiyo Chachu Ya Watanzania Wengi ( Wanajeshi Wetu JWTZ / TPDF ) Kupewa KIPAUMBELE Na UMUHIMU Mkubwa Kwenda Kufanya KOZI Ya UKOMANDOO Kwa Wanaojua Nchini Cuba. Kazi Aliyoifanya TAMIMU Pale Uwanja Wa Ndege Wa Zamani Wakati Rais Fidel Armando Castro Alipotua Na Kumtaka Nyerere AMTAFUTE ASKARI WAKE ANAYEMWAMINI Ili Ampime Ndiyo Ilimfanya Marehemu Komandoo TAMIMU Akubalike Na Apendwe Na Mzee Castro Hadi AKAMWOMBA Nyerere AMPE Afande TAMIMU Tu Kwa MAKUBALIANO MAALUM. Kwa WALIOMJUA Afande KOMANDOO TAMIMU Huyu Jamaa ALIKUWA Ni Zaidi Ya Akina Carlos The Jackal Na Che Guavara Huku Akitaka Kumkaribia FIELD MARSHAL Mwenyewe Rais Mstaafu Wa Cuba Mzee Castro.

Kumzidi che Guevara? Kumzidi kwa lipi labda...
 
Back
Top Bottom