Kesi ya wabunge 19 wa viti maalum waliofukuzwa CHADEMA, Wakili Kibatala aanza kuwahoji mahakamani

NA MKUU WA GEREZA ALIYEMTOA MTUHUMIWA USIKU WA MANANE KUKIWA NA GIZA NENE
 

CHADEMA wameanza kuwa controlled na serikali. Wajifunze kwa Raila madhara ya kujiungamanisha na serikali.
 
Ni kupenda tu kesi ili mawakili wapige hela. Hii kesi sio kesi. Uamuzi wa chama kuwafukuza uawachama wanachama wake ni haki isiyostahili kuhojiwa kirahisi.
 
Ingekuwa hivyo ingekuwa poa sana .Wanaoweza kufanya hivyo ni mahakama za wakenya huku kwetu ni ngumu mno .sijui majaji wetu wanaogopa nini ?
Ili waendeleze michongo yao gizani katika Dunia ya TEHAMA na Utandawazi.Hawa watu wamechoka mbaya,spana zipigwe na ikiwa nyeupe ama nyeusi tusisite kunena.
Mwisho wa yote ni upatikanaji wa Katiba Mpya ya Wananchi wenyenchi yao-Tanganyika na Zanzibar ndipo tuungane kupata Jamhuri ya Muungano.
Vinginevyo patachimbika hivi punde.
 
Je hii kesi haiwezi ikaoneshwa moja kwa moja kutoka mahakamani? Je kuna watu waliruhusiwa kufuatilia mahakamani!

katafute ugali wa wanao mkuu,kibatala anatafuta ugalia,mdee na wenzie wanatafuta ugali.

endelea kuishi kwa ushabiki.
 
Hii Kesi Wakenya wanafuatilia kwa karibu sana!
Acha kukurupuka hovyo kama ilivyo kawaida ya chawa wanapokuwa kikaangoni bila ushahidi wowote.

Jaji Mkuu wetu mstaafu alitambulishwa rasmi akihudhuria na kufuatilia yaliyokuwa yakiendelea mahakamani Kenya.

Sasa na wewe tutajie Mkenya ambaye anahudhuria rasmi na kufuatilia kwa karibu yanayojiri mahakamani kwetu.
 
Wakili Paskali anafuatilia KESI hii???
 
katafute ugali wa wanao mkuu,kibatala anatafuta ugalia,mdee na wenzie wanatafuta ugali.

endelea kuishi kwa ushabiki.
Wewe hujui huyo unayemjibu kipumbavu hapo anauwezo wa kukulisha wewe, mke na wanao wote maisha yenu yote?

Hopeless kabisa.
 
Wewe hujui huyo unayemjibu kipumbavu hapo anauwezo wa kukulisha wewe, mke na wanao wote maisha yenu yote?

Hopeless kabisa.
sawa sawa mkuu,
lakini nasisitiza katafutie wanao ugali.
 
katafute ugali wa wanao mkuu,kibatala anatafuta ugalia,mdee na wenzie wanatafuta ugali.

endelea kuishi kwa ushabiki.

Yeye ugali tayari anao, sasa hivi anamtafutia Kibatala ugali, au unakonda?
 
sawa sawa mkuu,
lakini nasisitiza katafutie wanao ugali.
Tofauti na huyo uliyemjibu mwanzo, upande wangu nitakupa wewe kazi ya kunipikia ugali kila ninapouhitaji, maana naona ndicho kitu kilichokaa akilini mwako zaidi ya kitu kingine.
 
Tofauti na huyo uliyemjibu mwanzo, upande wangu nitakupa wewe kazi ya kunipikia ugali kila ninapouhitaji, maana naona ndicho kitu kilichokaa akilini mwako zaidi ya kitu kingine.
mimi kukupikia mpaka uwe nao huo ugali.

lakini umemjibia kama mkewe au chawa wake????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…