la cezz
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 314
- 264
Penye ukweli povu hukaa mbali.Lissu ni smart sana kwenye uwanda wa sheria, ataendelea kuwahenyesha kila siku.
Serikali inamuogopa na CCM wanamuogopa, kuanzia mwenyekiti taifa, hadi wanachama wa kawaida.
Nakaribisha mapovu.
Sent using Jamii Forums mobile app