Kesi za ardhi na MIRATHI wanamalizana sana aisee

Kesi za ardhi na MIRATHI wanamalizana sana aisee

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Jana nilikuwa nazika dogo MMOJA pale Arusha sekei

Kijana amekuwa na bosi wake miaka kama kumi

Wakafanikiwa KWENDA kununua kiwanja bagamoyo hk 4

BOsi wake hakufanjkiwa kukiendeleza

Wakaakaa kama miaka 5 wakaenda kukifatilia wakakuta nusu kimeuxwa na kuna watu wameshajenga sio mtu MMOJA

Imebaki hk Moja tu kijana wakaenda SERKL za mitaa MAHAKAMAN AKATOA ushahidi wakashindaa

Ikabidi iamriwe wale jamaa wamlipe mama boss lady WA kijana

WAPENDWA
Kijana kurudi tu dar es salaam BALAA

AKaanaza kutapika damu kuanzia jtano KUFIKA jpili
Kijana wetu akatutokaaaaa

Hizi ardhi sio nzuri sana z akuchezea

Unaweza poteza maisha kirahisisana usiaminiii

Wale WA MIRATHI daini haki zenu ila mtangulizen sana Mungu mnooooo mnapoenda mahakaman

NAKUMBUKA 2019
Tulikuwa na MIRATHI ya mama tukakimbizana NAYO kaka akataka malizote ziuzwe nikamkatalia tugawane kila mtu akauze vyake

Kaka akashindana wewe akiwa kwenye mdumbuano yule hakimu mama Mungu aendelee kumtunxa akaita karani AKATOA faili la mama MMOJA mchaga kimaro

Yule mama mume alirkufa watoto watano wamebakia

Wawili wakaenda MAHAKAMAN wanataka kila cha mzee kiuxwe WAGAWANE hadi nyumba ya mama anayoishi

Aisee akatupa lile failli ANGALIEN karatasi ya tatu death certificate somen n mda gani Toka afungue kesi mwezi tu

Wakaenda safari hii huyu MMOJA kakomaa na yeye

Kijana Mungu kampa maisha akapiga Dili Moja akanunua cruiser

Kama.mjuavyo wachaga akataka KWENDA kuwaonyesha wachaga anatembelea cruiser

Akiwa safari kwa wale dreva wanaenda Moshi WANAJUA SEHEMU imeandikwa punguxa speed same

Kijana Ile akuiona akaikanyagiaaa hahahaa kijana akiwa yeye na mkewe na watoto wawili alibaki MMOJA tu akakimbixwa icu

Mama akapigiwa MWANAO amekufa nakawambia ziken tu


HAPO n miezi miwili BAADA ya nduguyake kufa

Wale watatu waliobakia wako pamoja na mamayao kesi ikafutwa biashara ikaishia

Hii DUNIA na hii ardhi naiogopaa sana

Muwe makini mkienda MAHAKAMAN jipaken mafuta ya mwamposa na maji mtaisha msione wanakuja wanawapendanhatakamaaaa n NDUGU mtaisha
 
Back
Top Bottom