Mkuu mimi ninafurahi sasa kuwa mahakama inatumika kuendeleza chote tunachofanya. Nasistiza ukiamua kwenda mahakanani nenda na ushahidi wa kutosheleza sio maneno ya kwenye kahawa na kuchafuana..katika mazingira tuliyonayo unashauri nini kifanyike?
..ningependa ushauri wako uuelekeze kwa Raisi, Polisi, Ccm, wanaharakati, na ndugu waliopotelewa na ndugu zao.
Mkuu mimi ninafurahi sasa kuwa mahakama inatumika kuendeleza chote tunachofanya. Nasistiza ukiamua kwenda mahakanani nenda na ushahidi wa kutosheleza sio maneno ya kwenye kahawa na kuchafuana
Kuna kitu katika kesi hakipo sawa Jaji amejuaje kuws POLISI hawashikiriii hawa watu. Au wamemtonya kwa njia ambazo hazipo rasmi. Mahakama kazi yake nikubalance hoja za pande mbili kisha kutoa maamuzi sasa kama watu watapeleka kesi zao mahakamani alafu zikawa zinaishia kwa hakimu au jaji watu watakuwa hawapeleki tena kesi mahakamani na badala yake watakuwa wanachukua maamuzi yao, nchi ikifikia hatua hiyo, patakuwa hapakaliki, Mahakama kuu ni sehemu muhimu sana kwa mustakabali ya nchi, kwa ajili ya kulinda amani na utulivu wa nchi. Watu wanataka kuona haki ikitendeka hata kama watashindwa kesi lakini kama kutakuwa na mambo ya techicality kwenye mambo yanayo husu maisha ya watu sasa watu watakuwa wanaogopa nini tena.CHADEMA walilamika kunyimwa fursa ya kufanya mikutano- wakapewa. Walichofanikiwa kikubwa ni kutufahamisha Samia ana mtoto anaitwa ABDUL.
Sasa kwa kuwatumia wanachama wao waliojificha kwenye uwakili wamegeukia mahakamani kwa kufungua kesi zisizo na kichwa wala miguu. Lengo lao ni kuichafua mahakama na polisi.
Kesi hii ilikuwa ni ya kupata amri ya mahakama ya kuwalazimisha polisi kuwaleta Soka na wenzake na wawape dhamana kama wanakosa la kushitakiwa au wawaache huru (MANDAMUS).
Ili kufanikiwa kwa kesi kama hii lazimauwena uhakika na utoe uthibitisho kuwa watu hao wako kwa mtu unayemshitaki.
Hivi vitu CHADEMA na mawakili wao akiwemo rais wa TLS hawana. Jaji kaona, kaamua. sasa tusubiri matusi na kejeri ambayo tayari Mwaipaya kaanza
Update Hukumu ya Soka na Wenzake: Jaji anasema Hajaona uthibitisho kuwa kina Soka wako chini ya ulinzi wa polisi. Ila polisi wote waliotajwa wameamriwa kufanya uchunguzi wa wapi walipo kina Soka kwani na kazi ya polisi kulinda watu na mali zao.
Jaji: Mahakama Haiwezi kutoa dhamana kwa waombaji kwani hakuna uthibitisho kuwa wako chini ya custody ya polisi.
Wapi Chadema waliposema hawakubaliani na hukumu ya mahakama?Nashukuru kwamba
1. fursa ya kwenda mahakamani ipo
2. watu wameenda mahakamani
3. Mahakama imewasikiliza
4. hoja zllizowasilishwa zimeisaidia mahakama kutoa hukumu
ila CHADEMA hawako tayari kukubaliana na hukumu ya mahakama
Ushahidi wa Mazingira unasemaje?Nashukuru kwamba
1. fursa ya kwenda mahakamani ipo
2. watu wameenda mahakamani
3. Mahakama imewasikiliza
4. hoja zllizowasilishwa zimeisaidia mahakama kutoa hukumu
ila CHADEMA hawako tayari kukubaliana na hukumu ya mahakama
Uko na upeo mpana.Kuna kitu katika kesi hakipo sawa Jaji amejuaje kuws POLISI hawashikiriii hawa watu. Au wamemtonya kwa njia ambazo hazipo rasmi. Mahakama kazi yake nikubalance hoja za pande mbili kisha kutoa maamuzi sasa kama watu watapeleka kesi zao mahakamani alafu zikawa zinaishia kwa hakimu au jaji watu watakuwa hawapeleki tena kesi mahakamani na badala yake watakuwa wanachukua maamuzi yao, nchi ikifikia hatua hiyo, patakuwa hapakaliki, Mahakama kuu ni sehemu muhimu sana kwa mustakabali ya nchi, kwa ajili ya kulinda amani na utulivu wa nchi. Watu wanataka kuona haki ikitendeka hata kama watashindwa kesi lakini kama kutakuwa na mambo ya techicality kwenye mambo yanayo husu maisha ya watu sasa watu watakuwa wanaogopa nini tena.
Mkuu unageuza mahakama kikao cha kujadili mahariUko na upeo mpana.
Mahakama ndio suluhisho la mwisho kwa hukumu za hapa duniani sasa wakishindwa wao kutatua watu waende wapi,hata ushahidi haupo clear wanatakiwa kutumia busara zao ili kuondoa sintofahamu na kuzingatia pande zote mbili ila kukandamiza upande mmoja kwa kisingizio cha kukosekana ushahidi inaleta picha mbaya hasa kwa watu waliopoteza wapendwa wao
Kivipi mbona hueleweki?Mkuu unageuza mahakama kikao cha kujadili mahari
wamepata haki inayowastahili kwa sababu wamenda kuiatafuta kusiko stahiliKivipi mbona hueleweki?
Mahakamani ni sehemu ya watu kupata haki zao sasa wewe unavyoona hao waliopoteza ndugu zao wamepata haki zao au wamerudi kama walivyokuja?
Ilitakiwa waende wapi?wamepata haki inayowastahili kwa sababu wamenda kuiatafuta kusiko stahili
Mahakama hizi makampuni ya delina state atn na mengine yalikopa pesa hayakulipa na bado yakashinda kesi?. Au tunaongelea ushuzi gani?. Mtu anatekwa anapigwa na wapo tu Kama ushuzi wa mbwaKutokubaliana siyo kosa kweli ila kuzodoa mahakama ni makosa
DC.....wa Longido aliyetenguliwa pia yumo 😀Ndicho CHADEMA wanachotaka character assassination ya:-
- rais
- polisi
- mahakama
- tiss
- tume ya uchaguzi
- kila kitu