Kessy amwaga wino rasmi Jangwani!!

Kessy amwaga wino rasmi Jangwani!!

Haya maneno yanaonesha ni kiasi gani ulivyogubikwa na hasira kali na wivu.
Vipi,juzi ndiye aliyewafungisha kwa Mwadui FC?
Halafu Manara sijamsikia kitambo sana,hadi nina mashaka na uwepo wake nchini!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
#HuuMchezoHauhitajiHasira

Ha ha ha haaa! Kwa huyu mtoto alivyotumika na Yanga kutuhujumu, wala hainiumi. Ila huko Yanga nako atakuja kuhujumu tu.
Kuna tabia ukizianza basi huwezi ziacha kama vile umekula nyama ya mtu.

Ova
 
Vipi kuhusu Ibrahim Migomba Ajib na yeye kahujumu timu? Maana kuna taarifa kuwa ile Red card aliyopewa alijitakia kwa makusudi kabisa ili afanikishe lengo lake la kutimkia bondeni
 
Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za Mkataba wa Yanga kwa kuitumikia klabu hiyo kwa miaka miwili kuanzia mwezi ujao.

Zoezi hilo lilifanyika juzi usiku mjini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Kessy, Tippo Athumani na kushoto Katibu wa Yanga, Baraka Deusdedit
Wacha akaanze maisha mapya,,,
 
Huyu mtoto nilimchukia toka alipoipa bao Yanga makusudi na alipolazimisha apewe red card na Toto. Aende tu mamluki huyo.
Haya pateni ninyi Yanga kama utumbo ni kitoweo.

Ova
MNA mpira was kizamani sana
 
Haya maneno yanaonesha ni kiasi gani ulivyogubikwa na hasira kali na wivu.
Vipi,juzi ndiye aliyewafungisha kwa Mwadui FC?
Halafu Manara sijamsikia kitambo sana,hadi nina mashaka na uwepo wake nchini!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
#HuuMchezoHauhitajiHasira
Manara nae bhana..tunaogopa tukimsema tutapata kesi maana ule ulemavu wake umekuwa ndio ngao yake..ukimbana kwa hoja anakimbilia kusema kadhalilishwa
 
Baada ya mwaka mmoja utasikia yupo Mtibwa na wala sio Orlando Pirates au Jomo Cosmos
 
Back
Top Bottom