Kevin Carter, Mwanahabari aliyejiua baada ya kupiga picha watoto waliokuwa wakifa kwa njaa sudan

Kevin Carter, Mwanahabari aliyejiua baada ya kupiga picha watoto waliokuwa wakifa kwa njaa sudan

Pamoja na picha hiyo bado tuna jeuri ya kihayawani kuwa "serikali ya kimapinduzi haiondoshwi kwa karatasi(kupiga kura), labda kwa mapinduzi." Mcc chali na bado zahama itafuata.
 
635405a2771d29bf72ef3cb6007d8bab.jpg
Hivi alipona kweli kutoka kwenye makucha ya huyo Tai??
 
Hivi alipona kweli kutoka kwenye makucha ya huyo Tai??
Haijukani na watu wengine walimlaumu sana Kalvin kua alikua na uwezo wakumuokoa ila hakufanya hvo aacha ili kushuhudia..hivo ni moja ya vitu vilivyokuja kumpa sana mawazo Kalvin adi kupelekea kujiua.

When this photograph capturing the suffering of the Sudanese famine was published in the New York Times on March 26, 1993, the reader reaction was intense and not all positive. Some people said that Kevin Carter, the photojournalist who took this photo, was inhumane, that he should have dropped his camera to run to the little girl’s aid. The controversy only grew when, a few months later, he won the Pulitzer Prize for the photo. By the end of July, 1994, he was dead.
 
Haijukani na watu wengine walimlaumu sana Kalvin kua alikua na uwezo wakumuokoa ila hakufanya hvo aacha ili kushuhudia..hivo ni moja ya vitu vilivyokuja kumpa sana mawazo Kalvin adi kupelekea kujiua.

When this photograph capturing the suffering of the Sudanese famine was published in the New York Times on March 26, 1993, the reader reaction was intense and not all positive. Some people said that Kevin Carter, the photojournalist who took this photo, was inhumane, that he should have dropped his camera to run to the little girl’s aid. The controversy only grew when, a few months later, he won the Pulitzer Prize for the photo. By the end of July, 1994, he was dead.
Lazima ajiue. MTU mwenye roho nyepesi huwezi kuwa sawasawa kwa tukio hilo.!
 
WanaJF,
Miaka kama ishirini iliyopita (1993), mwandishi mmoja wa Afrika kusini Kevin Carter, alibahatika kuwa kwenye tukio la namna yake. Kijitoto cha kiafrika kilichokuwa kina jitahidi kuifikia kambi ya kutoa chakula cha msaada wa njaa nchini Sudan kilikuwa kikinyemelewa na tai mla mizoga ili akile kikisha kufa. Huyu mwandishi-mpiga picha alinyemelea scene hii na na kupiga picha na kisha kumfukuza huyu tai naye (Kevin) akaondoka. Hii picha ilimletea zawadi ya Pulitzer ilipochapishwa na The New York Times. Lakini Kevin alilaumiwa na karibu ulimwengu mzima kuwa alimtumia huyu mtoto ili kutafuta umaarufu kama mpiga picha bila kumsaidia huyu mtoto japo kumfikisha kituoni. Hizi lawama zilimfanya ajiue miezi michache baadae.

Mwasemaje wanajamvi, Jee, Kevin alikosea?

The vulture and the little girl




The vulture and the little girl, 1993

The vulture is waiting for the girl to die and to eat her. The photograph was taken by South African photojournalist, Kevin Carter, while on assignment to Sudan. He took his own life a couple of month later due to depression.

This was his suicide note; very depressing:

“I am depressed … without phone … money for rent … money for child support … money for debts … money!!! … I am haunted by the vivid memories of killings and corpses and anger and pain … of starving or wounded children, of trigger-happy madmen, often police, of killer executioners … I have gone to join Ken [recently deceased colleague Ken Oosterbroek] if I am that lucky.”

The suicide: On 27 July 1994 Carter drove to the Braamfontein Spruit river, near the Field and Study Center, an area where he used to play as a child, and took his own life by taping one end of a hose to his pickup truck’s exhaust pipe and running the other end to the passenger-side window. He died of carbon monoxide poisoning, aged 33

isome;The vulture and the little girl
 
Huyo Kevin Carter anautofauti gani na kizazi cha hiki cha mtandao kinachopiga picha na kuziweka mitandaoni na kukuacha bila msaada pale unapokuwa umepatwa na janga
 
Ilikuwa ni tukio la kusisimua sana duniani, nakumbuka vizuri jamaa alijiuwa muda si mrefu baada ya kupokea tuzo.

Alisubiri mda kama dakika 20 mpaka Tai aliposogea karibu na kumpiga picha.
Kwa kweli alikuwa anafanya kazi yake iliyompeleka huko Sudan ingawa alimfukuza huyo ndege lakini tulilalamika sana duniani kote
 
mshana jr upo sahihi huyo dereva anaoneka ni mzima anakosa msaada watu wanapiga picha tunajadili matukio ya 1993 wakati bado yapo hapa kwetu...
 
ningependa kusikia kama huyo binti yuko hai!
Alikufa Mkuu! aliliwa na yule yule Tai! huyo mpiga picha angeweza kupiga picha yake then baadaye angembeba huyo mtoto na kumpeleka kwenye Kambi ambayo kwa mujibu wake mwenyewe haikua mbali sana na eneo la tukio, alikosea sana na hata kuamua kujiua ulikua uamuzi sahihi kwake, ilikua na maana gani kwa picha ile ambayo ilimpa tuzo na pesa na umaarufu mkubwa, halafu kumbe mtoto aliliwa na Tai dakika chache baada ya yeye kuondoka!
 
Alikufa Mkuu! aliliwa na yule yule Tai! huyo mpiga picha angeweza kupiga picha yake then baadaye angembeba huyo mtoto na kumpeleka kwenye Kambi ambayo kwa mujibu wake mwenyewe haikua mbali sana na eneo la tukio, alikosea sana na hata kuamua kujiua ulikua uamuzi sahihi kwake, ilikua na maana gani kwa picha ile ambayo ilimpa tuzo na pesa na umaarufu mkubwa, halafu kumbe mtoto aliliwa na Tai dakika chache baada ya yeye kuondoka!
so sad! Basi na yeye nafsi ilimuuma ndo maana amejiua!
 
Back
Top Bottom