Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

ahaa nimeipenda sana topic hii.kweli huko ni kama jela. mfano kila siku kuamka saa 9 za usiku kwenda kusambaza magezeti. nikimaliza shule nitarudi.

A'fu mnajiuliza kwa nini hatuendelei?
 
MNDEE thank you very much, huu ndio ukweli, na hakuna wa kuupinga hata kidogo... Lakini unadhani kuna memba humu JF asiyejua hayo?? Kwa stahili yetu na maisha yetu, na shida zetu hapa bongo, kuna mtu kweli mpaka anafungua email account hayajui haya?

Ni kauchokozi fulani kanafanyika halafu tunadandia treni kwa mbele na kuchapwa na upepo

Hizi nyingine ni chachandu ndugu yangu, zinapita na zinarudi!!


Mkuu kuna thread ukisoma baadhi ya watu wanaamini kabisa wabongo wanabeba mabox huko waliko, utawasikia rudini nyie acheni kubeba mabox!
 
Wakuu,

Katika suala hili la wabeba maboksi na wala vumbi naona ni kama tumelogwa,wote ni wapiganaji katika viwanja tofauti katika suala la kusaka noti,nasema tumelogwa kwa sababu sote tunasaka noti na kuja kuziweka katika chungu kimoja hapa nyumbani ambacho ni Tresury halafu tunakuwa busy kupigana madongo huku wajanja wanazipukuchukua kiulaini kupitia EPA N.K.

Tuamke tuache kupigana madongo sisi sote ni kama nyuki ktk mzinga mmoja kukikucha kila nyuki anatimkia kona yake kuleta chochote ili mradi tu sega lijengwe na asali izalishwe na ilindwe na sio kuwaachia mafisadi.

Ughaibuni na hapa nyumbani sote tunapigika kutafuta halafu mafisadi wanatuangalia kwa jicho la pembeni kwa kutuweka busy na mjadala kama huu wa wabeba maboksi na wala vumbi badala la kujiuliza hivi tukishazikusanya huwa zinayeyukia wapi.
 
wabeba box mbona wakali......bongo kutamu kudadadeki...kuanzia kwenye totozi mpaka kwingineko......
 
Mlango wa gunia,

Kula 20 zangu za mikononi na miguuni, na za mke/mume wangu 20 na watoto wangu 80. Yaani tunasahau kuwa hata Tanzania kuna wabeba mabox tena kwa taabu kubwa mno. Hebu fumba macho tizama hali za wabeba mizigo kilo zaidi ya 100 kwa masoko makuu ya Kariakoo, Tandale, Tandika, you name a few. Achilia mbali wale wabeba mizigo kwenye magodown ya wachina, wahindi, waarabu, you name a few. Wote hao wanategemea vipato hivyo kuendeshea maisha kwa hali ngumu sana mpaka misuli imevimbiana.


Kwa mtizamo wangu ubebaji mabox wa nje (tuseme Amerika na Uingereza) na kwingineko ni tofauti sana na wa Bongo. Ubebaji wake unalipa na watu wanakuwa na maisha mazuri na kuweza kuleta maendeleo Tanzania. Remmitances ni kubwa sana, wazazi au ndugu hawakosi dola kadhaa kwa mwezi na wengine tumewanunulia viwanja na wameshajenga majumba ya heshima.

Rafiki zangu wamesoma na kazi za vibarua na sasa are PhD holders. Congratulations. Tena nawashauri wala msitamani kurudi hapa, hakuna maisha sana.

At the same time do not mock others livelihood. Kazi zenyewe huko majuu si kuwa ni za mabox, zipo nzuri tu hata kama ni temporary na si kuzi-label mabox.

Mshahara Tz kwa junior workers (private kama ni 3,000 USD in rare cases) basi in the US/UK one can make more. Inategemeana na kujituma kwako. Jamani wapeni experince hawa mockers.
 
Hi wakurugenzi na mameneja wa mauzo na masoko na vitu vingine kwenye makampuni ya simu, benki, ngo's n.k.... kwenye corporate market ya bongo wanakusanya ngapi kwa mwezi....kwa wastani..tuanzie hapa kwanza...kama una data weka hapa..
 
Hi wakurugenzi na mameneja wa mauzo na masoko na vitu vingine kwenye makampuni ya simu, benki, ngo's n.k.... kwenye corporate market ya bongo wanakusanya ngapi kwa mwezi....kwa wastani..tuanzie hapa kwanza...kama una data weka hapa..
20k kwa mwezi plus marupurupu (car,house,and all other expesnses)
 
20k kwa mwezi plus marupurupu (car,house,and all other expesnses)

Kelly01 acha mama,

Yaani mishahara kwa wakurugenzi wa idara na mameneja wa idara bongo imefikia kiasi hiki?..una uhakika kweli...kama hivyo haijakaa vibaya basi.
 
Duh...Basi itabidi uwe na connections za hatari kupata kazi sehemu hizo...mishahara hiyo siyo mibaya hata kidogo
 
Duh...Basi itabidi uwe na connections za hatari kupata kazi sehemu hizo...mishahara hiyo siyo mibaya hata kidogo
MJ....Si unajua Tanzania it's all about kujuana... kama mtoto wa kabwela hutalala mumo humo kazi kama hizo hupati unless customer service... ambayo utaishia kulipwa laki mbili na nusu kwa mwezi....
 
Then rudi kafungue ile kitu kumbe hela ipo.

wee ulidhani mimi natania...nimeona kuna potential kule ya kutengenezahela...watu wanahonga sana pale maisha kupata wale cheap hookers ndiyo maana nataka kuwatengenezea kitu kama kile ili waje waniletee miye zile hela na nchi pia itafaidika m aana si watanikata kodi...
 
MJ....Si unajua Tanzania it's all about kujuana...kama mtoto wa kabwela hutalala mumo humo kazi kama hizo hupati unless customer service.....ambayo utaishia kulipwa laki mbili na nusu kwa mwezi....

Si kweli, mimi nili aply kazi na sikumjua mtu yeyote waliangalia performance yangu na vyeti vya shule, sikatai hio ipo ila kwa private co.s sio sana.

Nawakilisha
 
MJ....Si unajua Tanzania it's all about kujuana... kama mtoto wa kabwela hutalala mumo humo kazi kama hizo hupati unless customer service.....ambayo utaishia kulipwa laki mbili na nusu kwa mwezi....

Ukweli mtupu kuna kipindi niliwahi tembelea kampuni moja ya simu nilikuwa nataka line...nikapiga story na madada wa customer care waliniambia walikuwa wanapata laki tatu na nusu(about 5/6 years back)....hii tofauti ni kubwa sana....
 
Si kweli, mimi nili aply kazi na sikumjua mtu yeyote waliangalia performance yangu na vyeti vya shule, sikatai hio ipo ila kwa private co.s sio sana.
Nawakilisha

Nguli kwa hiyo na wewe ni mkurugenzi/meneja wa idara katika corporate/ngo hapo Tz....vipi kelly1 anadai mnavuta 20k na marupurupu au kwenu nyinyi ni tofauti?.
 
Ukweli mtupu kuna kipindi niliwahi tembelea kampuni moja ya simu nilikuwa nataka line...nikapiga story na madada wa customer care waliniambia walikuwa wanapata laki tatu na nusu(about 5/6 years back)....hii tofauti ni kubwa sana....
Kwa life ya Tanzania sasa hivi mtu unamlipa that amount jamani eeh hapo hajalipa rent ya nyumba,nauli ya beck and forth kazini (commute), chakula na mavazi na hapo ukute ana mtoto...

Life is hard kwa kweli alafu mtu anakwambia bongo tambarare.... tutafika kweli?.... ndiyo maana vibaka wanaongezeka ndiyo ile mesmo unasema maskini wataendelea kuwa masikini na matajiri watatajirika (na ufisadi hautaisha)
 
Si kweli, mimi nili aply kazi na sikumjua mtu yeyote waliangalia performance yangu na vyeti vya shule, sikatai hio ipo ila kwa private co.s sio sana.
Nawakilisha

Kuna private company zingine hupati mpaka umjue fulani... it doesnt matter vyeti vyako vikoje.... ila kuna zingine ndiyo kama unavyosema wewe Nguli.... its all about who you know..... unles sotherwise utasota sana....
 
Back
Top Bottom