Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 82
wee ulidhani mimi natania...nimeona kuna potential kule ya kutengenezahela...watu wanahonga sana pale maisha kupata wale cheap hookers ndiyo maana nataka kuwatengenezea kitu kama kile ili waje waniletee miye zile hela na nchi pia itafaidika maana si watanikata kodi...
Wewe weka zile babu kubwa hispanyola, karibeanz zile safisafi...watu hela wanayo sasa.