joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hahahahahaha, wewe ni kichaa kweli, unadhani tungewezaje kupata pesa za SGR?, kwa taarifa yako tunaanza ujenzi wa mradi mkubwa Afrika wa kuzalisha UMEME wa maji kwa gharama ya $3.6B" KWA KUTUMIA PESA YA NDANI", haijawahi kutokea katika nchi za kusini mwa jangwa la Africa
hahhahahhahahaha but all the 2 billion goes to UK..for Tea it goes to the farmers..hahahhahahahahha