kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
- Thread starter
-
- #21
Mziki wakuimba huku mnabinua midomo na vidole juu mkuu unausapoti????Taarabu ni mziki wenye asili ya pwani ndio maana Znz, Tanga, Pwani na Dar utakuta wanasikiliza Taarabu na kila kabila lina mziki wake wa asili, kama huendani na maadhi ya mziki wa mwenzako basi achana nao maana hata yeye hawezi endana na mziki wako.
Atleast wanaendeleza mziki wao wa asili.
Mwanaume kucheza taarabu ni umama mziki gani unaiba huku umebinua midomo na vidole juu?Taarabu ni mziki wenye asili ya pwani ndio maana Znz, Tanga, Pwani na Dar utakuta wanasikiliza Taarabu na kila kabila lina mziki wake wa asili, kama huendani na maadhi ya mziki wa mwenzako basi achana nao maana hata yeye hawezi endana na mziki wako.
Atleast wanaendeleza mziki wao wa asili.
Mziki wakuimba huku mnabinua midomo na vidole juu mkuu unausapoti????
Ndio asili yao sasa watawakataa?Mwanaume kucheza taarabu ni umama mziki gani unaiba huku umebinua midomo na vidole juu?
Iv unajua kwamba unazid kuwaharibu wanaume wa dar kwa hiz cooments zako wakiziona apaTaarabu ni mziki wenye asili ya pwani ndio maana Znz, Tanga, Pwani na Dar utakuta wanasikiliza Taarabu na kila kabila lina mziki wake wa asili, kama huendani na maadhi ya mziki wa mwenzako basi achana nao maana hata yeye hawezi endana na mziki wako.
Atleast wanaendeleza mziki wao wa asili.
Kwanini wasibinue makalio yao kama wametaka kuyabinua? yaani mtu akibinua makalio ndio anaharibikiwa? wewe ukitaka kukaa kwenye kiti hua unakaaje? na je ukitaka kusimama kutoka kwenye kiti hua unasimamaje? hahahaIv unajua kwamba unazid kuwaharibu wanaume wa dar kwa hiz cooments zako wakiziona apa
Yan kabisa wabinue midomo na tukalio twao, amin kwamba unawapa kichwa
HahahahhahaIv unajua kwamba unazid kuwaharibu wanaume wa dar kwa hiz cooments zako wakiziona apa
Yan kabisa wabinue midomo na tukalio twao, amin kwamba unawapa kichwa
Umeona eeh ushajua kutofautisha asili ya kabila na kabila.... basi acha kuwasema wanaume wa pwaniWe jamaa mimi sitaki bishana na wewe maana nyinyi wanawake wa pwani mnaongea sana
Komenti zako tu unaonekana ni timu vibinua mdomo na vikalio.
Dah wewe jamaa ulisema wakija hawa jamaa itakuwa shida ase njoo uwachukue ndugu zako.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ngoja wapenda taarabu na besidei waje kukuvamia
Sawa upo sahihKwanini wasibinue makalio yao kama wametaka kuyabinua? yaani mtu akibinua makalio ndio anaharibikiwa? wewe ukitaka kukaa kwenye kiti hua unakaaje? na je ukitaka kusimama kutoka kwenye kiti hua unasimamaje? hahaha
Huyu in ke na siyo jamaaDah wewe jamaa ulisema wakija hawa jamaa itakuwa shida ase njoo uwachukue ndugu zako.