Khaaa!!Wavaa suruali wapo wengi lakini wanaume tupo wachache nimeamini.

Khaaa!!Wavaa suruali wapo wengi lakini wanaume tupo wachache nimeamini.

Taarabu ni mziki wenye asili ya pwani ndio maana Znz, Tanga, Pwani na Dar utakuta wanasikiliza Taarabu na kila kabila lina mziki wake wa asili, kama huendani na maadhi ya mziki wa mwenzako basi achana nao maana hata yeye hawezi endana na mziki wako.

Atleast wanaendeleza mziki wao wa asili.
Mziki wakuimba huku mnabinua midomo na vidole juu mkuu unausapoti????
 
Taarabu ni mziki wenye asili ya pwani ndio maana Znz, Tanga, Pwani na Dar utakuta wanasikiliza Taarabu na kila kabila lina mziki wake wa asili, kama huendani na maadhi ya mziki wa mwenzako basi achana nao maana hata yeye hawezi endana na mziki wako.

Atleast wanaendeleza mziki wao wa asili.
Mwanaume kucheza taarabu ni umama mziki gani unaiba huku umebinua midomo na vidole juu?
 
Taarabu ni mziki wenye asili ya pwani ndio maana Znz, Tanga, Pwani na Dar utakuta wanasikiliza Taarabu na kila kabila lina mziki wake wa asili, kama huendani na maadhi ya mziki wa mwenzako basi achana nao maana hata yeye hawezi endana na mziki wako.

Atleast wanaendeleza mziki wao wa asili.
Iv unajua kwamba unazid kuwaharibu wanaume wa dar kwa hiz cooments zako wakiziona apa
Yan kabisa wabinue midomo na tukalio twao, amin kwamba unawapa kichwa
 
Iv unajua kwamba unazid kuwaharibu wanaume wa dar kwa hiz cooments zako wakiziona apa
Yan kabisa wabinue midomo na tukalio twao, amin kwamba unawapa kichwa
Kwanini wasibinue makalio yao kama wametaka kuyabinua? yaani mtu akibinua makalio ndio anaharibikiwa? wewe ukitaka kukaa kwenye kiti hua unakaaje? na je ukitaka kusimama kutoka kwenye kiti hua unasimamaje? hahaha
 
We jamaa mimi sitaki bishana na wewe maana nyinyi wanawake wa pwani mnaongea sana

Komenti zako tu unaonekana ni timu vibinua mdomo na vikalio.
 
We jamaa mimi sitaki bishana na wewe maana nyinyi wanawake wa pwani mnaongea sana

Komenti zako tu unaonekana ni timu vibinua mdomo na vikalio.
Umeona eeh ushajua kutofautisha asili ya kabila na kabila.... basi acha kuwasema wanaume wa pwani
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ngoja wapenda taarabu na besidei waje kukuvamia
Dah wewe jamaa ulisema wakija hawa jamaa itakuwa shida ase njoo uwachukue ndugu zako.
 
Kwanini wasibinue makalio yao kama wametaka kuyabinua? yaani mtu akibinua makalio ndio anaharibikiwa? wewe ukitaka kukaa kwenye kiti hua unakaaje? na je ukitaka kusimama kutoka kwenye kiti hua unasimamaje? hahaha
Sawa upo sahih
 
Back
Top Bottom