Khaaaa!!Kwani ni lazima?

Mara nyingie nyie wanaume nanyi mnashiriki sana kuendekeza huo utegemezi. Jiulize kama waliokutangulia hawakuwa wahongaji tabia hiyo kaipata na kuizoea lini?

Nwy. . . kwa vyovyote vile sio lazima, ila sasa usitongoze kwa M-pesa na simu za bei ghali ili matarajio yasiwe kugeuzana ATM.
 
Issu hapa ni kuwa kuna choice mbili ambazo watu wengi wame opt moja

1.Kuhujua ukweli na kufanya maamuzi magumu kama una weza au kuugua BP kama huna kifua cha kuukubali ukweli

2. Kutokuujua ukweli na kuishi kwa amani na matumaini (kuishi kwa assumption maana hakuna ukweli) mwisho ufe na Ukimwi au usife kama unayemwani anastahili hiyo imani.


Wengi wako tayari kuchukua option ya pili...ndio najiuliza kwa nini?

 
mtafutie kishughuli cha kufanya/bussiness kama hutaki kuombwa,lol................... ughaibuni wanapigana mizinga ila sio sana,sababu serikali ina provide kama huna kazi,.............i can imagine kusurvive bongo bila kazi mmmnh,........sio kazi rahisi, kupiga mizinga muhimu siku zisonge,lol ila kama ana kazi yake inayomuingizia kipato hapo tena pagumu......
 

nyumba kubwa
Kwasababu wanajua kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi magumu. Hata wakijua hawawezi kuondoka wala hawana matumaini ya kuweza kumbadili mwenzi kwahiyo wanaona wasijiumize tu. Its easier that way.
 
Last edited by a moderator:

Upo sahihi kwa mtizamo huu nyumba kubwa, lakini kikubwa hapa ni motivation ya relationship yenu. Hata hizo discourses zinasikika kama za ajabu zinatokana na ukweli kuwa watu tunatofautiana motivation tunapoamua kuingia kwenye mahusiano. Kama motivation yangu ni hela na nikakukubali wewe nikitegemea utakuwa unanitunza kwa kunipa pesa, lazima nitalalama usiponipa.

Halafu jamani tusisahau kuwa umaskini wetu (hata kama ni wa kujiendekeza) contributes to this much more than we often think
 
Hawa ndiyo huwa wanajikuta wanaliwa tigo kirahisi maana wengine chenji zao hazitoki bure bure. Nilishawaambia wadada kuwa ukitaka kunifaidi, usiniombe pesa au kitu chochote zaidi ya kibanjuaji. Ukiwa hivyo, utanifaidi maana najua masaipraz na napenda nijiamulie mimi au nikuulize lakini wengine utafikiri wakusanya ushuru sokoni...! Upo ktk kasi ya Okwi yeye anakumbushia lile gauni kama la ledi gaga.. !! Ebo, wanadhani kila mtu ni mwizi wa BOT kama Mwigulu.. !!
 
tabia iyo wanailea wenyewe afu wanaanza kulalamika
 
hahaa...eti na wewe wale wale...alikua anataka akuchomoe na wewe nini??:spy:
 
Afu hii post ilipotea njia nilikuwa najibu kule kwenye discussion ya kuchunguza mwenza uliye na mashaka nae..Kuifuta imegoma. Ila hizi mada zina relate.

nyumba kubwa
Kwasababu wanajua kuwa hawana uwezo wa kufanya maamuzi magumu. Hata wakijua hawawezi kuondoka wala hawana matumaini ya kuweza kumbadili mwenzi kwahiyo wanaona wasijiumize tu. Its easier that way.
 
Ni umasiki wa fikra zaidi kuliko wa mali... Kwani experience zangu zinaonyesha watoto wa kishua wanaongoza kwa mizinga.


 
If wishes were horses, I could have dated you,.......permanently
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…