Khaaaa!!Kwani ni lazima?

Khaaaa!!Kwani ni lazima?

Girlfriend anayeomba omba ela hana sifa huyo...Hakuna mabinti ninao wa admire kama walio independent...Huwezi kufanikiwa kimaisha kama unajua kuna mjinga mjinga wa kunipa ela pindi ninapohitaji.

Sikuwahi maishani kumuomba mwanaume ela..hata nilipokuwa nina shida kimbilio langu lilikuwa ni dada na kaka zangu. You know why...Nilikuwa najua nikimwomba kaka atakuwa free kunambia kama hana...nikimuomba boyfriend ela hata kama ni kweli nina shida itamuwia vigumu kunambia hana pindi akiwa hana...na itamfanya ajione mdogo.

Hayo ndio mapenzi. Siku hizi tatizo kila mtu amekaa kimaslahi. Utasikia discourses za hajabu..ananitumia...ananichezea...lazima nimchune...yule mjinga bwana ake hamnunulii hata chupi...Lol. hivi mtu unawezaje kuwaza kuchezewa na kutumiwa na umpendaye? Kwani anakubaka?

Amen to that ..
Nyumba Kubwa umemaliza kila kitu ...
 
mdada mwenzangu nyumba kubwa nakupa ma like mia. Roulette na wewe pokea za kukutosha kwa kugongelea nyundo yenye shule nzuri.

naomba niseme haya machache sana, jamani the first approach matters a lot, kama uliapproach kwa staili ya mpesa pesa basi the lady will grow up to be of that kind yaani kuwa chuma uniletee. But kama uliapproach kwa stail ya fair relationship ambayo iko governed na true love sidhani kama binti atakuomba hela mkiwa wachumba.

aisee tumetofautiana sana yaani wewe dada ukutaka maisha yako yawe independent do not rely kwa incentives kama hela kutoka kwa patna wako. Binafsi hata mama aliyeolewa huwa namshauri hivyo. Mume akupe pesa na ukipokea shukuru ila usimwombe. hiyo itakuongezea uwajibikaji wako, na uhuru wako. sijawah mimi kuomba hela kwa bf??? hapana hili gumu hadi unakwenda kulalamika kwa mtu baki?? hii ni aibu.

ladies tujikomboe kwa kuwa watu huru na wenye kujipenda kwa kuwa na misimamo mizuri katika maisha yetu tusipende dezo na yale ya kufanana na hayo manake yatatufunga tu na kamwe ukombozi kwa mwanamke hautakaa ufike kiukweli.
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke anayejitambua hua haombi pesa kwa mpenzi wake hata siku moja....mwanaume anayejielewa hua hasubiri kuombwa pesa hua anatoa tu kwa kujua wajibu wake!! Wanaume acheni ubahili jamani hebu toeni kwa wale mnaowapenda mbarikiwe lol! Simaanishi uwe unamuhudumia kwa kila kitu wala sio umpe kila siku but where necessary at least once per three month sio mbaya! Sometimes unakuta hana kazi by that time, ukimuona kavaa vizuri anavutia unadhani anapata wapi hela ya kujikeep smart kama wewe hujawahi mpa hata siku moja??

Kwanini nikupe hela at the first place?B4 ulikua unatoa wapi?Si una wazazi wewe?Au si unakazi?Mwanaume anaejitambua hawezi kutumia hela hovyo namna hii!
 
Girlfriend anayeomba omba ela hana sifa huyo...Hakuna mabinti ninao wa admire kama walio independent...Huwezi kufanikiwa kimaisha kama unajua kuna mjinga mjinga wa kunipa ela pindi ninapohitaji.

Sikuwahi maishani kumuomba mwanaume ela..hata nilipokuwa nina shida kimbilio langu lilikuwa ni dada na kaka zangu. You know why...Nilikuwa najua nikimwomba kaka atakuwa free kunambia kama hana...nikimuomba boyfriend ela hata kama ni kweli nina shida itamuwia vigumu kunambia hana pindi akiwa hana...na itamfanya ajione mdogo.

Hayo ndio mapenzi. Siku hizi tatizo kila mtu amekaa kimaslahi. Utasikia discourses za hajabu..ananitumia...ananichezea...lazima nimchune...yule mjinga bwana ake hamnunulii hata chupi...Lol. hivi mtu unawezaje kuwaza kuchezewa na kutumiwa na umpendaye? Kwani anakubaka?

Niliwahi kuishi na kijana mmoja wa kutoka tchad akawa ananiambia kule kwao jinsi ya kumjua mdada ambaye hafai wanatest zao wanazozifanya za kimazingira, mfano mojawapo unaofanana na hii story ni huu, kijana anachukua pesa za kutosha kama burungutu ivi la noti mfano za elfu kumi kumi kisha anavaa shati jeupe lenye mfuko ambao ni transpalent, kwahiyo burunguti hilo analiweka mfuko wa shati kisha anaanza story na mdada, kwahiyo mkaka atakuwa anamuangalia wapi huyo mdada macho yake yanaangalia wapi, akimuona madada macho yake yanaangalia sana kwenye mfuko wa shati basi hapo wana conclude kuwa hapo hakuna mke, kwani mind yake iko concentrated kwenye pesa na siyo maongezi.
Madada wa siku hizi ni janga kubwa sana kwani wanataka waishi maisha ya kiTv Tv hali ya kuwa hawana uwezo hali inayowafanya wajitoe miili yao kirahisi mno.
 
Kwanini nikupe hela at the first place?B4 ulikua unatoa wapi?Si una wazazi wewe?Au si unakazi?Mwanaume anaejitambua hawezi kutumia hela hovyo namna hii!

vipi kama hana kazi kwa wakati huo? What if wazazi wake hawana uwezo wa kumsuport?hivi vijana wote wa kitanzania hua wanapewa pocket money na wazazi wao?kama una uwezo and where necessary its not bad to support the one you love kwa nia njema kabisa sio kama buzi lol!!
 
vipi kama hana kazi kwa wakati huo? What if wazazi wake hawana uwezo wa kumsuport?hivi vijana wote wa kitanzania hua wanapewa pocket money na wazazi wao?kama una uwezo and where necessary its not bad to support the one you love kwa nia njema kabisa sio kama buzi lol!!

Kama yuko kwao,mahitaji MUHIMU wazazi wake wanayaweza.Kama hana kazi na anajitegemea tht's onother case,but badala ya kuomba hela na kulazimisha ni bora aniombe nimtafutie shughuli ya kufanya!
 
Mr.Mark,nimependa sana ulivyosema wadada wanapenda waishi maisha ya ki-tv tv,kwani ni kweli kabisa.Siku hizi barabarani wadada utadhani makatuni.Mawigi,mikorogo,misuruali,mini sketi,vifua,migongo nje, mpaka kichefuchefu!
 
Utakuta demu anakuzungusha hakupi K alafu anakupigia simu kabana sauti yuko mme nna shida na elfu 50.
 
Kama yuko kwao,mahitaji MUHIMU wazazi wake wanayaweza.Kama hana kazi na anajitegemea tht's onother case,but badala ya kuomba hela na kulazimisha ni bora aniombe nimtafutie shughuli ya kufanya!

hapa sasa tunaanza kuelewana na ndo maana nikasema mwanamke anayejitambua hawezi kumuomba pesa mpenzi wake, ila mwanaume anayejielewa atatoa where necessary kulingana na mazingira yaliyopo kwa wakati huo bila kuombwa wala kulazimishwa..
 
hapa sasa tunaanza kuelewana na ndo maana nikasema mwanamke anayejitambua hawezi kumuomba pesa mpenzi wake, ila mwanaume anayejielewa atatoa where necessary kulingana na mazingira yaliyopo kwa wakati huo bila kuombwa wala kulazimishwa..

Yes,but not always,khaaaa!!
 
Inawezekana labda natakiwa nikaishi sayari ya Mars.Hivi ni lazima ukiwa na mahusiano na mwanamke umhudumie kama mwanao(sizungumzii ndoa).Leo nimekasirikiwa na dada mmoja baada ya kunilalamikia kuwa rafiki yangu ni mbahili.Mi nikamwambia,sasa unataka akupe hela kwani wewe ni mwanae au mkewe?Yule dada alisonya akanyanyuka kitini na kuniangalia kwa shari kisha akaniambia,"kumbe na wewe ni wale wale",kisha akaondoka.Hivi kwani ni lazima upewe hela?Mtu una kazi,au uko kwa baba na mama yako halafu unataka hela!Za nini?Unaweza kusaidia lakini inapoonekana kuwa unaanzisha mahusiano na mwanamke shida zote anahamishia kwako huo ni ujinga.Tujuane inapotokea dharula sio ndo nakua dingi!!
Mkuu Eiyer kumbuka hivi majuzi walikiri hapa kwamba kama mwanaume hana kazi basi huyo ana kasoro............. Bofya hapa ujikumbushe

https://www.jamiiforums.com/jf-chit...-dhidi-ya-wanaume%85%85%85-9.html#post4255665

Lakini pia asili yao inadhihirishwa hapa.............bpfya hii link hapa chini ujikumbushe

https://www.jamiiforums.com/mahusia...nafuata-asili-katika-kupenda%85%85%85%85.html
 
Girlfriend anayeomba omba ela hana sifa huyo...Hakuna mabinti ninao wa admire kama walio independent...Huwezi kufanikiwa kimaisha kama unajua kuna mjinga mjinga wa kunipa ela pindi ninapohitaji.

Sikuwahi maishani kumuomba mwanaume ela..hata nilipokuwa nina shida kimbilio langu lilikuwa ni dada na kaka zangu. You know why...Nilikuwa najua nikimwomba kaka atakuwa free kunambia kama hana...nikimuomba boyfriend ela hata kama ni kweli nina shida itamuwia vigumu kunambia hana pindi akiwa hana...na itamfanya ajione mdogo.

Hayo ndio mapenzi. Siku hizi tatizo kila mtu amekaa kimaslahi. Utasikia discourses za hajabu..ananitumia...ananichezea...lazima nimchune...yule mjinga bwana ake hamnunulii hata chupi...Lol. hivi mtu unawezaje kuwaza kuchezewa na kutumiwa na umpendaye? Kwani anakubaka?

Umenena mama kubwa
 
Mtambuzi sina tatizo na hayo ya asili,tatizo ni kwanini aniombe hela za matumizi wakati anaishi kwao?Wanawake linapokuja suala la mahusiano huwa wanakuwaje sijui.Wanaowachagua wenza kwa kipato wana matatizo yao hao,ni watupu ndani yao,wanatafuta kukamilishwa na hela!
 
Last edited by a moderator:
Inategemea na mazingira mnayoishi. Hivi kama bf/gf wako amechacha huwezi ukampga tafu hadi akuombe?
 
Girlfriend anayeomba omba ela hana sifa huyo...Hakuna mabinti ninao wa admire kama walio independent...Huwezi kufanikiwa kimaisha kama unajua kuna mjinga mjinga wa kunipa ela pindi ninapohitaji.

Sikuwahi maishani kumuomba mwanaume ela..hata nilipokuwa nina shida kimbilio langu lilikuwa ni dada na kaka zangu.
kwahiyo nyumba kubwa binti anayemuomba hela kaka au dada ni independent ila akimuomba mwanaume ni dependant au sijaelewa?
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin hivi mpenzi wako ni mtu baki? Mpenzi unampa nafasi ya ngapi baada ya wewe?

nimekupa like kwasababu hujaelewa mada ma dearest. huyu eiyer aliyekwenda kulalamikiwa ni mtu baki manake demu ni wa mshkaji wake na eiyer na mimi namshangaa binti kwenda kulalamika kwa mtu ambaye wakiwa wanapeana raha wala hata hashirikishwi ila wakati akikosa kupewa hela ndo anamfuata kulalamika.
 
nimekupa like kwasababu hujaelewa mada ma dearest. huyu eiyer aliyekwenda kulalamikiwa ni mtu baki manake demu ni wa mshkaji wake na eiyer na mimi namshangaa binti kwenda kulalamika kwa mtu ambaye wakiwa wanapeana raha wala hata hashirikishwi ila wakati akikosa kupewa hela ndo anamfuata kulalamika.

Umenena,lakini unapolikosa dekio lako lile ambalo uliliona halina maana hulitafuta hata kwa kupunguza vumbi!
 
Back
Top Bottom