Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kawatukana wazazi kawaambia hawazai watoto Bali wanakunya mavi 😂😂😂raia wame'mind'Kafanyaje huyu?[emoji1493][emoji1493][emoji23]
Jibu PM zangu basiKosa liko wapi wasaidieni wazazi maana neno Asante mwanangu ubarikiwe ni bora kuliko Asante baby
Ndomaana nakupendagaKosa liko wapi wasaidieni wazazi maana neno Asante mwanangu ubarikiwe ni bora kuliko Asante baby
🥰Ndomaana nakupendaga
Ntaongeza mahari laazizi[emoji3059]
Alipoulizwa na mtangazaji wa Global kuhusu Zuchu kumnunulia gari, Khadija Kopa alisema kuna kuzaa na kunya na yeye ni miongoni mwa watu walio zaa, maneno hayo yametafsiliwa tofauti na watu wameenda mbali zaidi wakidai bi Khadija amewatukana wanawake wenzake ambao wamezaa watoto lakini hawajawapa magari na pengine nyumba kuwa hawakuzaa bali walikunya na watoto hao ni mavi wanatakiwa watupwe.
Hii kauli naomba tumkumbushe na yeye
Nini maoni yako?
=========
Mtangazaji: Na hii gari nadhani ndio aliyokununulia Zuchu
Khadija Kopa: Eeeh, ndiyo
Mtangazaji: Hii ndio fahari ya mtoto, unalizungumziaje pia?
Khadija Kopa: Kuna kuzaa na kuna kunya, ukinya unatupa mavi yote yanaondoka, anaetaka mbolea pengine yamshinde kuyabeba lakini kuna kuzaa, mtoto hata akiwa anacho kidogo anakuona, sio lazima akupe gari lakini anacho kidogo anakuona sio lazima akupe gari lakini hata kidogo.
Kapata laki mbili basi ishirini ya mama, huko ndio kuzaa na nawaombea wazazi wenzangu wote mwenyezi Mungu awajaalie watoto wao wawe na imani na waweze kuwasaidia wazee wao na wazee wa wenzao InshaAllah.
Kulikuwa kuna haja gani kutoa kauli kama hiyo "kunya"Khadija kamsifia bint yake lakini komenti zinawaponda watoto wa kiume tu
Kuna kuzaa na kuya?[emoji23] mbona hivi viwili vinatoka matundu tofauti sasa[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji1787]kwa hyo wanaume kuna tunao mwaga na wanaojamba
Kuna wazazi wengine hawakuwajali watoto wao yaani walipowazaa kwao ikawa habari kwisha, hakuna cha malezi wala support yeyote, hawa pia tunawaweka kwenye kundi gani?Namuunga mkono KHADIJA, wewe kama hujali mzazi wako kutwa kucha Kitambaa cheupe na milupo una faida gani kwa mzazi?