Khadija mnoga: Natumia dume nakunywa viloba

Khadija mnoga: Natumia dume nakunywa viloba

Simba Mkali

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
620
Reaction score
239
MNOGA.jpgMNOGA1.jpg
 
Kwani huyu ni lesbian ? Namwona yuko masculine sana.
 
Kwa raha zake na ka-kitambi kake kwa mbaaaaliii...!who cares...?
 
Dah!! Maisha is not fare kabisa Khadija Mnoga (Kimobitel) Enzi zake za wimbo wa mgumba alikuwa pisi kali sana.

Sijiu masahibu gani yalimkuta!!!!
 
Dah!! Maisha is not fare kabisa Khadija Mnoga (Kimobitel) Enzi zake za wimbo wa mgumba alikuwa pisi kali sana.

Sijiu masahibu gani yalimkuta!!!!
Aloooo ndio huyu kimobitel dooohh... Life is a bitch yoo.
 
Dah!! Maisha is not fare kabisa Khadija Mnoga (Kimobitel) Enzi zake za wimbo wa mgumba alikuwa pisi kali sana.

Sijiu masahibu gani yalimkuta!!!!
Kimobitel, walifanya chemistry moja na Mwinjuma Muumini, nafikiri ni ile mgumba part 2
 
Kimobitel, walifanya chemistry moja na Mwinjuma Muumini, nafikiri ni ile mgumba part 2

Kweli kabisa mkuu.

Sijui hawa wasanii wa Tanzania huwa wanarudishwa nyuma na majanga gani? Maana walikuwa tishio kwenye muziki wa dansi kwa kipindi kile. Ila hapa ukimuangalia utadhani kibibi cha miaka 80.
 
Samahani ungeongezea lile a.k.a lake la KIMOBITEL
 
Aiseee haya maisha nyie acheni.
Huyu dada alikuwa na sauti mzuri sana enzi zake za uimbaji.
 
Back
Top Bottom