Kipimo cha urefu kwa mwanaume na mwanamke kinatofautiana wanasema hivyo, men must be taller than women so kwa kimo chako wewe kwa mwanamke ni mrefu ila kwa mwanaume ni mfupi, kuna urefu ambao akiufikia mwanaume itaonekana kawaida ila akiufikia mwanamke ataonekana anatisha yaani kuanzia 6' na kuendelea huko [emoji3][emoji3]Hicho kitu mwenyewe nilikijua kupitia kimo changu mimi.
Huwa najiona na kuitwa mrefu, ila kuna wachezaji tunawacheka wafupi ajabu nalingana nao!
Hahahahaha,mie huwa nakaa kimya ,ktk kugusia ishu za watu. Ila we nimeanza kukubali info zako , uko vzrHii siri tunaijua wachache sana πππ
Hahahaha, mie hao hapana aiseeBehind the keyboard mnawaita hivyo, mkikutana viwanja mnawatetemekea!
Huyu tangu Enzi za chuo alikuwa anatokaga na wazungu tu....ameanza zamani Sana ni professionalKwanza, huyu ni mmoja kati ya wadada wa awali kabisa kufanya βsajariβ bongo hii, na anajielewa anafuata masharti anajitunza kwelikweli ila hana nyota.
Ilikiwa kick kumuumiza Kajala na Harmo akapita, bi dada akakolea akataka mambo yaendelee Harmo akapiga chini kikatili.
Alihaha huyu ila akatulia anaendelea zake kudanga.
Huyu ni mdangaji pro na hafichi!
Kumbe mshepu wa kisuKwanza, huyu ni mmoja kati ya wadada wa awali kabisa kufanya βsajariβ bongo hii, na anajielewa anafuata masharti anajitunza kwelikweli ila hana nyota.
Ilikiwa kick kumuumiza Kajala na Harmo akapita, bi dada akakolea akataka mambo yaendelee Harmo akapiga chini kikatili.
Alihaha huyu ila akatulia anaendelea zake kudanga.
Huyu ni mdangaji pro na hafichi!
Haha au Yeye ni NdunguruNingeongeza hapo wa shemeji yenu ila ndo vile tena [emoji12]
Aisee kumbe inawezekana ni kweli. Mi nilivyosikia na kwa ninavyomuona yule mzee nikahisi ni "hear say" tu.Huyo bro ni kiboko namsikia anabalaa za kuchukua nyota zao
Hao shombeshombe hizo mambo kwenye ngazi za familia ndo hatari kabisa.Haaaa acheni jamani! Labda ni ndugu yake, shombeshombe wale!
Mimi na Sikitu wangu nyie pambaneni na mataqo
Mwanamke kumiliki iphone wakati tako huna ni kuhujumu brand ya iphone -Alisikika mlevi mmmoja lakini alikuwa anafanya utani tuuu ..ππππππππππππMimi na Sikitu wangu nyie pambaneni na mataqoView attachment 2860740
Kwahiyo Tako KUBWA ndio chanzo kikuu cha mapato. Ila ile liquor store ni side hustle.
Na kujipost Instagram, uvixen, uigizaji na siku hizi ni mwanamziki, hizi ni marketing strategy [emoji1787]
π€£Kuigiza hajui sasa ameona akaimbe[emoji23]
Caren mbona wakaida mnoo
Wa kwanza ni Ben ........kinya huyo ni uwakika π―Nitajie top 3 ambao ni uhakika, changanya wa sasa na zamani π€£π€£
Joanah inaonekana unapenda mashuti ya mbali, maana kwa sector hiyo aguero alikuwa balaa out the box utaona nyavu tu zinatikisika π πCaren nimemjua kwa huu uzi,sikuwahi kumsikia hapo kabla
Wachezaji wa bongo sina ninayempenda
Mmojawapo wa nje ni AgΓΌero...japo hachezi kwa sasa
Nani tena huyu ???