Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Duh jamaniii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Ila mmakonde anaringia alivyobarikiwa....unaambiwa wasanii wote hamna anayemfikia mmakonde Kwa baraka za kule nanihii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dogo janja umemsahau [emoji1] [emoji1787]
 
Wakati jitihada hizo za Caren juu ya Pacome zingali zikiendelea, Khalid Aucho bado anamshikilia mrembo huyo.

Itakuwaje kama Pacome akinasa ulimbo?
Kuna haja gani kutafuta sababu ya hao wachezaji kulegea viuno?

Huyu mdada sio mtu mwema keshaharibu wachezaji wetu 😂😂
 
Mitako kama hiyo unapiga unakula kona, ukisikilizia inabidi we mvumilivu wa harufu flani amazing.
 
Mitako kama hiyo unapiga unakula kona, ukisikilizia inabidi we mvumilivu wa harufu flani amazing.
Mbali ya harufu na fungus,
Inafika wakati unaona hivi hii yote ni ya nini? ya kazi gani? inaongeza salio benki? ina lea watoto?

Ni kwa ajili ya kupigia picha tu!!
 
Mbali ya harufu na fungus,
Inafika wakati unaona hivi hii yote ni ya nini? ya kazi gani? inaongeza salio benki? ina lea watoto?

Ni kwa ajili ya kupigia picha tu!!

Mwambie mwamba huyo hapo juu, eti anasema nakariri. Nani aishi na zigo kama hilo kila siku
 
Back
Top Bottom