Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Jamani jamani huyo ninavyompendaga 😭😭
Yani namkubali tuu, ana uwezo mkubwa sana kwenye ile taaluma yake!

Hivi unakumbuka wakati penzi limenoga na yule mchezaji wa kwanza ligi ya Uingereza? Nilikuwa nacheka kama chizi!
 
Waliachana Leo? Yule mzee alianza kufulia, posh akaona ajiondoshee, kikubwa kaachiwa mtoto.

Posh anaishi kwenye hela tyuuuh, waliachana mda mbona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yes, na mimi nakumbuka hivyo nilidhani nimesahau.
 
Lokolee hana maalumu, yaan yeye kila mtu wakee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], alimtakaga King, Noel alimkata juu kwa juu.
Ila Dunia jaman, woiiiiih
Kwahiyo ndio maana huwa anamponda sana King? So Noel ndio babe wa King? Inakuwaje sasa mbona nasikia yuko na Rais boss wa Lokole?
 
Ni vile tu watu maarufu, lakini hayo yanafanyika sana hata huku mtaani.

Dj, pray ngoma ya 'single again' by Harmonize.
 
Jamani jamani huyo ninavyompendaga [emoji24][emoji24]
Yani namkubali tuu, ana uwezo mkubwa sana kwenye ile taaluma yake!

Hivi unakumbuka wakati penzi limenoga na yule mchezaji wa kwanza ligi ya Uingereza? Nilikuwa nacheka kama chizi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yupii wa league ya,uingereza? Mbna wanitoa relini?
 
Kwahiyo ndio maana huwa anamponda sana King? So Noel ndio babe wa King? Inakuwaje sasa mbona nasikia yuko na Rais boss wa Lokole?
Noel haachani na King, domokayaa kakatazaa wee inakuaje unadate na hasimu wangu, noel anajibu uhasimu wenu haunihusu,

Noel atahangaika na prosoo wa kizungu had kuishi nae kinyumba, ila roho yake iko kwa King. Yaan noel anatamani aishi kinyumba na King ila ndo vile haiwezekan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Noel hadate na Domokayaaa hata.
 
Noel haachani na King, domokayaa kakatazaa wee inakuaje unadate na hasimu wangu, noel anajibu uhasimu wenu haunihusu,

Noel atahangaika na prosoo wa kizungu had kuishi nae kinyumba, ila roho yake iko kwa King. Yaan noel anatamani aishi kinyumba na King ila ndo vile haiwezekan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Noel hadate na Domokayaaa hata.
Huu ubuyu niliwahi kuupata sikuamini!
Dah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikawaza huyu naemfahamu, au ntakua nachanganya madesa, woiiiiiiih
Yupi tenaaaa?

Mi nimemuongelea huyo maana penzi lilinoga ikawa balaa!
 
Posh ni chuna buzii yule dada, had kubadili dini, kuanza kuvaa kistara, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila pesa khaaah
Si kama Sanchi?

Ila mimi nimefurahi yaliyomkuta yule mwanaume wake maana alimtesa sana mkewe, yako wapi?
Sanchi kesharudi sokoni 🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna sikuwahi jua??
Huwezi kujua kila kitu mwaya, ila sisi tulishashtuka location zilikuwa sawa zaidi ya mwezi mzima baada ya kuondoka Uingereza.
Na haikuwa siri kihivyo, sijui ulipitwaje!
 
Duh! I've tried to read the whole thread but I've understood nothing. This is to say I'm not fitting to be here, because it would be like to continue to waste my time.
 
Back
Top Bottom