Aisee wee utakuwa na mpenzi wako revola au mlenda vuguvuguπππ mimi ushindani wwa kipuuzi kama huu sio tu siupenda ila hata siuwezii.
Nachukia sana kumpa hela mwanamke eti kisa mbunye..yan sitak hata kusikia huo uchuro. Mbunye ina nini hasa cha kuwatia maelfu (zingatia "maelfu" sijafika hata kwenye "Malaki" )
Msomi yule tumepiga naye UDSMKwakweli kwa ubora βkaziniβ Sishkiki apewe maua yake, hashikiki kweli ππΎππΎ
Huyo kazi yake kucheka tu hafai, wakali wa hizi kazi Nelson Jacob Kagame Akilindogosana ndio nawakubaliBrother nifah anajaribu kukuweka kwenye mfumo umwage ubuyu ila unamkwepa ππ
Inabidi akuvizie mida ya night ile ya thread ya usiku wa manane haswa weekend, sidhani kama atakosa hints ππ
Matumiza mabaya ya hela hayo. Wewe umebarikiwa hela basi zisambaze kwa wwngine kwa kuwa na wake wengi sio mwanamke mmojaHawa madogo kwanini wasiwe Kama jay z , unamilk demu mmoja mwenye akili mnakua, Paloma na kufanikiwa pamoja.
Umejuaje? Juzi hapo kuna mmoja kaombwa 2M katoa, sio poa.Wachezaji uzuri hela ipo na pumzi ya moto nayo ipo so mwanamke full burudni.
Sasa mabonus waliyopata yanga msimu uliopkta kumpa mwanamke million mbili mbona kama mtu anatoa chenji tuu.
Aya wee jaribu uone. Ile panda shuka yake kwenye mbavu ya kulia sii unaiona lakini sasa imagine anafnya ile panda shuku kwa mbususu yako π€£π€£π€£π€£Hamna lolote bwana.
Sasa hawa wachezaji sii tunaishi nao huku mtaani jamani...bonus zao wanatuambia...so hela nje nje so mchezaji wa simba yanga kumpa demu million mbili wala hatingishiki unapewa tuu cha msingi uwe demu pisi kaliUmejuaje? Juzi hapo kuna mmoja kaombwa 2M katoa, sio poa.
Sio type ya hamornise huyoAlifeli tu kutumika na Harmonize, aliharibu image yake sokoni.
Mtu serious huwezi kujiweka karibu na yule mjinga.
Il pale wananchi mmesajkri kifaa...bonge la fullback....yaani mtu kazi kweli kweli.Wala hujanishawishi, kaka mzuri atosha π€£π€£
Eti panda shuka, loh!
Halooo! Acha wahonge mwisho waje kuomba kuchangiwa matibabu.Sasa hawa wachezaji sii tunaishi nao huku mtaani jamani...bonus zao wanatuambia...so hela nje nje so mchezaji wa simba yanga kumpa demu million mbili wala hatingishiki unapewa tuu cha msingi uwe demu pisi kali
Ila kajitahidi kupunguza shobo naona anarudi kwenye reliIla alimuelewa Harmo sana, akawa yeye ndio anafosi sasa Harmo hamtaki!
Ilikuwa aibu!
π€£π€£π€£ Akadai yake kanunua Dubai sijui Uturuki, nyieeeeIla kajitahidi kupunguza shobo naona anarudi kwenye reli
Na lile bifu lake na Niffer kisa nguo
Bado na matumainiMbona kama umekata tamaa?
Na umri huu kweli nitaweza kujikuna π...Zigo la chawa uhangaike nalo ππ