Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mimi ushindani wwa kipuuzi kama huu sio tu siupenda ila hata siuwezii.
Nachukia sana kumpa hela mwanamke eti kisa mbunye..yan sitak hata kusikia huo uchuro. Mbunye ina nini hasa cha kuwatia maelfu (zingatia "maelfu" sijafika hata kwenye "Malaki" )
Aisee wee utakuwa na mpenzi wako revola au mlenda vuguvugu
 
Brother nifah anajaribu kukuweka kwenye mfumo umwage ubuyu ila unamkwepa 😁😁

Inabidi akuvizie mida ya night ile ya thread ya usiku wa manane haswa weekend, sidhani kama atakosa hints 😁😁
Huyo kazi yake kucheka tu hafai, wakali wa hizi kazi Nelson Jacob Kagame Akilindogosana ndio nawakubali
 
Sasa hawa wachezaji sii tunaishi nao huku mtaani jamani...bonus zao wanatuambia...so hela nje nje so mchezaji wa simba yanga kumpa demu million mbili wala hatingishiki unapewa tuu cha msingi uwe demu pisi kali
Halooo! Acha wahonge mwisho waje kuomba kuchangiwa matibabu.

Mifano ni mingi!
 
Ila kajitahidi kupunguza shobo naona anarudi kwenye reli
Na lile bifu lake na Niffer kisa nguo
🀣🀣🀣 Akadai yake kanunua Dubai sijui Uturuki, nyieeee

Alivyo hanaga nyota waja wakamvaa yeye, eti mwenzie alipendeza zaidi wakati yeye ndio ana kamwili kazuri na classy 🀣🀣
 
Back
Top Bottom