Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 1,064
- 2,076
Atafute mtaalmu kama wanavyofanya wenzie πKumbe humjui? Ndio nasema hanaga nyota masikini sijui kwanini!
Ila ni mzuri kiasi chake na classy anayo.
Andaa daftari kwaajili ya kutake notes...Basi nifundisha saa hiziπ, maana usije sahau uka Nipa formula ya kupika nyukiππ
Dunia inaenda kasi sana. Si wa vijijini hatujui mambo mengi sana. Siku hizi wanawake nao wanajisifia kugongwa na kijiji kizima? Aiseeee yaani anaona fahari kulalwa na wachezaji wote wa Yanga, simba na Azam japo hii ni chai uliyoandika sister.hamna watu malaya kama wacheza mpira. kuna ndugu yangu alitoka na nusu kikosi cha yanga mwaka juzi.. ila ye huwa ana shobo na BAKARI NONDO.
Akaja akahamia azam akawapunyua mpaka
akahamia simba kipindi kile akamdandia morisson saivi katimkia uturuki.
na sio yeye tu yani wadangaji wengi tu kama una shobo na mchezaji unaulizwa tu tukupe fulani
Jezi za Al nassir nimezikuta kazuramimba kigoma sielewi hata zimefikaje
yani aibu sanaKuna majukwaa uwanjani siku hizi wadangaji wanajaa kibao, mi mpaka nimeyahama.
Hasa VIP B, ni aibu tupu!
Wamehama kwa wasanii wako kwa wachezaji sasa hivi, hatari!
wengine hawahongwi hata sumniWachezaji uzuri hela ipo na pumzi ya moto nayo ipo so mwanamke full burudni.
Sasa mabonus waliyopata yanga msimu uliopkta kumpa mwanamke million mbili mbona kama mtu anatoa chenji tuu.
ushawahi kaa na malaya kiongozi?Dunia inaenda kasi sana. Si wa vijijini hatujui mambo mengi sana. Siku hizi wanawake nao wanajisifia kugongwa na kijiji kizima? Aiseeee yaani anaona fahari kulalwa na wachezaji wote wa Yanga, simba na Azam japo hii ni chai uliyoandika sister.
Tatizo nyota mjini nyotaaaaπ€£π€£π€£ Akadai yake kanunua Dubai sijui Uturuki, nyieeee
Alivyo hanaga nyota waja wakamvaa yeye, eti mwenzie alipendeza zaidi wakati yeye ndio ana kamwili kazuri na classy π€£π€£
Unasimamia codes zako, nimekusoma brother ππΎππΎHahahaha, umeona eeh ila mie sio wa hivyo Brother
Huyo kazi yake kucheka tu hafai, wakali wa hizi kazi Nelson Jacob Kagame Akilindogosana ndio nawakubali
Bado mkuuYanga hawajatoa tamko?.....πππ
Daftari liko tayari, SI una jua siku hizi Kuna ile copy this textπ€£ππ€Andaa daftari kwaajili ya kutake notes...
Usisahau kuniletea Kiko zangu during teaching sessions π
Nimecheka kidogo nidondoke nilipo! Jamani ndugu zangu Watanzania nawapenda sana ππΎππΎKama kazimika kwa Profesa Pacome afanye iwezekanavyo amtegeshee mimba wananchi tutagharamikia malezi ya mtoto. Taifa linahitaji sana mbegu ya Profesa Zouzoua
Wewe si ulikuwa unanisema kwa kuleta ubuyu? Kumbe ndio kwanza umezama unamungβunya kwa raha zako?Dunia inaenda kasi sana. Si wa vijijini hatujui mambo mengi sana. Siku hizi wanawake nao wanajisifia kugongwa na kijiji kizima? Aiseeee yaani anaona fahari kulalwa na wachezaji wote wa Yanga, simba na Azam japo hii ni chai uliyoandika sister.
Hakuna habari yoyote nitakayoitaka kutoka kwake ambayo siwezi kuipata kwa chanzo changu, natania tu Mkuu.Unasimamia codes zako, nimekusoma brother ππΎππΎ
Wengine ngoja tuchangamshe genge
Chanzo changu ni mwisho wa maelezo, ni mimi tu nishindwe kuandika.ππ inawezekana akawa na vitu exclusive. Ongea na watu vizuri
Tena mi napenda sana ubuyu wa pembaa, pilipili kama zote πMufti na wewe unakula ubuyu?
Nipo Nachezea Ujugu FC hapa napoga sentahafu MamaBaraka prince huyu huyu?ana mtoto kumbe
Nwei...next life(kama ipo) yangu nitafanya kila namna niolewe na mcheza mpira,hawa watu wana spesho pozisheni kwenye yale mambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmakonde atapoteza pambano, demu anataka mwanaume wa kumfunza kiengereza na si kukohoa.
Koh! koh! koh!