Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

hamna watu malaya kama wacheza mpira. kuna ndugu yangu alitoka na nusu kikosi cha yanga mwaka juzi.. ila ye huwa ana shobo na BAKARI NONDO.
Akaja akahamia azam akawapunyua mpaka
akahamia simba kipindi kile akamdandia morisson saivi katimkia uturuki.
na sio yeye tu yani wadangaji wengi tu kama una shobo na mchezaji unaulizwa tu tukupe fulani
Dunia inaenda kasi sana. Si wa vijijini hatujui mambo mengi sana. Siku hizi wanawake nao wanajisifia kugongwa na kijiji kizima? Aiseeee yaani anaona fahari kulalwa na wachezaji wote wa Yanga, simba na Azam japo hii ni chai uliyoandika sister.
 
Jezi za Al nassir nimezikuta kazuramimba kigoma sielewi hata zimefikaje

Kuna majukwaa uwanjani siku hizi wadangaji wanajaa kibao, mi mpaka nimeyahama.
Hasa VIP B, ni aibu tupu!

Wamehama kwa wasanii wako kwa wachezaji sasa hivi, hatari!
yani aibu sana
Wachezaji uzuri hela ipo na pumzi ya moto nayo ipo so mwanamke full burudni.
Sasa mabonus waliyopata yanga msimu uliopkta kumpa mwanamke million mbili mbona kama mtu anatoa chenji tuu.
wengine hawahongwi hata sumni
kama umeshobokea labda wakutake wenyewe
Dunia inaenda kasi sana. Si wa vijijini hatujui mambo mengi sana. Siku hizi wanawake nao wanajisifia kugongwa na kijiji kizima? Aiseeee yaani anaona fahari kulalwa na wachezaji wote wa Yanga, simba na Azam japo hii ni chai uliyoandika sister.
ushawahi kaa na malaya kiongozi?
 
Kama kazimika kwa Profesa Pacome afanye iwezekanavyo amtegeshee mimba wananchi tutagharamikia malezi ya mtoto. Taifa linahitaji sana mbegu ya Profesa Zouzoua
Nimecheka kidogo nidondoke nilipo! Jamani ndugu zangu Watanzania nawapenda sana 🙌🏾🙌🏾

Kwahiyo Caren amebeba hatma ya Taifa? Ila yule jamaa ni noma, atuletee hako ka mwana mfalme tutalea.
Na hayuko nyuma kuzaa, yuko vizuri 👏🏽👏🏽
 
Dunia inaenda kasi sana. Si wa vijijini hatujui mambo mengi sana. Siku hizi wanawake nao wanajisifia kugongwa na kijiji kizima? Aiseeee yaani anaona fahari kulalwa na wachezaji wote wa Yanga, simba na Azam japo hii ni chai uliyoandika sister.
Wewe si ulikuwa unanisema kwa kuleta ubuyu? Kumbe ndio kwanza umezama unamung’unya kwa raha zako?

Hakuna cha uongo alichokisema, hayo ni mambo ya kawaida katika vikosi vya mpira.
 
Unasimamia codes zako, nimekusoma brother 👏🏾👏🏾

Wengine ngoja tuchangamshe genge
Hakuna habari yoyote nitakayoitaka kutoka kwake ambayo siwezi kuipata kwa chanzo changu, natania tu Mkuu.
Tunafurahi maisha yanaenda 🤣✌🏽
 
😁😁 inawezekana akawa na vitu exclusive. Ongea na watu vizuri
Chanzo changu ni mwisho wa maelezo, ni mimi tu nishindwe kuandika.
Ila habari ninazo nyingi ni mimi tu najipangia ipi niiweke lini, zikija breaking naruka nazo kwanza.
 
Baraka prince huyu huyu?ana mtoto kumbe

Nwei...next life(kama ipo) yangu nitafanya kila namna niolewe na mcheza mpira,hawa watu wana spesho pozisheni kwenye yale mambo
Nipo Nachezea Ujugu FC hapa napoga sentahafu Mama
 
Back
Top Bottom