Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Kama Profesa ataondoka bila mtoto Tanzania, hatutawasamehe Caren na wenzie
 
Wanawake wa mjini hawanaga ishu, si wa kuwachukulia serious hata siku moja. Ni kupiga na kuacha solemba tu.
 
Twende mbele turudi nyuma, yote tisa ila kumi naomba nitoke nje ya mada kidogo naomba kuuliza kama kuna mwanachama ameshawai kukutana na mwandiko wa raraa reree ….au hajui kuandika? Yani kama likes zingekuwa ndio papuchi basi kila mwana Jf angekuwa ameionja papuchi ya raraa reree maana si kwa kugawa uku …wala hachagui wa kumpa yani kila mtu apewe….daaa
Anataka kumzidi Jackline Walper kwa kusambaza upendo!
Natania jamani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona huwa anacomment sana kwenye threads zangu? Ila ndio mpaka habari imkune kwelikweli!
Mi hiyo siku nilishangaa alipocomment 🀣🀣
 
Huwa anacomment mkuu na nahisi ni wale watu cool sana ambao hawana shida ya attention zaidi ya kushow love.. One in a million πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…