Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Dada yenu Iren alipata Mbegu za RIP Ndikumana lakini kusema kweli yule mtoto sielewi...Japo dogo anaakili nyingi

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
tukisema hapa tunaambiwa chai
 
Tena anaitwa Esther ni mnyaturu na Caren ni jina la kutaftia ugal aliongezea simba sababu alikua shabik wa simba kindakndak japo now kahamia yanga bt bado hajabadilisha user name yake
Labda alikuwa na danga Simba kipindi hicho pia kama alivyo nao wa Yanga sasa hivi.
 
mwanadada mrembo wa kuitwa Caren Simba.
Ebwana Mimi nilikua namkubari Kajala M hata km anaonekana km Bibi Shangazi Cheichei Shangazi tufurahi Shangazi Shangazi Shangazi Chei Shangazi Ila kila mtu na mtizamo wake wanabodi tusijenge chuki, huyu anaefanana Caren/Esther Simba sijamkubari mboni wa kawaida sana tu
 
Nana pisi.
Oya nyie wanawake mnawaangalia nini? Mboni hao ni wa kawaida saana kuna madada hapo mtaa wa kati social media haziwajui Ila ukiwaweka na hao wanawaacha mbali nyinyi mnaangalia make up ya usoni?
 
Oya nyie wanawake mnawaangalia nini? Mboni hao ni wa kawaida saana kuna madada hapo mtaa wa kati social media haziwajui Ila ukiwaweka na hao wanawaacha mbali nyinyi mnaangalia make up ya usoni?
Hapana huyo manz namjua nikiwa udsm, ni mzuri labda kama utakuwa unapenda majitu kama ulivyosema kajala. Nana pisi
 
Hapana huyo manz namjua nikiwa udsm, ni mzuri labda kama utakuwa unapenda majitu kama ulivyosema kajala. Nana pisi
Ebwana mi namkubari Kajala M ndio hivyo yaan hao wengine sijawaelewa huyo ndio Mwanamke pekee alietungiwa mangoma kadhaa hit Songs zinazomuhusu, nionyeshe Ngoma yoyote waliyotungiwa hao hapo unaonitajia?
 
Ebwana mi namkubari Kajala M ndio hivyo yaan hao wengine sijawaelewa huyo ndio Mwanamke pekee alietungiwa mangoma kadhaa hit Songs zinazomuhusu, nionyeshe Ngoma yoyote waliyotungiwa hao hapo unaonitajia?
Hahahahhahahaha kondoo alienona sio ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…