Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Na wewe unataka kumpa mbususuDuh jamaniii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Ila mmakonde anaringia alivyobarikiwa....unaambiwa wasanii wote hamna anayemfikia mmakonde Kwa baraka za kule nanihii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kha naye ni lokole?🤣😂😆Hemed gani? Labda kama kuna mwingine sio yule chafu koza 🤣
Mamaa la Ngudumimi niko ngudu huku umbea nitautoa wapi shoga angu
Hapana, hajamfikia Baba K wangu....I got best man ever😍Na wewe unataka kumpa mbususu
Dada yenu Iren alipata Mbegu za RIP Ndikumana lakini kusema kweli yule mtoto sielewi...Japo dogo anaakili nyingiNimecheka kidogo nidondoke nilipo! Jamani ndugu zangu Watanzania nawapenda sana [emoji1487][emoji1487]
Kwahiyo Caren amebeba hatma ya Taifa? Ila yule jamaa ni noma, atuletee hako ka mwana mfalme tutalea.
Na hayuko nyuma kuzaa, yuko vizuri [emoji1433][emoji1433]
Mkuu, yule ni mtoto tumuache hastahili haya. Tuendelee na mama yake maana haya ndio maisha aliyoyachagua.Dada yenu Iren alipata Mbegu za RIP Ndikumana lakini kusema kweli yule mtoto sielewi...Japo dogo anaakili nyingi
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
tukisema hapa tunaambiwa chai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hao wachezaji sasa hawajui kuvunga,
Wanagawa uroda tyuuh, kuna shost angu alikua anadate na Ndemla, jinsi walivyokutana nilicheka hoi.
Cku hiyo anamuambia ndemla, "shost angu anataka nae bwana mcheza mpira" akamuuliza anamtaka nani akamtajia akasema eti awe mpole namsetia,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nka m cancel aache mie staki,
Tena anaitwa Esther ni mnyaturu na Caren ni jina la kutaftia ugal aliongezea simba sababu alikua shabik wa simba kindakndak japo now kahamia yanga bt bado hajabadilisha user name yakeMbona ni msingidani huyo
Labda alikuwa na danga Simba kipindi hicho pia kama alivyo nao wa Yanga sasa hivi.Tena anaitwa Esther ni mnyaturu na Caren ni jina la kutaftia ugal aliongezea simba sababu alikua shabik wa simba kindakndak japo now kahamia yanga bt bado hajabadilisha user name yake
Best nlikuambia huyo kma sio mrangi,mbulu au mnyaturu...yuko na yule nana dollz nae mbuluLabda alikuwa na danga Simba kipindi hicho pia kama alivyo nao wa Yanga sasa hivi.
Nana pisi.Best nlikuambia huyo kma sio mrangi,mbulu au mnyaturu...yuko na yule nana dollz nae mbulu
Ebwana Mimi nilikua namkubari Kajala M hata km anaonekana km Bibi Shangazi Cheichei Shangazi tufurahi Shangazi Shangazi Shangazi Chei Shangazi Ila kila mtu na mtizamo wake wanabodi tusijenge chuki, huyu anaefanana Caren/Esther Simba sijamkubari mboni wa kawaida sana tumwanadada mrembo wa kuitwa Caren Simba.
Wewe haujawahi kufanywa kwani? Bibi Shangazi Cheichei ShangaziWala msiikaribie zinaa. Ni uchafu.
Oya nyie wanawake mnawaangalia nini? Mboni hao ni wa kawaida saana kuna madada hapo mtaa wa kati social media haziwajui Ila ukiwaweka na hao wanawaacha mbali nyinyi mnaangalia make up ya usoni?Nana pisi.
Hapana huyo manz namjua nikiwa udsm, ni mzuri labda kama utakuwa unapenda majitu kama ulivyosema kajala. Nana pisiOya nyie wanawake mnawaangalia nini? Mboni hao ni wa kawaida saana kuna madada hapo mtaa wa kati social media haziwajui Ila ukiwaweka na hao wanawaacha mbali nyinyi mnaangalia make up ya usoni?
Wacha weeee!!!!!!!!!! 🤣Duh! I've tried to read the whole thread but I've understood nothing. This is to say I'm not fitting to be here, because it would be like to continue to waste my time.
Ebwana mi namkubari Kajala M ndio hivyo yaan hao wengine sijawaelewa huyo ndio Mwanamke pekee alietungiwa mangoma kadhaa hit Songs zinazomuhusu, nionyeshe Ngoma yoyote waliyotungiwa hao hapo unaonitajia?Hapana huyo manz namjua nikiwa udsm, ni mzuri labda kama utakuwa unapenda majitu kama ulivyosema kajala. Nana pisi
Hahahahhahahaha kondoo alienona sio ?Ebwana mi namkubari Kajala M ndio hivyo yaan hao wengine sijawaelewa huyo ndio Mwanamke pekee alietungiwa mangoma kadhaa hit Songs zinazomuhusu, nionyeshe Ngoma yoyote waliyotungiwa hao hapo unaonitajia?
Kujipanga nini mboni unawapamba sana? Wewe ndio dalali wao?Dada zangu wa kinyaturu ni kisanga ukiwa naye ujipange, same kwa wagogo,warangi, wambulu na wanyiramba.