Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Khalid Aucho, Harmonize wachanganywa penzini na Caren Simba!

Kwanza, huyu ni mmoja kati ya wadada wa awali kabisa kufanya ‘sajari’ bongo hii, na anajielewa anafuata masharti anajitunza kwelikweli ila hana nyota.

Ilikiwa kick kumuumiza Kajala na Harmo akapita, bi dada akakolea akataka mambo yaendelee Harmo akapiga chini kikatili.

Alihaha huyu ila akatulia anaendelea zake kudanga.
Huyu ni mdangaji pro na hafichi!
😁😁😁 ila huwa namuona shule ipo kichwani, very cool na hapendi drama

Na hata kama kiuno kilipitishwa kisu Or not ila kajitahidi kuweka mwili wake vizuri
 
hamna watu malaya kama wacheza mpira. kuna ndugu yangu alitoka na nusu kikosi cha yanga mwaka juzi.. ila ye huwa ana shobo na BAKARI NONDO.
Akaja akahamia azam akawapunyua mpaka
akahamia simba kipindi kile akamdandia morisson saivi katimkia uturuki.
na sio yeye tu yani wadangaji wengi tu kama una shobo na mchezaji unaulizwa tu tukupe fulani
 
hamna watu malaya kama wacheza mpira. kuna ndugu yangu alitoka na nusu kikosi cha yanga mwaka juzi.. ila ye huwa ana shobo na BAKARI NONDO.
Akaja akahamia azam akawapunyua mpaka
akahamia simba kipindi kile akamdandia morisson saivi katimkia uturuki.
na sio yeye tu yani wadangaji wengi tu kama una shobo na mchezaji unaulizwa tu tukupe fulani
Kuna majukwaa uwanjani siku hizi wadangaji wanajaa kibao, mi mpaka nimeyahama.
Hasa VIP B, ni aibu tupu!

Wamehama kwa wasanii wako kwa wachezaji sasa hivi, hatari!
 
hamna watu malaya kama wacheza mpira. kuna ndugu yangu alitoka na nusu kikosi cha yanga mwaka juzi.. ila ye huwa ana shobo na BAKARI NONDO.
Akaja akahamia azam akawapunyua mpaka
akahamia simba kipindi kile akamdandia morisson saivi katimkia uturuki.
na sio yeye tu yani wadangaji wengi tu kama una shobo na mchezaji unaulizwa tu tukupe fulani
Wachezaji uzuri hela ipo na pumzi ya moto nayo ipo so mwanamke full burudni.
Sasa mabonus waliyopata yanga msimu uliopkta kumpa mwanamke million mbili mbona kama mtu anatoa chenji tuu.
 
Anaefaidi ni huyo manzi, anawachuna tu.

Na wanaume tunavopenda ushindani😆 kila mmoja anataka aonekane dume
😂😂😂 mimi ushindani wwa kipuuzi kama huu sio tu siupenda ila hata siuwezii.
Nachukia sana kumpa hela mwanamke eti kisa mbunye..yan sitak hata kusikia huo uchuro. Mbunye ina nini hasa cha kuwatoa maelfu (zingatia "maelfu" sijafika hata kwenye "Malaki" )
 
Back
Top Bottom