moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
tulia mama ngoja nije huko chembaSasa huogopi kuweka sauti yako hadharani? Sisi tunatumianaga na babes PM basi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tulia mama ngoja nije huko chembaSasa huogopi kuweka sauti yako hadharani? Sisi tunatumianaga na babes PM basi!
Hahahah leo umebonga kitu sure 😂😂😂Ila napendaga sana comment zako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hiyo kwerekeche nmeisoma kiarusha 🤣🤣🤣
Yanga hawajatoa tamko?.....😂😂😂Inashangaza aucho wa yanga kuchanganywa na somebode simba
😁😁😁 ila huwa namuona shule ipo kichwani, very cool na hapendi dramaKwanza, huyu ni mmoja kati ya wadada wa awali kabisa kufanya ‘sajari’ bongo hii, na anajielewa anafuata masharti anajitunza kwelikweli ila hana nyota.
Ilikiwa kick kumuumiza Kajala na Harmo akapita, bi dada akakolea akataka mambo yaendelee Harmo akapiga chini kikatili.
Alihaha huyu ila akatulia anaendelea zake kudanga.
Huyu ni mdangaji pro na hafichi!
HahahahaAmbao sio wa kawaida wanakuwaje?
Achana na ule mtrako, hebu cheki macho, cheki lips, cheki shingo..
Yes, ana nidhamu ya mwili na ‘anajielewa’😁😁😁 ila huwa namuona shule ipo kichwani, very cool na hapendi drama
Na hata kama kiuno kilipitishwa kisu Or not ila kajitahidi kuweka mwili wake vizuri
Kuna majukwaa uwanjani siku hizi wadangaji wanajaa kibao, mi mpaka nimeyahama.hamna watu malaya kama wacheza mpira. kuna ndugu yangu alitoka na nusu kikosi cha yanga mwaka juzi.. ila ye huwa ana shobo na BAKARI NONDO.
Akaja akahamia azam akawapunyua mpaka
akahamia simba kipindi kile akamdandia morisson saivi katimkia uturuki.
na sio yeye tu yani wadangaji wengi tu kama una shobo na mchezaji unaulizwa tu tukupe fulani
Brother nifah anajaribu kukuweka kwenye mfumo umwage ubuyu ila unamkwepa 😁😁Hahahaha
Nyie xchekeni ruu lkini msijaribu kabisa kumpa yao yao mbususu zenu mtazinduka mpo icuMimi nacheka hapa kama chizi, dah!
Hahahaha, umeona eeh ila mie sio wa hivyo BrotherBrother nifah anajaribu kukuweka kwenye mfumo umwage ubuyu ila unamkwepa 😁😁
Inabidi akuvizie mida ya night ile ya thread ya usiku wa manane haswa weekend, sidhani kama atakosa hints 😁😁
Wachezaji uzuri hela ipo na pumzi ya moto nayo ipo so mwanamke full burudni.hamna watu malaya kama wacheza mpira. kuna ndugu yangu alitoka na nusu kikosi cha yanga mwaka juzi.. ila ye huwa ana shobo na BAKARI NONDO.
Akaja akahamia azam akawapunyua mpaka
akahamia simba kipindi kile akamdandia morisson saivi katimkia uturuki.
na sio yeye tu yani wadangaji wengi tu kama una shobo na mchezaji unaulizwa tu tukupe fulani
HahaHatari sii mchezo kama nakuona vile unavyopitisha mkononwako juu ya hizo sixpack ukiwa unaelekea kushika mic [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂 mimi ushindani wwa kipuuzi kama huu sio tu siupenda ila hata siuwezii.Anaefaidi ni huyo manzi, anawachuna tu.
Na wanaume tunavopenda ushindani😆 kila mmoja anataka aonekane dume