Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mtangazaji kijana wa TBC ambae angalau anaipa tbc heshima ana akili na maarifa makubwa ya tasnia ya habari.
Kijana huyu anayeendesha kipindi cha kuwahoji watu nadhani kinaitwa hivyohivyo Khalid Gangana. Jamaa huyu ukimcheki macho yake kwa wale wanaoujua Mambo ya ujasusi utagundua kwamba ni assert ya mwewe. Macho ya kina Tolly Mbwete (RIP) sio ya mchezomchezo.
Ndio kipindi pekee Cha tbccm ninachokiangalia .
Naishia hapa kwa Leo.
Kijana huyu anayeendesha kipindi cha kuwahoji watu nadhani kinaitwa hivyohivyo Khalid Gangana. Jamaa huyu ukimcheki macho yake kwa wale wanaoujua Mambo ya ujasusi utagundua kwamba ni assert ya mwewe. Macho ya kina Tolly Mbwete (RIP) sio ya mchezomchezo.
Ndio kipindi pekee Cha tbccm ninachokiangalia .
Naishia hapa kwa Leo.