Khaligraph Jones (OG) the best hiphop artist in Africa

Khaligraph Jones (OG) the best hiphop artist in Africa

Umesikiliza lakini reply ya Blaqbonez? Nimeanza kumfaham blaqbonez kwenye zile MARTEL CYPHER zinazoongozwa na MI ABAGA, Blaqbonez kiukweli anaandika sana. Na hata ukicheki reply yake kwa bars kamkalisha Jones, ila Jones anajua kuwasilisha vizuri mistari yake
Watu wengi wanaweza andika, ishu kwenye uwasilishaji, na hapo ndio OG alipowapiga gape wasanii wengi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

acha uongo blaqbones kazidiwa punchline
Uzuri lyrics zimetoka. we dondosha puchlines zako za Khaligraph, mi nadondosha za Blaq bonez.

"Yo kenya this the nigga that you rated as best
Like if y'all were attacked he gon come to your help?
If there’s one thing that anybody’s learned from Manchester
United it that literally nobody’s scared of JONES in defense"
 
Uzuri lyrics zimetoka. we dondosha puchlines zako za Khaligraph, mi nadondosha za Blaq bonez.

"Yo kenya this the nigga that you rated as best
Like if y'all were attacked he gon come to your help?
If there’s one thing that anybody’s learned from Manchester
United it that literally nobody’s scared of JONES in defense"
kaligraph jones kapigwa asee "kenya r kelly"
 
SOMK, Jones:

I spotted you in Lagos
You were seen bragging
In an uber cab
And I was cruising in a G-wagon
And I couldn't help but pity you
I'd leave it in the past
But it's unfortunate
Your own people treating you like trash (hahaha)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jones:

I spotted you in Lagos
You were seen bragging
In an uber cab
And I was cruising in a G-wagon
And I couldn't help but pity you
I'd leave it in the past
But it's unfortunate
Your own people treating you like trash (hahaha)

Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaaa n noma sana
Nasikia jamaa kajibu tena..?
 
Uzuri lyrics zimetoka. we dondosha puchlines zako za Khaligraph, mi nadondosha za Blaq bonez.

"Yo kenya this the nigga that you rated as best
Like if y'all were attacked he gon come to your help?
If there’s one thing that anybody’s learned from Manchester
United it that literally nobody’s scared of JONES in defense"
hahahaaaa hv hapo kichwa kipi hapa kibongobongo kinaweza kuckucompit na hawa jamaa..?
 
Naona jamaa hataki utani amemuwashia kweli moto mwanamuziki wa hiphop kutoka Nigeria Blackbone. Na ninachoona mpaka sasa mchezo keshautawala yeye

#Respect OGs, wanigeria lazima waelewe tu wanajiona wao ndo kila kitu now wamepatikana.

View attachment 1324727

True,jamaa wa ukweli sana!

Not to be confused na “Khaligraph Jordan” wa JF!
 
Jones:

I spotted you in Lagos
You were seen bragging
In an uber cab
And I was cruising in a G-wagon
And I couldn't help but pity you
I'd leave it in the past
But it's unfortunate
Your own people treating you like trash (hahaha)

Sent using Jamii Forums mobile app
Bonez:

No-one should ever put a knife in the hands of a mad genuis
Ama Keep drawing lines on Khaligraph till the graph’s finished
With X and as a function of Y Khaligraph’s bleeding
Have khaligraph’s blood on the wall like a graffiti
 
Back
Top Bottom