Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Abadilikeje sasa abane pua?
Yaah Kali ndio kampoteza Octopizo kenya ...Hapana jamaa ana swag " na flow Kali .... Kitu ambacho wa bongo wengi hawana .. Pia huwa ana change flow katika mistari Yake ..Akiimba mistari minne flow hii. .basi mistari minne Ijayo anadondosha midondoko mingine '' Tena kwa swag na Flow Kali sana ... .....
Wabongo wengi wana rap but flow ina weza kuwa ile ile au ikachange Mara 1 katika verse nzima na swag ni 0...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana aende na soko linavyotakiwa kwenda...hivi uliona ile ngoma ya stereo na mavoko?? Mfano angeendeleza kama zile back to back nyimbo tano lazima ungemkuta kwenye category g
Flani huko kwenye tuzo zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Slim sal ni konyoooooooo.....achen ujinga a.k.aligraph arudi chekecheaNimemfaham kaligraph johnes kitambo Sana kuanzia enzi hizo ana Bifu zitto na Octopizo.. Kali alikuwa pure underground akifanya Sana Freestyle Battle ...
Kipindi hicho Bongo tayari kulikuwa Kuna mnyama anaitwa SLIM SAL kutokea Dom , huyu mtu anafany Kama anavyofanya Klaigraph Jones kwa kila Kitu .... So kaligraph siamini Kama anazidi rapers wote wa Bongo labda useme walio kwenye mainstream ila kuna watu ni hatari Sana ....
Mimi ukiniambia ni rapper gani ni Bora kwa bongo (Kwa swagz) namuweka SLIM SAL , nakuomba utafute nyimbo zake halafu uje na mrejesho ... Kwasasa Yuko Tongwe Records anapika Madude ya Maana ... Kila Trap inayotoka Tongwe ni mkono wake....
Muda mwingine kuvuma huwa inaenda Kama upepo miaka flani Sarkodie alikuwa Juu Sana ila kwasasa Kama kashuka japo Nina amini africa haijawahi kuwa na kichwa Cha freestyle Kama kile ... Msanii pekee kutokea Africa kuwa featured kwenye BET cypher ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri nimemjua Kali kitambo Sana kipindi hicho Yuko Hardcore rapper na Octopizo ndio anaonekana Swag Rapper , ila haya yote anayopewa sifa Kaligraph leo Slim Sal alikuwa anayafanya tangu enzi hizo ... Yaani hizi Swags za kaligraph leo Kuna mtanzania amekuwa anazifanya Since way Back .... Na hata ukimsikia leo Jamaa Ni shida saaaana.Slim sal ni konyoooooooo.....achen ujinga a.k.aligraph arudi chekechea
Hapana jamaa ana swag " na flow Kali .... Kitu ambacho wa bongo wengi hawana .. Pia huwa ana change flow katika mistari Yake ..Akiimba mistari minne flow hii. .basi mistari minne Ijayo anadondosha midondoko mingine '' Tena kwa swag na Flow Kali sana ... .....
Wabongo wengi wana rap but flow ina weza kuwa ile ile au ikachange Mara 1 katika verse nzima na swag ni 0...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba umsikilize NCHAMA THE BEST.. ndo utajua c kila mtu anarudia mistari... bongo tuna rappers wakali ila tatzo promo....nkimlinganisha khaligraph na incredible namuona incredible.Ukiangalia tu rappers waliopata kupita kwenye dk 10 za maangamizi utajua kwa kweli Tz kwa sasa hamna rapper anaweza kugusa levo za papa Jones.
Kuanzua freestyle, flow, content ya lyrics na hata pumzi.
TZ tumebaki na ma rapper wa studio tu. Ukiwaweka LIVE yoyoo nyingi afu wanarudia mistari ya truck zao tuu reffer YOUND DEE na J MO kwenye dakika 10 za maangamizi E.A radio (planet bongo)
PAPA JONES ni hatari aisee
Battle za lyrics siku hizi hazipo....
Siku hizi ni swaggs tu...
Pili marapa wetu elimu ndogo,exposure pia hakuna...
Tumtengeneze young lunya na maarifa wanaweza kuja kufanya kitu baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana jamaa ana swag " na flow Kali .... Kitu ambacho wa bongo wengi hawana .. Pia huwa ana change flow katika mistari Yake ..Akiimba mistari minne flow hii. .basi mistari minne Ijayo anadondosha midondoko mingine '' Tena kwa swag na Flow Kali sana ... .....
Wabongo wengi wana rap but flow ina weza kuwa ile ile au ikachange Mara 1 katika verse nzima na swag ni 0...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazee mziki unawatu wake ukiona wewe hauuelewi ujue hiyo sio interest yako usilazimishe watu wote waendeshwe na itikadi zako
kuna watu tuko tayari kununua album ya hip hop ngumu kwa sh 15000 lakini hatuko tayari kupakua wimbo wa baba lao wenye MB 3.5 ambao ni chini ya shl 100
It's Scars
Yaah Kali ndio kampoteza Octopizo kenya ...
Kaligraph Master Wa Content Na Style .... Yaani anachorap kina make sense ( Content ) na Ana miundo tofauti tofauti za kughani mashairi (Rap Style )... Kitu ambacho wasanii wengi si tanzania tu hata huko America hawana ...
Unaweza kukuta mtu ana style nyingi na Ni fundi wa kuswitch flow ila anachorap ni ujinga (Content )... Na unaweza kukuta ana content nzuri ila hana style nzuri na uwezo wa kuswitch ni mdogo ...
Kali anatendea kazi mahitaji ya kizazi Cha Sasa...watu wanahitaji flow Kali, kuswich flow na content flani hivi nzuri ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Naijua hip hop ya Bongo nje ndani ... Hao wasanii wote wa Tamaduni Music hakuna nisie mjua album zote na EP zake ninazo ... Mwaka majuzi alipata prize kutoka Muziki Entertainment kwa nyimbo zako kuwa most downloaded kule Kenya ... Anavyoghani wakenya huwa wanadhani ni mkenya...