Khaligraph Jones vs Tanzania rappers, Je Khaligraph atawaweza Wabongo?

Khaligraph Jones vs Tanzania rappers, Je Khaligraph atawaweza Wabongo?

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Jana imesambaa Video ya kalighlaf akijisifia kuwa hakuna rapper yeyote BONGO TZ anaemuweza ku rap
"Labda maneno ya wahenga masikini akipata mato.."

Kalighlaf BONGO amekuwa introduced na NIKKI MBISHI baada ya Nikki kumshinda Kali kwenye FREESTYLE EAST AFRICA BATTLE

Ndiyo wakafanya na ngoma ya BABA YAO kama aikosea Sasa kalighlaf kweli ukiacha upop alionao anaweza ata kaaa battle na KANJIABAI MEX?

ANYWAY NCHINI KWAO HANA WA KUSHINDANA NAO AHAMIE BONGO AJIONE ALIVYO MDOGO
 
Jana imesambaa Video ya kalighlaf akijisifia kuwa hakuna rapper yeyote BONGO TZ anaemuweza ku rap
"Labda maneno ya wahenga masikini akipata mato.."

Kalighlaf BONGO amekuwa introduced na NIKKI MBISHI baada ya Nikki kumshinda Kali kwenye FREESTYLE EAST AFRICA BATTLE

Ndiyo wakafanya na ngoma ya BABA YAO kama aikosea Sasa kalighlaf kweli ukiacha upop alionao anaweza ata kaaa battle na KANJIABAI MEX?

ANYWAY NCHINI KWAO HANA WA KUSHINDANA NAO AHAMIE BONGO AJIONE ALIVYO MDOGO
Where is the lie?
 
Back
Top Bottom