FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Jana imesambaa Video ya kalighlaf akijisifia kuwa hakuna rapper yeyote BONGO TZ anaemuweza ku rap
"Labda maneno ya wahenga masikini akipata mato.."
Kalighlaf BONGO amekuwa introduced na NIKKI MBISHI baada ya Nikki kumshinda Kali kwenye FREESTYLE EAST AFRICA BATTLE
Ndiyo wakafanya na ngoma ya BABA YAO kama aikosea Sasa kalighlaf kweli ukiacha upop alionao anaweza ata kaaa battle na KANJIABAI MEX?
ANYWAY NCHINI KWAO HANA WA KUSHINDANA NAO AHAMIE BONGO AJIONE ALIVYO MDOGO
"Labda maneno ya wahenga masikini akipata mato.."
Kalighlaf BONGO amekuwa introduced na NIKKI MBISHI baada ya Nikki kumshinda Kali kwenye FREESTYLE EAST AFRICA BATTLE
Ndiyo wakafanya na ngoma ya BABA YAO kama aikosea Sasa kalighlaf kweli ukiacha upop alionao anaweza ata kaaa battle na KANJIABAI MEX?
ANYWAY NCHINI KWAO HANA WA KUSHINDANA NAO AHAMIE BONGO AJIONE ALIVYO MDOGO