Ni Kaligraph Jones au Papa Jones ama ukipenda Omolo.Yeah ni Kenyan ARTIST
Yeah ni Kenyan ARTIST
It's Khaligraph Jones,Ni Kaligraph Jones au Papa Jones ama ukipenda Omolo.
Namshukuru sana kwa kuamsha tena muziki wa kufoka foka labda sasa Amapiano itapata wa kumstua.
Battle kiswahili hawezi Kalighraph.Ila WABONGO hawawezi
Asante kwa masahihishoIt's Khaligraph Jones,
Mnakosea jina la watu.
Where is the lie?Jana imesambaa Video ya kalighlaf akijisifia kuwa hakuna rapper yeyote BONGO TZ anaemuweza ku rap
"Labda maneno ya wahenga masikini akipata mato.."
Kalighlaf BONGO amekuwa introduced na NIKKI MBISHI baada ya Nikki kumshinda Kali kwenye FREESTYLE EAST AFRICA BATTLE
Ndiyo wakafanya na ngoma ya BABA YAO kama aikosea Sasa kalighlaf kweli ukiacha upop alionao anaweza ata kaaa battle na KANJIABAI MEX?
ANYWAY NCHINI KWAO HANA WA KUSHINDANA NAO AHAMIE BONGO AJIONE ALIVYO MDOGO
aiseeeh'Sasa tofauti ni ipi?
Hawezi kuwepo kwasababu anajua kuchana freestyle.Katika watu wanao pendekezwa kumjibu mbona LUNYA hayumo Kwa list?
I couldn't agree more.Battle kiswahili hawezi Kalighraph.
Anachekesha anaporap kiingereza, sounds weird.