Mwanamme anaitwa Heri, unaonaje hapo.Huyo james ana undugu na delicious, mbona naye kama mchelemchele wa pwani.
Ndio mana nikawa na wasiwasi nae, halafu niulizieni wa karibu nae mbona macho yake kama anakula kungu?Mwanamme anaitwa Heri, unaonaje hapo.
Usitishe watu wewe dadaUnajifanya message hujaielewa? Subiri utaielewa tu.
Anamtetea mjomba wake.
Hivi baada Mugabe kumgusa Shangirai kilitokea nini. Tuwe makini sana wanaccm kuanzia maneno na matendo. Kwani uchaguzi uwe huru na kila mgombea aridhike na matokeoKuna mgombea moja anatoa lugha chafu ili aguswe akimbilie ubeligiji
Wamezidiwa Wameanza kulialia
Anajua polisi na jeshi watakuwa upande wao!Hili choko eti linasema linajua uhuni yaaani ccm bila polisi ni upepo,hili hata mimi nikiachiwa nalipa adabu,eti linatishia mtaona kifatacho ITV yaani wewe una nini wewe na zaidi ya uchoko tuu
Mmeshindwa kujibu hoja za Lissu sasa mnaanza kumtisha.
Aliposema tusipochagua CCM maendeleo hwaleti na la kuwafanya hatuna, Fatuma Karume alisema “huyu mtoto anajipa u mungu kwenye kauli zake”.Huyu ni aina nyingine ya uchafu ambaye hata kumsikiliza siwezi
Nani katukana?
Sawa,kwani wewe ukibeba Upanga unadhani Mimi siwezi kubeba?Mmewakasirisha wenyewe na sasa watajibu mapigo. Mmeyataka wenyewe. Jiandaeni kuyapokea hayo mapigo.
Hahaha mbona Magufuli anatukana sana kila siku sijawahi kuwasikia uvcc wakimuonya Magufuli kuhusu kutukana watanzania wenzetu?!Hatuna access a hotuba za Wapinzani.Utuwekeeni mautusi nasi tuusaidie kuwakana
Hahaha Bashiru atawaumiza, aliposema wajibu hoja hakujua uvcc ni vilaza?!Kura zote kwa CCM