Kheri James: Kumtukana Rais sasa basi

Kwa nini anawatuma? Aje mwenyewe Bwana Kheri James hapa Jamii forum atueleze ni wapi YESU wa CHATO katukanwa.......Hakiweza kuthibitsha nitahamasisha wenzangu kumchagua YESU wa CHATO
 
Huyu dogo mshamba sana anafikiri huyo mjomba wake atatawala milele
 
Kama mtu amemtukana Rais ziachie mamlaka zinazohusika, Halafu Bora angeomgea amevaa nguo za kiaraia lkn kavaa nguo za chama ambacho anamtetea ndio bosi wake km mwenyekiti wa chama. Huo sio na Ni ushabiki wa kisiasa

Polisi kamateni huyo muwekeni ndani kwasababu anatishia kujaribu kuharibu amani ya nchi hii.
 
Hili choko eti linasema linajua uhuni yaaani ccm bila polisi ni upepo,hili hata mimi nikiachiwa nalipa adabu,eti linatishia mtaona kifatacho ITV yaani wewe una nini wewe na zaidi ya uchoko tuu
Anajua polisi na jeshi watakuwa upande wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…