Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mguseni basi mbona mnabw e k..a tu?Kuna mgombea moja anatoa lugha chafu ili aguswe akimbilie ubeligiji
..Raisi kutukana mama zetu, shangazi zetu, na dada zetu, sawa. Si ndio?!
Hivi wanafikri vijana wote wa Tanzania ni UVCCM? Hebu walogwe wajaribu kufanya wanachopanga!Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako dadeki!!
Kijana huyu mpumbavuuuuu!! Hivi kubebwa na tume ndio kujitambua huko? Waache ujinga hawa!Weka hapa list ya matusi aliyotukanwa rais wenu
VP mwataka mukammiminie risasiUnajifanya message hujaielewa? Subiri utaielewa tu.
Nyinyi mwaringia wale askari lkn marahii kama mwaweza tupambanenj sisi tuu askari wawe watazamaji tu waoKwani huyo anayesema 'wakimugusa tu moto utakaowaka hamuna atakayeweza kuuzima' alikuwa anamtisha nani? Huyo anayesema 'mawakala wa chama chake watakapokuwa wanaenda kuapishwa kwa msimamizi wa uchaguzi wasindikizwe na umati wote uliohudhuria kwenye mkutano wake pale Ifakara' alikuwa anamtisha nani? Na kwamba umati wote huo utakapoenda kupiga kura hiyo tarehe 28 Oct 2020 ubaki hapo hapo kwenye kituo cha kupigia kura na kuhesabu kura hizo, alikuwa anamtisha nani? Na akasema maeneo yote nchi nzima wafanye hivyo, alikuwa anamtisha nani?
Arudi tu kwao Ubeligiji akapambane na covid 19, asituvurugie amani yetu. Tanzania ni kitovu cha amani Afrika.
CCM hii hii ndo muwe na ushahidi msiweke wazi kwa wapinzani wenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!! Kaazi kwelikweli!!Hapo ndipo patamu. Ukweli wote utakaposemwa kuhusu yeye na chama chake hapatakalika. Siri zote za chama hicho zitakapowekwa hadharani itakuwa ni janga kubwa kwenye chama hicho. Sauti na video za waliopanga mashambulizi yake sept 2017 zikiwekwa hadharani itamlazimu asitishe hata hizo kampeni zake kwani ni watu alio nao karibu! Msitake tufike huko. Yaliyopita si ndwele tugange tu yajayo kwa ustaarabu na kuheshimiana. Tarehe 28 Okt 2020 yule wa kuchechemea ataendelea kuchechemea na yule wa kuzimiabataendelea tu kuzimia. Cha mhimu tujiepushe sote kuvuruga amani katika kipindi hichi cha silly season!
Mikwara hiyo zamani mguseni mnukeAcha kujifanya message hujaielewa. Kitakachofuata utakielewa.
Mmemshindwa kwa risasi mtamuweza kwa maneno?Na yeye atashikwa pabaya zaidi. Jino kwa jino hadi itambidi arudi kwao Ubeligiji akaendelee na lockdown ya covid 19.
Kuambiwa umejenga uwanja kijijini ndio matusi?kuiba michango ya wahanga ndio matusi?kweli kijani kuna vihiyo kwelikweli [emoji3]
Weka hapa list ya matusi aliyotukanwa rais wenu
Hili choko eti linasema linajua uhuni yaaani ccm bila polisi ni upepo,hili hata mimi nikiachiwa nalipa adabu,eti linatishia mtaona kifatacho ITV yaani wewe una nini wewe na zaidi ya uchoko tuu
Nyie ndio mtaikimbia nchi msitishe watu nyie,mnategemea polisi,hamna lolote nyie,msiambiwe ukweli na bado mbwa nyieNa yeye atashikwa pabaya zaidi. Jino kwa jino hadi itambidi arudi kwao Ubeligiji akaendelee na lockdown ya covid 19.
Huna amani wewe zaidi ya uoga na upoyoyo amani mnaburuzwa kila kitu na mwenyekiti wenuKwani huyo anayesema 'wakimugusa tu moto utakaowaka hamuna atakayeweza kuuzima' alikuwa anamtisha nani? Huyo anayesema 'mawakala wa chama chake watakapokuwa wanaenda kuapishwa kwa msimamizi wa uchaguzi wasindikizwe na umati wote uliohudhuria kwenye mkutano wake pale Ifakara' alikuwa anamtisha nani? Na kwamba umati wote huo utakapoenda kupiga kura hiyo tarehe 28 Oct 2020 ubaki hapo hapo kwenye kituo cha kupigia kura na kuhesabu kura hizo, alikuwa anamtisha nani? Na akasema maeneo yote nchi nzima wafanye hivyo, alikuwa anamtisha nani?
Arudi tu kwao Ubeligiji akapambane na covid 19, asituvurugie amani yetu. Tanzania ni kitovu cha amani Afrika.
Eti kaatukanwa na nani pumbavu nyieHuna akili, acha kurukaruka kama maharage kikaangoni, orodhesha hayo matusi aliyotukanwa huyo kichaa!