Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.
Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.