Kheri James na Vincent Mashinji kupewa Ukuu wa Wilaya ni demotion

Kheri James na Vincent Mashinji kupewa Ukuu wa Wilaya ni demotion

malang0

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2021
Posts
440
Reaction score
523
Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.

Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
 
Kwa Mashinji ni demotion sababu kwanza alikuwa analamba 12M mshahara sasa anarudi kwenye 4M, Heri James ni promotion
Babati huyu alikuwa anauwezo wa kuingia Kamati Kuu CCM chombo chenye kutoa maamuzi magumu, kutembea nchi nzima kuhamasisha chama leo hawezi kutoka nje ya Ubungo bila kibali cha Makalla
 
Wote wawili ni demotion ya kiwango kikubwa.

Kiuhalisia, James amekwishaondolewa kwenye nafasi ya umwenyekiti wa UVCCM. Kuwa mkuu wa wilaya, ni kuwa mtendaji wa Serikali kila siku. Sasa hawezi kutoka ofisini kwenda kwenye shughuli za chama bila ya kuruhusiwa na Mkuu wa Mkoa. Imetafutwa namna ya kumdhibiti.

Huyu Mama Samia, ni mjuzi hasa. Ukiwa na akili ndogo, unaweza kuondolewa kwenye uongozi huku ukishangilia kwa furaha kubwa, ukiamini umepanda.
 
Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.

Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Nafasi za mawaziri na manaibu zimejaaa labda awamu nyingine
 
Wote wawili ni demotion ya kiwango kikubwa.

Kiuhalisia, James amekwishaondolewa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa UVCCM. Kuwa mkuu wa wilaya, ni kuwa mtendaji wa Serikali kila siku. Sasa hawezi kutoka ofisini kwenda kwenye shughuli za cha bila ya kuruhusiwa na Mkuu wa Mkoa. Imetafutwa namna ya kumdhibiti.

Huyu Mama Samia, ni mjuzi hasa. Ukiwa na akili ndogo, unaweza kuondolewa kwenye uongozi huku ukishangilia kwa furaha kubwa, ukiamini umepanda.
Kama alivyomchapa Biswalo Rungu la Kichwa. Sasa Ofisi ya DPP raha mstarehe amani tupu.
 
Babati huyu alikuwa anauwezo wa kuingia Kamati Kuu CCM chombo chenye kutoa maamuzi magumu, kutembea nchi nzima kuhamasisha chama leo hawezi kutoka nje ya Ubungo bila kibali cha Makalla
Kumbe? na hiyo amepewa tu kwa kuwa alikuwa na nafasi kubwa kamati kuu. Mama anaanza kupunguza vigingi vya mwakani 2025
 
Wote wawili ni demotion ya kiwango kikubwa.

Kiuhalisia, James amekwishaondolewa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa UVCCM. Kuwa mkuu wa wilaya, ni kuwa mtendaji wa Serikali kila siku. Sasa hawezi kutoka ofisini kwenda kwenye shughuli za cha bila ya kuruhusiwa na Mkuu wa Mkoa. Imetafutwa namna ya kumdhibiti.

Huyu Mama Samia, ni mjuzi hasa. Ukiwa na akili ndogo, unaweza kuondolewa kwenye uongozi huku ukishangilia kwa furaha kubwa, ukiamini umepam
Mbona nakumbuka Emanuel Nchimbi akiwa kwenye nafasi hiyo, alikuwa pia mkuu wa Wilaya ya Bunda?
 
Wote wawili ni demotion ya kiwango kikubwa.

Kiuhalisia, James amekwishaondolewa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa UVCCM. Kuwa mkuu wa wilaya, ni kuwa mtendaji wa Serikali kila siku. Sasa hawezi kutoka ofisini kwenda kwenye shughuli za cha bila ya kuruhusiwa na Mkuu wa Mkoa. Imetafutwa namna ya kumdhibiti.

Huyu Mama Samia, ni mjuzi hasa. Ukiwa na akili ndogo, unaweza kuondolewa kwenye uongozi huku ukishangilia kwa furaha kubwa, ukiamini umepanda.
Huyu kapigwa kiakili
 
Babati huyu alikuwa anauwezo wa kuingia Kamati Kuu CCM chombo chenye kutoa maamuzi magumu, kutembea nchi nzima kuhamasisha chama leo hawezi kutoka nje ya Ubungo bila kibali cha Makalla
Kwani angeendelea kuingia kwenye vikao hadi milele?
 
Back
Top Bottom