Kheri James na Vincent Mashinji kupewa Ukuu wa Wilaya ni demotion

Kheri James na Vincent Mashinji kupewa Ukuu wa Wilaya ni demotion

Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Ni dalili njema kabisa, kijana alikuwa na kauli chafu, nadhani zile zindano za sumu alisema anawadunga wenzake naona amedungwa yeye anaanza kupote taratibu kwenye nafasi za uongozi, usishangae round nyingine akatoswa kabisa akarudi kusubiri book saba Lumumba, Mama ameona kauli za namna ile zinaligawa taifa mwisho wake nchi itaingia kwenye machafuko kwaajili ya watu wapuuzi wachache
 
Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.

Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Truth...
 
Kutoka kuwa kiongozi wa kitaifa hadi mkuu wa wilaya.......dah! njaa mbaya sana.
 
Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.

Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Cheo ni dhamana mkuu!demotion nyumbani kwao !
 
Wote wawili ni demotion ya kiwango kikubwa.

Kiuhalisia, James amekwishaondolewa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa UVCCM. Kuwa mkuu wa wilaya, ni kuwa mtendaji wa Serikali kila siku. Sasa hawezi kutoka ofisini kwenda kwenye shughuli za cha bila ya kuruhusiwa na Mkuu wa Mkoa. Imetafutwa namna ya kumdhibiti.

Huyu Mama Samia, ni mjuzi hasa. Ukiwa na akili ndogo, unaweza kuondolewa kwenye uongozi huku ukishangilia kwa furaha kubwa, ukiamini umepanda.
Bavicha wengi akili ni 0 huwa hawaoni mbele!

Utajisikiaje mwakani ukakuta Mashinji na James ni wakuu wa mikoa?
 
Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.

Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.

Hawana kazi umasikini ni shida sana. Hawa mtaji wao ni siasa tu. Dr kashidwa kufungua hata clinic masikini yeye kabaki kusubiri huruma za viongozi 🤔
 
Kwa status zao huyo kijana wa uvccm ilifaa awe promoted ubunge Kama ilivo kwa pole Pole na bashiru....na huyo mashinji ndio kabisa kashushwa sanaaaa...vyeo vya juu kumfaa au ubunge vipo ..hii inaonyesha wote waliohamia ccm kutoka cdm wamepewa hizi nafasi Kama fadhila kwa shingo upande...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom