Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati tukumbuke kila mtu na mtuwe na pia msukuma kula urojo akikosa chakula kingine ni ushujaa.
Ni dalili njema kabisa, kijana alikuwa na kauli chafu, nadhani zile zindano za sumu alisema anawadunga wenzake naona amedungwa yeye anaanza kupote taratibu kwenye nafasi za uongozi, usishangae round nyingine akatoswa kabisa akarudi kusubiri book saba Lumumba, Mama ameona kauli za namna ile zinaligawa taifa mwisho wake nchi itaingia kwenye machafuko kwaajili ya watu wapuuzi wachacheMama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Truth...Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.
Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Mama mjanja sanaKama alivyomchapa Biswalo Rungu la Kichwa. Sasa Ofisi ya DPP raha mstarehe amani tupu.
Cheo ni dhamana mkuu!demotion nyumbani kwao !Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.
Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Bavicha wengi akili ni 0 huwa hawaoni mbele!Wote wawili ni demotion ya kiwango kikubwa.
Kiuhalisia, James amekwishaondolewa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa UVCCM. Kuwa mkuu wa wilaya, ni kuwa mtendaji wa Serikali kila siku. Sasa hawezi kutoka ofisini kwenda kwenye shughuli za cha bila ya kuruhusiwa na Mkuu wa Mkoa. Imetafutwa namna ya kumdhibiti.
Huyu Mama Samia, ni mjuzi hasa. Ukiwa na akili ndogo, unaweza kuondolewa kwenye uongozi huku ukishangilia kwa furaha kubwa, ukiamini umepanda.
Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.
Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.