Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Wakazi wa ubungo mkijichanganya tu, sindano mnazo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kutoka ukatibu mkuu chadema mpaka ukuu wa wilaya unaota ni demotion?
Mzee usikurupuke, milioni 12,NYUMBA milioni 7,GARI viieite,na mengine mengi.Milion I 2 ampe dj kabisa mbona ndoto za mchana kweupe
SSH anajitahidi kuunda CCM mpya yenye watu anaowataka Ila kuhuhalisia anachofanya anakimaliza chama,wanaoingizwa CCM walio wapya ni mzigo kwa chama na matokeo yake atayaona uchaguzi mkuu 2025Wote wawili ni demotion ya kiwango kikubwa.
Kiuhalisia, James amekwishaondolewa kwenye nafasi ya mwenyekiti wa UVCCM. Kuwa mkuu wa wilaya, ni kuwa mtendaji wa Serikali kila siku. Sasa hawezi kutoka ofisini kwenda kwenye shughuli za cha bila ya kuruhusiwa na Mkuu wa Mkoa. Imetafutwa namna ya kumdhibiti.
Huyu Mama Samia, ni mjuzi hasa. Ukiwa na akili ndogo, unaweza kuondolewa kwenye uongozi huku ukishangilia kwa furaha kubwa, ukiamini umepanda.
Muangalie Dr Slaa , aliponunuliwa alipewa cheo gani ?Yaani kutoka ukatibu mkuu chadema mpaka ukuu wa wilaya unaota ni demotion?
A big NO!James ndo anaingia kwenye system so ni promotion.
Mashinji ni bonge la demotion
Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.
Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Mkuu hao ndo wanaondolewa kwenye mfumo wa kistaarabu.Uteuzi wa komredi Kheri James Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa (UVCCM) na Dr. Mashinji kuwa wakuu wa wilaya hii ni demotion( Kushushwa Vyeo), kwani hawa walikuwa viongozi wa juu na sasa wanakwenda kuwajibika kwa wakuu wa mikoa Amos Makala Dar es Salaam na Alli Hapi, Mara.
Kwa nafasi walizokuwa nazo awali walikuwa wanaingia kwenye vikao vikuu vya chama vyenye kutoa maamuzi mazito ya chama kama Kamati Kuu za vyama vyao na walikuwa wanaongoza wilaya na mikoa. Mama kumpa James u-DC wa Ubungo ni kuonyesha hataki kufanya naye kazi ndani ya chama na anataka mtu mwingine kwenye umoja wa vijana.
Utasubiri sana wote wale wataendelea kuchapa kazi.Wanaelimu na uwezo wa kuongozi .Wewe endelea na kuhubiri ukabila.Heri James
Doto James
Furaha James
Masalia ya mwendazake ndiyo yanapukutishwa.
Kwanza vijana hao wanafaa washukuru mamlaka ya uteuzi japo kwa kumuachia nafasi hiyo,kwani hata hiyo nikupewa nafasi ya kujirekebisha kwa mapungufu ya awali.Boss ya Uvccm ameonekana kwenye mkeka wa udc ambao mama amebet June hii.Nimefika Lumumba, vijana wanalaumu uteuzi huu, wapo wanaosema amewekwa kwenye cheo Sawa na wale waliokuwa wakimuita boss,unawekwa cheo kimoja Sawa na mchopenga aliyekuwa anakuita boss, huku ukiwa boss wa vijana taifa.
Vijana wanaponda VYEO vya kuteuliwa ukikosea unafukuzwa so kinamshushia hadhi.Sasa hii inakuaje ni Kweli Heri James kwa cheo alichokuwanacho kimemshushia heshima au kwa kuwa rais kamteua.
Simple logic haitaji analysis ya ajabu kwa level ya Mashinji mtu alyekuwa anapata kipato cha 12m/- per month leo unapata 4m unaona sawa ni ajabu kweli? naona wewe ni Tomaso huamini mpka uumshike Yesu. Kipato chake kimeshuka kimepanda. Fursa hiyo ni sawa na Machopabga, Mwalukuzi amtu aliyekuwa na level ya Chongola,Je chongola ameshuka au kapanda cheo?
Hiyo ni promotion kubwa snBoss ya Uvccm ameonekana kwenye mkeka wa udc ambao mama amebet June hii.Nimefika Lumumba, vijana wanalaumu uteuzi huu, wapo wanaosema amewekwa kwenye cheo Sawa na wale waliokuwa wakimuita boss,unawekwa cheo kimoja Sawa na mchopenga aliyekuwa anakuita boss, huku ukiwa boss wa vijana taifa.
Vijana wanaponda VYEO vya kuteuliwa ukikosea unafukuzwa so kinamshushia hadhi.Sasa hii inakuaje ni Kweli Heri James kwa cheo alichokuwanacho kimemshushia heshima au kwa kuwa rais kamteua.
Kweli tupuKwanza vijana hao wanafaa washukuru mamlaka ya uteuzi japo kwa kumuachia nafasi hiyo,kwani hata hiyo nikupewa nafasi ya kujirekebisha kwa mapungufu ya awali.