Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
- Thread starter
- #21
Inatisha kakaInatisha imagine kutwa kucha unasikia milio ya Risasi tu ndege vita magari vita na mabomu lazima uwe chizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatisha kakaInatisha imagine kutwa kucha unasikia milio ya Risasi tu ndege vita magari vita na mabomu lazima uwe chizi
Saana siasa hizi zina tupitisha pabaya sana Duniani [emoji22]Inatisha kaka
Kama wakenya walivyoamua kuchinjwa na kulawitiwa katika ardhi ya wasomali
Hovyo kweli wewe, unajua huyu katili kavamia nchi nyingine!Puttin piga hao mandonga.
Na madaraja yoteya kutoka Crimea kuelekea kheson yameshaharibiwa na HIMARS..,hapa ndo patamu Sasa,
Endelea kujifariji [emoji13]
mandonga ni putin saa 72 converted to 7 monthsPuttin piga hao mandonga.
hahahaaaa too much of poetryInatia hofu japo kwa kuisoma tu.
Inasikitisha kuona mtanzania kavaa shart la kijani na kujisifia kuwa ni Mzalendo.
jifunzen kufananisha scenario vzr , kobaz isikutie wengeKama wakenya walivyoamua kuchinjwa na kulawitiwa katika ardhi ya wasomali
Kabisa mkuuKwa iyo unataka kuniambia KHERSON itakuwa kama ALEPPO(SYRIA)
duh umewai yaona lkn ?Mambo mengine bwana!! Nani kakwambia HIMARS rockets zina uwezo wa kuvunja madaraja, nani??
Kwa taarifa yako roketis za HIMARS hazina uwezo wowote wa kuvunja madaraja - ebu angalia kinacho tokea kwenye madaraja yanapo shambuliwa na roketi za HIMARS kinacho onekana ni mashimo shimo tu lakini structure nzima hipo intact kabisa in other words uharibifu ni superficial tu, labda wapige roketi 500 on the same spot, uwezo wa roketi za HIMARS kufanya uharibifu ni pale zinapo piga targets kama oil/fuel depots, ammunition dump ambazo wanajua zitasababisha a secondary explosion, basi.
Hizi sifa wanazo zimwagia HIMARS systems hazina ukweli wowote, hizo ni mbinu za kuzitatufitia HIMARS soko kimataifa - lakini ukweli unabaki pale pale HIMARS aren't GAME changer on war front zinashinda kwenye vita vya mtandaoni specifically mitandao ya kijamii, mfano: twitter,facebook na UTube nk..
Risasi na mizinga ndo mbaya zaidiUn
Unaweza kuta wote wameshakuwa viziwi pia maana mizinga mabomu kila kukicha sio poa huku kwetu ukisikia mlio wa baruti unaona kabisa masikio yanawasha sasa hayo mabomu hii inatisha kwa kweli [emoji848]
Na matengenezo ya Kila siku yaliyokuwa yakifanywa na urusi kwenye Lile daraja unayazungumziaje?Kwani uongo?? Nawakumbusheni mara nyingi tu kwamba viroketi vya HIMARS havina uwezo wowote wa kuleta madhara makubwa kwenye a reinforced concrete structure - uwezo huo hazina kabisa, sasa sijui kwa nini hamtaki kuelewa somo, lakini mkiambiwa na CNN,BBC,VoA propaganda hizo mnazichukulia kama ni Gospel TRUTH -ajabu sana!!
Hii ndiyo anaipenda mmarekani...kuongeza petrol kwenye msuguano wa ndugu wawili.Hii habari kwa kuisoma tu imenipa hofu, daah vita tuisikie uko uko kwa wenzetu isije tokea ktk ardhi yetu
Hii vita ni ya NATO v/s RUSSIAila ukraine wameshangaza sana, wengi tulidhani pengine uvamizi ulipanza wangekibia na kupoteana but jamaa wamejiorganize wakapigana zaidi ya vile mtu unavyoweza kuwakadiria, ni kweli wanapteza watu wengi but wap wameamua wanaume wote kusalia nchini kupambania nchi so interms of numbers somehow wanamudu, in ong run russia atawin ht akiamua kuchukua kiev but atapay heavy price
Al shabab ni hatari kenya inawaogopa sanaKama wakenya walivyoamua kuchinjwa na kulawitiwa katika ardhi ya wasomali