Kherson imegeuka kuzimu

Kherson imegeuka kuzimu

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Moto unaowaka Kherson siyo mdogo, yaan sijui watu wanapataje data za waliokufa ,na vifaa vilivyoaribika.
Mahojiano yalifanywa kwa wanajeshi 7 wa Ukraine ambao walipata majeraha na wako katika uangaliz wa kiafya.

Mambo waliyofichua ni mazito, wanadai kiukweli hali ya vita Kherson ni kama kuzimu,maana hakuna mda wa kujipanga ni mabomu na machine gun tuu ziko bize saa 24.

Kuhusu idadi ya wanajeshi waliouwa wamesema ni vigumu kujua maana vita ni vikali sana ,unapishana na maiti ila hakuna mda wa kukagua ,maana maiti nying zimeharibika kabisa.

Mpaka sasa Ukraine wameshakomboa vijiji vinne ila ni mapema sana kujua hatima ya kuikomboa Kherson ,maana Russia wanatoa upinzani mkubwa na tunasonga mbele kwa gharama kubwa ,alisema mmoja wa mwanajeshi aliyejeruhiwa.

Mmoja wa majeruhi ameshangazwa na vyombo mbalimbali kutoa idadi ya askar waliopoteza maisha,akidai hicho kitu hakiwezekani kwa hali ya mapigano yalivyo makali na ya kikatili ,yanavyoendelea,anadai mpaka mda huu hakuna nafasi ya kukaa na kujipanga ni mashambulizi saa zote.

Note: Kherson ndio mji mkubwa ambao Russia wamefanikiwa kuuteka kwa 100%na huu mji atakayeshinda basi kashinda vita nzima
 
Na madaraja yoteya kutoka Crimea kuelekea kheson yameshaharibiwa na HIMARS..,hapa ndo patamu Sasa,
 
Inatia hofu japo kwa kuisoma tu.

Inasikitisha kuona mtanzania kavaa shart la kijani na kujisifia kuwa ni Mzalendo.
Imani waliyonayo asikari ni ya ajabu sana.., kiukweli hata wanaojifanya kuwa wazalendo kwa mungu wao sidhani kama wanaweza kujitoa kiasi hiki [emoji848]

Imani nyingine ni unafiki tu
 
Ilo daraja lishashambuliwa mara 60 ila bado lipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sijui kama hayo makombola ya HIMARS yanaweza kuvunja hata biskuti.ingekuwa Iskander tungeenda kubeba vifusi
Na madaraja yoteya kutoka Crimea kuelekea kheson yameshaharibiwa na HIMARS..,hapa ndo patamu Sasa,
 
Ilo daraja lishashambuliwa mara 60 ila bado lipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sijui kama hayo makombola ya HIMARS yanaweza kuvunja hata biskuti.ingekuwa Iskander tungeenda kubeba vifusi
Endelea kujifariji [emoji13]
 
Twende vivyo hivyo, kuchinjana na kumwagika kwa damu hadi iwe gharika ya damu, ardhi lazima ikombolewe kwa ajili ya vizazi vya kesho, Warusi wenyewe wameamua kufia kwenye nchi ya watu kwa ugomvi ambao hawajui tija yake, basi ni mwendo wa kuchinjana tu na kuuana.....mbele kwa mbele
Nadiriki kusema takbir akbar akbar kama wasemavyo mashabiki wa Putin humu....wakidhani wanakomoa Marekani.
 
Twende vivyo hivyo, kuchinjana na kumwagika kwa damu hadi iwe gharika ya damu, ardhi lazima ikombolewe kwa ajili ya vizazi vya kesho, Warusi wenyewe wameamua kufia kwenye nchi ya watu kwa ugomvi ambao hawajui tija yake, basi ni mwendo wa kuchinjana tu na kuuana.....mbele kwa mbele
Nadiriki kusema takbir akbar akbar kama wasemavyo mashabiki wa Putin humu....wakidhani wanakomoa Marekani.
Kama wakenya walivyoamua kuchinjwa na kulawitiwa katika ardhi ya wasomali
 
Moto unaowaka Kherson siyo mdogo, yaan sijui watu wanapataje data za waliokufa ,na vifaa vilivyoaribika.
Mahojiano yalifanywa kwa wanajeshi 7 wa Ukraine ambao walipata majeraha na wako katika uangaliz wa kiafya.

Mambo waliyofichua ni mazito, wanadai kiukweli hali ya vita Kherson ni kama kuzimu,maana hakuna mda wa kujipanga ni mabomu na machine gun tuu ziko bize saa 24.

Kuhusu idadi ya wanajeshi waliouwa wamesema ni vigumu kujua maana vita ni vikali sana ,unapishana na maiti ila hakuna mda wa kukagua ,maana maiti nying zimeharibika kabisa.

Mpaka sasa Ukraine wameshakomboa vijiji vinne ila ni mapema sana kujua hatima ya kuikomboa Kherson ,maana Russia wanatoa upinzani mkubwa na tunasonga mbele kwa gharama kubwa ,alisema mmoja wa mwanajeshi aliyejeruhiwa.

Mmoja wa majeruhi ameshangazwa na vyombo mbalimbali kutoa idadi ya askar waliopoteza maisha,akidai hicho kitu hakiwezekani kwa hali ya mapigano yalivyo makali na ya kikatili ,yanavyoendelea,anadai mpaka mda huu hakuna nafasi ya kukaa na kujipanga ni mashambulizi saa zote.

Note: Kherson ndio mji mkubwa ambao Russia wamefanikiwa kuuteka kwa 100%na huu mji atakayeshinda basi kashinda vita nzima
Hii habari kwa kuisoma tu imenipa hofu, daah vita tuisikie uko uko kwa wenzetu isije tokea ktk ardhi yetu
 
Back
Top Bottom