Khitma ya Saigon club ya Iddi Simba msikiti wa Mtoro

Khitma ya Saigon club ya Iddi Simba msikiti wa Mtoro

Kiranga,
Nina namna yangu ya kuandika na kuhadhiri tofauti sana na watu wengine.

Mimi hupenda kuandika na kueleza yale ambayo wengi hawajui.

Haya kwa kawaida hushikwa na watu kuliko tarehe ya kuzaliwa, ana watoto wangapi na maelezo mfano ya hayo.

Nimeanza kumueleza Iddi Simba akiwa mazikoni nyumbani kwa Bi. Mruguru bint Mussa mama yake Ally Sykes kakaa kwenye jamvi na Ally Sykes na Zuberi Mtemvu.

Ally Sykes analaumu nchi imeharibika hakuna mchele wala mafuta ya kupikia.

Zuberi Mtemvu anamjibu kwa kejeli kuwa asilalamike hayo kayataka mwenyewe.

Ally Sykes akamjibu anauliza, "Nyie Congress kumbe hatukuwamaliza bado mpo."

Ally Sykes, Abdul Sykes na Julius Nyerere walikuwa TANU na Mtemvu chama chake Congress.

Kufika hapa nikamleta Iddi Simba kupitia kinywa cha Mtemvu alipomuuliza Ally Sykes, "Huyu Nani?"

"Humjui huyu?" Ally Sykes kashangaa.
"Huyu ni Iddi Simba."

Hii ndiyo staili yangu na wengi wanaipenda.

Baada ya hapo nikaja Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika Muslim School aliposoma Iddi Simba nk.

Hapo ndiko nikaingia katika tarikh ya Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika lini ilianzishwa (1933), madhumuni yake na kwa nini wanafunzi wa shule hii walikuja kuwa mstari wa mbele dhidi ya ukoloni.

Hii ndiyo namna yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga,
Nina namna yangu ya kuandika na kuhadhiri tofauti sana na watu wengine.

Mimi hupenda kuandika na kueleza yale ambayo wengi hawajui.

Haya kwa kawaida hushikwa na watu kuliko tarehe ya kuzaliwa, ana watoto wangapi na maelezo mfano ya hayo.

Nimeanza kumueleza Iddi Simba akiwa mazikoni nyumbani kwa Bi. Mruguru bint Mussa mama yake Ally Sykes kakaa kwenye jamvi na Ally Sykes na Zuberi Mtemvu.

Ally Sykes analaumu nchi imeharibika hakuna mchele wala mafuta ya kupikia.

Zuberi Mtemvu anamjibu kwa kejeli kuwa asilalamike hayo kayataka mwenyewe.

Ally Sykes akamjibu anauliza, "Nyie Congress kumbe hatukuwamaliza bado mpo."

Ally Sykes, Abdul Sykes na Julius Nyerere walikuwa TANU na Mtemvu chama chake Congress.

Kufika hapa nikamleta Iddi Simba kupitia kinywa cha Mtemvu alipomuuliza Ally Sykes, "Huyu Nani?"

"Humjui huyu?" Ally Sykes kashangaa.
"Huyu ni Iddi Simba."

Hii ndiyo staili yangu na wengi wanaipenda.

Baada ya hapo nikaja Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika Muslim School aliposoma Iddi Simba nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika hitma ya Iddi Simba inayotaja watu wengine kuliko inavyomtaja Iddi Simba, kwa namna ambayo inaweza kutafsirika kuwa umetumia msiba wa Iddi Simba kueneza siasa zaidi ya kuhitimisha maisha ya Iddi Simba.

Hata kama unaandika siasa, ingekuwa bora ukaandika siasa za maisha ya Iddi Simba zaidi, kafanya nini, kasema nini, lini, maisha yake yalikuwaje.

Sasa wewe unaandika siasa zako za kila siku, unachomeka jina la Iddi Simba sehemu moja au mbili, halafu unasema hiyo ni hitma ya Iddi Simba?

Hiyo ni hitma ya Iddi Simba au siasa za kila siku zinazotumia jina la Iddi Simba na wasaa wa msiba wake kujitangaza tu?

Hitma yako imeelezea siasa na majina ya watu wengine kuliko maisha ya Iddi Simba.

Hapo hujamtendea haki Iddi Simba, hujautendea haki usomi wako wa historia wala hizo siasa zako za Uislamu.

Umejionesha wewe ni opportunist tu.

Kama vulture, yule ndege anayesubiri wenziwe wafe yeye apate mlo bila kujali itifaki za mazishi.

You are a vulture

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika hitma ya Iddi Simba inayotaja watu wengine kuliko inavyomtaja Iddi Simba, kwa namna ambayo inaweza kutafsirika kuwa umetumia msiba wa Iddi Simba kueneza siasa zaidi ya kuhutimisha maisha ya Iddi Simba.

Hata kama unaandika siasa, ingekuwa bora ukaandika siasa za maisha ya Iddi Simba zaidi, kafanya nini, kasema nini, lini, maisha yake yalikuwaje.

Sasa wewe unaandika siasa zako za kila siku, unachomeka jina la Iddi Simba sehemu moja au mbili, halafu unasema hiyo ni hitma ya Iddi Simba?

Hiyo ni hitma ya Iddi Simba au siasa za kila siku zinazotumia jina la Iddi Simba na wasaa wa msiba wake kujitangaza tu?

Hitma yako imeelezea siasa na majina ya watu wengine kuliko maisha ya Iddi Simba.

Hapo hujamtendea haki Iddi Simba, hujautendea haki usomi wako wa historia wala hizo siasa zako za Uislamu.

Umejionesha wewe ni opportunist tu.

Kama vulture, yule ndege anayesubiri wenziwe wafe yeye apate mlo bila kujali itidaki za mazishi.

You are a vulture

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika hitma ya Iddi Simba inayotaja watu wengine kuliko inavyomtaja Iddi Simba, kwa namna ambayo inaweza kutafsirika kuwa umetumia msiba wa Iddi Simba kueneza siasa zaidi ya kuhutimisha maisha ya Iddi Simba.

Hata kama unaandika siasa, ingekuwa bora ukaandika siasa za maisha ya Iddi Simba zaidi, kafanya nini, kasema nini, lini, maisha yake yalikuwaje.

Sasa wewe unaandika siasa zako za kila siku, unachomeka jina la Iddi Simba sehemu moja au mbili, halafu unasema hiyo ni hitma ya Iddi Simba?

Hiyo ni hitma ya Iddi Simba au siasa za kila siku zinazotumia jina la Iddi Simba na wasaa wa msiba wake kujitangaza tu?

Hitma yako imeelezea siasa na majina ya watu wengine kuliko maisha ya Iddi Simba.

Hapo hujamtendea haki Iddi Simba, hujautendea haki usomi wako wa historia wala hizo siasa zako za Uislamu.

Umejionesha wewe ni opportunist tu.

Kama vulture, yule ndege anayesubiri wenziwe wafe yeye apate mlo bila kujali itidaki za mazishi.

You are a vulture

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga,
Hiyo ndiyo namna yangu ninapoeleza historia.

Huwa nakwenda mbali zaidi na kuyakusanya mambo mengi ya nyakati zile kisha humtumbukiza ndani muhusika mkuu.

Kwa staili hii nimepata wasomaji wengi ambao wakiona makala yangu hawawezi kuipita lazima watasimama na kuangalia nimeleta kipi kipya?

Hizo ''name calling,'' hazinihagaishi ila kwa kitu kimoja.

Nakuonea huruma jinsi kalamu yangu inavyochoma moyo wako.

Ulitaka nimuandike Iddi Simba peke yake kama vile hakuwa amezungukwa na watu na mie nikiwa mmoja wa watu hao.
 
Hapa umemuongelea hayati Idd Simba( Mwenye enzi Mungu amrehemu) au habari za dini za miaka ya 80?

Nimeshindwa kukuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Uncle Ben,
Hivyo ulivyoeleza ndivyo nilivyokusudia.

Nimeandika siasa kama alivyozikuta Iddi Simba aliporudi Tanzania.

Rais alikuwa Mzee Ali Hassan Mwinyi na kulikuwa na matatizo mengi ndani ya chama chake na serikali kiasi ya kuwa magazeti ya chama na serikali yakimwandika vibaya nk. nk.

Naamini sasa umenielewa la ikiwa bado niulize nami In Shaa Allah nitajitahidi kukufahamisha kadri ya uwezo wangu.
 
Kiranga,
Hiyo ndiyo namna yangu ninapoeleza historia.
Huwa nakwenda mbali zaidi na kuyakusanya mambo mengi ya nyakati zile kisha humtumbukiza ndani muhusika mkuu.

Kwa staili hii nimepata wasomaji wengi ambao wakiona makala yangu hawawezi kuipita lazima watasimama na kuangalia nimeleta kipi kipya?

Hizo ''name calling,'' hazinihagaishi ila kwa kitu kimoja.

Nakuonea huruma jinsi kalamu yangu inavyochoma moyo wako.
Ulitaka nimuandike Iddi Simba peke yake kama vile hakuwa amezungukwa na watu na mie nikiwa mmoja wa watu hao.
Kubali, hujamtendea haki marehemu Iddi Simba. Umetumia jina/kifo chake kama uchochoro wa kusambazia propaganda zako. Kwa watu waliostaarabika hiyo si sawa na haikubaliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubali, hujamtendea haki marehemu Iddi Simba. Umetumia jina/kifo chake kama uchochoro wa kusambazia propaganda zako. Kwa watu waliostaarabika hiyo si sawa na haikubaliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Trace...
Mimi sina uwezo wa kukuzuia kuamini kile utakacho.

Hii ni nchi huru na inathamini uhuru wa fikra na kukinzana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga,
Hiyo ndiyo namna yangu ninapoeleza historia.
Huwa nakwenda mbali zaidi na kuyakusanya mambo mengi ya nyakati zile kisha humtumbukiza ndani muhusika mkuu.

Kwa staili hii nimepata wasomaji wengi ambao wakiona makala yangu hawawezi kuipita lazima watasimama na kuangalia nimeleta kipi kipya?

Hizo ''name calling,'' hazinihagaishi ila kwa kitu kimoja.

Nakuonea huruma jinsi kalamu yangu inavyochoma moyo wako.
Ulitaka nimuandike Iddi Simba peke yake kama vile hakuwa amezungukwa na watu na mie nikiwa mmoja wa watu hao.
Hujaweza kuwa na uwezo wa kunichoma moyo.

Unichome moyo kwa kamasi hizi chafu ambazo unapenga halafu hata kujifuta hujui?

Do not flatter yourself.

Na kuandika habari za maisha ya Iddi Simba zilizomzunguka Iddi Simba wala si kuandika habari za Iddi Simba peke yake.

Lakini pia si kuandika habari za siasa zako tupu, ukambandika Iddi Simba sehemu moja au mbili, halafu ukasema hiyo ni hitima ya Iddi Simba.

Kama unamjua Iddi Simba andika habari zake.

Kama humjui, acha kujishaua kuandika habari za watu usiowajua.

Na zaidi, acha kutumia misiba ya watu maarufu kueneza habari za siasa zako.

Kwa watu tunaosoma kwa kituo tunakuona hamnazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujaweza kuwa na uwezo wa kunichoma moyo.

Unichome moyo kwa kamasi hizi chafu ambazo unapenga halafu hata kujifuta hujui?

Do not flatter yourself.

Na kuandika habari za maisha ya Iddi Simba zilizomzunguka Iddi Simba wala si kuandika habari za Iddi Simba peke yake.

Lakini pia si kuandika habari za siasa zako tupu, ukambandika Iddi Simba sehemu moja au mbili, halafu ukasema hiyo ni hitima ya Iddi Simba.

Kama unamjua Iddi Simba andika habari zake.

Kama humjui, acha kujishaua kuandika habari za watu usiowajua.

Na zaidi, acha kutumia misiba ya watu maarufu kueneza habari za siasa zako.

Kwa watu tunaosoma kwa kituo tunakuona hamnazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga,
Nasema nafsi yako inataabika kwa kuwa unaandika huku umeghadhibika.

Nasema umekasirika kwa kuwa unaishambulia haiba yangu.

Nimekuwa nikikutana na watu wa mfano wa wewe kwa miaka mingi kwa ajili ya kalamu yangu na wote mnafanana na kinachokunganisheni ni hasira zilizomo vifuani mwenu kila mnaponisoma.

Matumizi ya maneno ya matusi dhidi yangu yako dhahiri katika uandishi wako.

Wala mimi siwezi kuwa hamnazo kwa kiwango chochote utakachotumia.

Iddi Simba tunafahamiana vizuri na alikuwa mzugumzaji wangu sana.

Dar es Salaam hii mimi nitunie misiba ya watu...

Nifanye hivyo kwa kutafuta kitu gani?
Flattering?

Hapa kwetu Dar es Salaam au mji mwingine?
 
Pumbaavu huna hata aibu! Umechukulia kifo cha Muislamu mwenzako ambaye hamkuwa naye karibu kihivyo alipokuwa hai kama fursa tu ya kueneza siasa zako za kibaguzi za udini.

Taratibu jamaa yangu; tujadiliane kwa staha.
 
Taratibu jamaa yangu; tujadiliane kwa staha.
Mfiaukweli,
Ndugu yetu amehamaki jinsi nilivyomweleza Iddi Simba kwa kumuunganisha na historia ya Dar es Salaam na watu wake.

Hii ni moja ya ibra ya historia hii hata kama itakuwa ndani ya taazia wapo watu wanatamani kama historia hii isingelikuwapo.

Matokeo yake ndiyo haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam. Nami ningependa kujua historia ya St. Joseph's School aka Forodhani, shule yangu ya msingi enzi za baada ya uhuru hadi mwisho wa miaka ya 80 wakati wa Nyerere na Ujamaa.

Kiwanja hiki walipewa Wamisionari wa kikatoloki na Sultan wa Zanzibar Majid, kama Kanisa kuu la Bagamoyo na minara miwili Zanzibar


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Ndugu zake wa karibu Marehemu Iddi Simba wapo kimya lakini Mohamed Said na kimbelembele chake kashindwa kujizuia yumo humu kutangaza utadhani Msemaji wa Familia. Ndiyo hiyohiyo misifa yake inayomfanya ajione na ajitwike kama yeye ndiyo mtetezi namba wani wa Waislamu wote Tanzania.
Sio sahihi..
Historia ya mtu husimuliwa na watu aliowagusa kwa namna moja ama nyingine bila kujali ni ndugu ama wanafamilia. Ulishasikia wanafamilia wanamzungumzia Mkapa zaidi ya watu aliowagusa au kufanya nao kazi.
Jipambanue, hadhira bado ni pana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio sahihi..
Historia ya mtu husimuliwa na watu aliowagusa kwa namna moja ama nyingine bila kujali ni ndugu ama wanafamilia. Ulishasikia wanafamilia wanamzungumzia Mkapa zaidi ya watu aliowagusa au kufanya nao kazi.
Jipambanue, hadhira bado ni pana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana...
Jana nimeletewa taarifa ya msiba wa mmoja wa ndugu zangu.

Msiba huu ukanikumbusha mengi basi nikaandika taazia fupi.

Naiweka hapo chini taazia hiyo ili wale ambao wanataabishwa na staili ya uandishi wangu wapate rejea nyingine:

''Nikifahamiana na na Bi. Sharifa toka miaka ya 1970s yeye na rafiki yake Bi. Mgeni ambaye alishatangulia mbele ya haki miaka mingi iliyopita.

Bibi yangu Bi. Mwatum bint Mgeni nyumba yake ilikuwa Mtaa wa Sekenke si mbali na kwao Bi. Sharifa.

Namkumbuka Bi. Sharifa siku hizo ni msichana mdogo yeye na shoga yake Bi. Mgeni wakija kusali Fajr msikiti wa Mtambani ule wa zamani wakiongozana na Liumbi Abdallah kijana umri wao ambae mimi alikuwa rafiki yangu sana.

Katika miaka hii ya karibuni niliwahi kufika nyumbani kwa Sheikh Kalala Mikocheni baada ya miaka mingi nikaonana na Bi. Sharifa.

Bi. Sharifa alifurahi sana kuniona baada ya yeye na mumewe kuhamia Marekani.

Miaka mingi sana ilikuwa imepita na nilimfahamisha kuwa nilikuja Washington na nilikuwa Maryland lakini muda haukutosha kuwapitia ndugu na jamaa wote na hiyo ndiyo sababu sikuwatembelea kwao.

Taarifa hii ya msiba imenirudisha nyuma sana kunikumbusha Bi. Sharifa na rafiki yake Bi. Mgeni na Imam wetu aliyekuwa akitusalisha Fajr marehemu Sheikh Mwagavumbi kwenye ule msikiti mdogo wa Mtambani.

Nimemkumbuka pia na Mzee Hassan mnadi sala ambae akitoka kwake Kinondoni Shamba njia nzima akielekea msikitini ananadi, "Salaa, Salaa..." hadi anafika msikitini.

Siku hizo kulikuwa hakuna "loud speakers," na Mzee Hassan alifanya kazi hii ya kunadi sala na kuadhini hadi alipofariki.

Kwa kweli historia ya Bi. Sharifa imenirudia upya na wakati ule kasichana kadogo kajitanda khanga na shoga yake Bi. Mgeni wanakuja msikitini kusali Fajr, kitendo hiki hakikunielemea kama hivi sasa nikitazama nyuma na kuhisi athari yake.

Kaka Kalala nina hakika hili litamshangaza kujua kuwa mimi nimemuona yeye kwa mara ya kwanza nilipokwenda kumuona Bi. Sharifa hospitali alikolazwa ilikuwa ndiyo kwanza siku za mwanzo kamuoa Bi. Sharifa.

Kabla ya hapo nikilisikia tu jina la Kalala sikupata kukutananae.

Baadae nikasikia Sharifa na mumewe wamehamia Marekani.

Sikupata kumuona Bi. Sharifa hadi waliporudi Tanzania.

Allah ampe kauli thabit dada yetu na amjazie pale palipopungua.
Amin.''
 
Unaandika hitma ya Iddi Simba inayotaja watu wengine kuliko inavyomtaja Iddi Simba, kwa namna ambayo inaweza kutafsirika kuwa umetumia msiba wa Iddi Simba kueneza siasa zaidi ya kuhitimisha maisha ya Iddi Simba.

Hata kama unaandika siasa, ingekuwa bora ukaandika siasa za maisha ya Iddi Simba zaidi, kafanya nini, kasema nini, lini, maisha yake yalikuwaje.

Sasa wewe unaandika siasa zako za kila siku, unachomeka jina la Iddi Simba sehemu moja au mbili, halafu unasema hiyo ni hitma ya Iddi Simba?

Hiyo ni hitma ya Iddi Simba au siasa za kila siku zinazotumia jina la Iddi Simba na wasaa wa msiba wake kujitangaza tu?

Hitma yako imeelezea siasa na majina ya watu wengine kuliko maisha ya Iddi Simba.

Hapo hujamtendea haki Iddi Simba, hujautendea haki usomi wako wa historia wala hizo siasa zako za Uislamu.

Umejionesha wewe ni opportunist tu.

Kama vulture, yule ndege anayesubiri wenziwe wafe yeye apate mlo bila kujali itidaki za mazishi.

You are a vulture

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, umemuelezea vizuri sana huyu mzee... ni Vulture haswaa! Tapeli na laghai la kidini! Anapindua pindua historia za marehemu kwa malengo yake ya utapeli wa kidini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndjabu...
Mimi nimeombwa nizungumze si kuwa nimezungumza kwa kimbelembele changu.

Imekuwa kawaida kila panapokuwa na shughuli ya Waislam khasa ikiwa ni msiba huwa naombwa nimzungumze marehemu kama nilivyomfahamu.

Nimezungumza katika maziko ya Ally Sykes, Kitwana Kondo na hivi karibuni Iddi Simba.

Halikadhalika nimeandika taazia zao na za watu wengi maarufu wa Dar es Salaam kama Ahmed Rashad Ali, Mohamed Awadh (Chico), Zubeir Mtemvu, Tewa Said Tewa, Bi. Titi Mohamed, Abubakar Tambaza wengi tu.

Nimeandika pia taazia ya Mwalimu Julius Nyerere.

Ni bahati mbaya kuwa hili linakukera lakini nifanyeje na hawa ni ndugu zangu na mimi nimezaliwa Dar es Salaam na wote nikiwajua nani awaandike?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga,
Nina namna yangu ya kuandika na kuhadhiri tofauti sana na watu wengine.

Mimi hupenda kuandika na kueleza yale ambayo wengi hawajui.

Haya kwa kawaida hushikwa na watu kuliko tarehe ya kuzaliwa, ana watoto wangapi na maelezo mfano ya hayo.

Nimeanza kumueleza Iddi Simba akiwa mazikoni nyumbani kwa Bi. Mruguru bint Mussa mama yake Ally Sykes kakaa kwenye jamvi na Ally Sykes na Zuberi Mtemvu.

Ally Sykes analaumu nchi imeharibika hakuna mchele wala mafuta ya kupikia.

Zuberi Mtemvu anamjibu kwa kejeli kuwa asilalamike hayo kayataka mwenyewe.

Ally Sykes akamjibu anauliza, "Nyie Congress kumbe hatukuwamaliza bado mpo."

Ally Sykes, Abdul Sykes na Julius Nyerere walikuwa TANU na Mtemvu chama chake Congress.

Kufika hapa nikamleta Iddi Simba kupitia kinywa cha Mtemvu alipomuuliza Ally Sykes, "Huyu Nani?"

"Humjui huyu?" Ally Sykes kashangaa.
"Huyu ni Iddi Simba."

Hii ndiyo staili yangu na wengi wanaipenda.

Baada ya hapo nikaja Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika Muslim School aliposoma Iddi Simba nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga,
Hiyo ndiyo namna yangu ninapoeleza historia.
Huwa nakwenda mbali zaidi na kuyakusanya mambo mengi ya nyakati zile kisha humtumbukiza ndani muhusika mkuu.

Kwa staili hii nimepata wasomaji wengi ambao wakiona makala yangu hawawezi kuipita lazima watasimama na kuangalia nimeleta kipi kipya?

Hizo ''name calling,'' hazinihagaishi ila kwa kitu kimoja.

Nakuonea huruma jinsi kalamu yangu inavyochoma moyo wako.
Ulitaka nimuandike Iddi Simba peke yake kama vile hakuwa amezungukwa na watu na mie nikiwa mmoja wa watu hao.
Nakuelewa Mzee wangu
 
Mkuu, umemuelezea vizuri sana huyu mzee... ni Vulture haswaa! Tapeli na laghai la kidini! Anapindua pindua historia za marehemu kwa malengo yake ya utapeli wa kidini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzizi,
Nimesomeshwa ilm ya minakasha yaani majadiliano na Sheikh Haruna na alikuwa akitueleza kuwa ukiona mtu anakuja na matusi elewa umeshamshinda kwani mwenye hoja ataleta hoja hawezi kubadili hoja kwa kutukana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom